Habar za mda huu wadau,
Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa.
Ikawa kimya miezi nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
Ndiyo na mim ndo nilikuwa naelewa hivo kwamba ni hiyo hiyo, ila ps wa halmashaur alichosema ndo kimefanya nije niulize hapa alisema mpaka na wao wapate email ya kutoka tamisemi ndo waniite,yan ziwe mbili et nakala iliyotoka mkoan na waliyotumiwa kwenye email, ndo mana nmekuja kuulizia au ni...
Nje ya mkoa, yani kwa maelezo ya tamisemi wao wanasema wametuma kibali ila ps ananiambia hajaona ya kutoka tamisemi ila kaona nakala ya kutoka mkoan iliyotumwa na tamisemi wametumiwa wao halmshaur
Habar za mda huu wadau,
Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa,
Ikawa kimya miez nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
Habar za mda huu wadau,
Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa,
Ikawa kimya miezi nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.