Recent content by Nasema

  1. Nasema

    Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

    Loool! figganigga umefanya nicheke, sehemu kubwa ya ulichoandika ni ukweli.
  2. Nasema

    Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

    Inawezekana pia kuna roho za mizimu hapo, hasa kwa kuwa unawaota baba na kaka yako. Nakutakia kila la heri.
  3. Nasema

    Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

    Nitajitahidi kuelezea kwa lugha rahisi sana.... Kimsingi kila jambo linalotokea hapa duniani, yaani katika hali ya mwili huwa linaanzia kutokea kwanza katika hali ya kiroho. Unashangaa? Ulimwengu wa roho ndio unaosababisha/unaathiri mambo yatokee kama yanavyotokea katika ulimwengu wa mwili...
  4. Nasema

    Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

    Mmmh The Boss I think hapa kuna a lot of exceptions kwenye hii generalization!
  5. Nasema

    Gharama zote ulipe wewe na bado unataka aenjoy yeye!! Wanawake mtuache...

    Tuko Tuko Tuko wewe! Kazi kwao wanaume wanaopenda kununua na wanawake wanaouza! Kazi ni kwao!
  6. Nasema

    The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

    Mkuu ni kickass.to huko kwingine ni hatare!
  7. Nasema

    Must see Movies

    Hahahah pole mkuu! Movie za namna hii mie hunipati hata kwa vipi!
  8. Nasema

    The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

    Saaafi, nimepata cha kukeshea Ijumaa hii. Nitaanzia episode 1 kwenye saa 4 usiku hivi na kuendelea!
  9. Nasema

    Kukata kiuno wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke

    Ndio nashangaashangaa hapa!
  10. Nasema

    Vick Kamata: Utajiri hu unahitaji maelezo ya ziada

    Yaani wewe! Kula tano!
  11. Nasema

    Swali kwa wanawake wote hapa...

    Naelewa hata nikiwa na kazi huenda kesho ikanisumbua au ikatusumbua. Lakini hiyo haimaanishi kwamba tukae tu tuingoje kesho, tunajaribu kufanya kila lililo ndani ya uwezo wetu kujiandaa ili kesho ikija kivingine ni/tuweze kuikabili. Yapo mambo mengi sana hatuyajui kuhusu kesho. Ni vema kujiandaa.
  12. Nasema

    Swali kwa wanawake wote hapa...

    Kwa kweli mimi ningefurahi sana kuambiwa hivyo kwa sababu ingemaanisha kuwa napata muda zaidi wa kuhudumia familia kama Mama. Kitu pekee ambacho kingenisumbua ni "Hofu ya kesho"!
Back
Top Bottom