Kuna barua naona inasambaa kwenye mtandao,naona imetokea CAS ikionesha kuwa tumeshindwa,Sasa basi kama ni kweli,nilikuwa nashauri jambo moja,mnapo amua kufanya jambo,Kuna mambo matatu ya kuzingatia,kwanza mfikirie,pili mtafakari,tatu mtoe maamuzi,ni jambo la aibu sisi kushindwa Kila jambo,hata...