Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,174
- 26,913
Habari wakuu,
Samaani naomba kuuliza ilikuwaje jack akanza kutafutwa na Russian na wamarekani wenzaka na ipo kweye season pi sababu mm nimeona ya mwisho jack anaachiwa atoroke na madam president naoba kujua season ya mwisho ilishia wap,sababu alibaba na hizi dvd zaka anatupoteza sana
Daah hata mimi niliishia hapo kama wewe ....sijui kuna jingine ziliendelea...ila hii ya sasa nmechki mpaka ep3