Recent content by NANSOR WA RYMEZ

  1. N

    JamiiForums Tanzania Barua za uhamisho kutoka TAMISEMI kwenda mkoani inaweza tumika kukuhamisha?

    Sawaa mkuu, ila nan huyu?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Barua za uhamisho kutoka TAMISEMI kwenda mkoani inaweza tumika kukuhamisha?

    Habar za mda huu wadau, Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa. Ikawa kimya miezi nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
  3. N

    JamiiForums Tanzania KERO Kuomba uhamisho Halmashauri ya Handeni ni kama umetangaza vita na mabosi

    Kuna IGUNGA pia ni hatar sana
  4. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya uhamisho kutoka mkoani kwenda halmashauri inaweza kukuhamisha?

    Ndiyo na mim ndo nilikuwa naelewa hivo kwamba ni hiyo hiyo, ila ps wa halmashaur alichosema ndo kimefanya nije niulize hapa alisema mpaka na wao wapate email ya kutoka tamisemi ndo waniite,yan ziwe mbili et nakala iliyotoka mkoan na waliyotumiwa kwenye email, ndo mana nmekuja kuulizia au ni...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya uhamisho kutoka mkoani kwenda halmashauri inaweza kukuhamisha?

    Nje ya mkoa, yani kwa maelezo ya tamisemi wao wanasema wametuma kibali ila ps ananiambia hajaona ya kutoka tamisemi ila kaona nakala ya kutoka mkoan iliyotumwa na tamisemi wametumiwa wao halmshaur
  6. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya uhamisho kutoka mkoani kwenda halmashauri inaweza kukuhamisha?

    Mwenye uelewa na hili jaman
  7. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya uhamisho kutoka mkoani kwenda halmashauri inaweza kukuhamisha?

    Habar za mda huu wadau, Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa, Ikawa kimya miez nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya uhamisho kutoka mkoani kwenda halmashauri inaweza kukuhamisha?

    Habar za mda huu wadau, Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa, Ikawa kimya miezi nikaamua kwenda halmashaur kuulizia chenga zikawa nyingi saana hatimaye mwsho wa siku ps...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mwenye group la wasap la man u alete link
  10. N

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM ndiye adui no 1 wa wakulima na kilimo cha Tanzania, Rais aache kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa

    Bashe kaharbuu ila kuna uchaguz mwakan Sent from my TECNO KD6a using JamiiForums mobile app
  11. N

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    5m kw heka 50 ni uongo Sent from my TECNO KD6a using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom