benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Wakulima wa mahindi mkoani Iringa wameanza kunufaika na bei mpya ya Sh. 950 kwa kilo iliyotolewa na Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), baada ya serikali kuweka ruzuku ili kuwapunguzia mzigo wakulima.
Tofauti na miezi mitatu ilivopita kilo moja ilinunuliwa kwa Sh. 650 hali ilivowafanya wakulima kupaza sauti na serikali kuagiza Wakala wa Taifa wa Hifadhi va Chakula (NFRA) na PB kununua mazao hayo ili kuwaepusha wakulima na ulanguzi.
Meneja wa CPB Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Dk. Jaspa Samweli alimweleza mwandishi wa habari hizi jana ofisini kwake kuwa ongezeko la wakulima wakubwa na wadogo kuza mahindi kwa sasa ni kubwa zaidi, kwa kuwa limesaidia kuongezeka kwa Ununuzi wa mahindi.
Aidha, alisema vituo vya ununuzi ni Songea mkoani Ruvuma, Mlowo na Tunduma Mkoa wa Songwe pamoja na Iringa Alisema, CPB imeanza kununua mahindi mwezi mmoja uliopita kwenye kituo cha Iringa kwa kilo moja
Sh. 950 wakati Kituo cha Songea ni Sh. 850, Mlowo na Tunduma mkoani Songwe kilo moia ni Sh. 850.
Aidha, alisema hadi sasa zaidi ya tani za mahindi ya wakulima 13.500 zimenunuliwa ikiwa ni kati ya tani 80.000 zinazotaraiiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima ndani ya mikoa va Nanda za Juu Kusini.
Dk. Samweli alisema kutokana na ongezeko kubwa la wakulima kukimbilia kuuza mahindi yao CPB
Iringa wamelazimika kuweka utaratibu wa kununua gunia moja hadi tani mbili na wale wakulima wakubwa wa tani saba kuendelea lengo ni kahakikisha makundi vote vanafikiwa.
Alisema kwa wote wanaofika Kuuza mahindi yao kuwa viwango vya ubora. wa mahindi vanayotakiwa kununuliwa hivvo kabla ya ununuzi mahindi vanapimwa maabara na vale valiyokidhi viwango vananunuliwa kisha mkulima anawekewa fedha kwenve akaunti ya benki ndani va siku tatu,
Tofauti na miezi mitatu ilivopita kilo moja ilinunuliwa kwa Sh. 650 hali ilivowafanya wakulima kupaza sauti na serikali kuagiza Wakala wa Taifa wa Hifadhi va Chakula (NFRA) na PB kununua mazao hayo ili kuwaepusha wakulima na ulanguzi.
Meneja wa CPB Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Dk. Jaspa Samweli alimweleza mwandishi wa habari hizi jana ofisini kwake kuwa ongezeko la wakulima wakubwa na wadogo kuza mahindi kwa sasa ni kubwa zaidi, kwa kuwa limesaidia kuongezeka kwa Ununuzi wa mahindi.
Aidha, alisema vituo vya ununuzi ni Songea mkoani Ruvuma, Mlowo na Tunduma Mkoa wa Songwe pamoja na Iringa Alisema, CPB imeanza kununua mahindi mwezi mmoja uliopita kwenye kituo cha Iringa kwa kilo moja
Sh. 950 wakati Kituo cha Songea ni Sh. 850, Mlowo na Tunduma mkoani Songwe kilo moia ni Sh. 850.
Aidha, alisema hadi sasa zaidi ya tani za mahindi ya wakulima 13.500 zimenunuliwa ikiwa ni kati ya tani 80.000 zinazotaraiiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima ndani ya mikoa va Nanda za Juu Kusini.
Dk. Samweli alisema kutokana na ongezeko kubwa la wakulima kukimbilia kuuza mahindi yao CPB
Iringa wamelazimika kuweka utaratibu wa kununua gunia moja hadi tani mbili na wale wakulima wakubwa wa tani saba kuendelea lengo ni kahakikisha makundi vote vanafikiwa.
Alisema kwa wote wanaofika Kuuza mahindi yao kuwa viwango vya ubora. wa mahindi vanayotakiwa kununuliwa hivvo kabla ya ununuzi mahindi vanapimwa maabara na vale valiyokidhi viwango vananunuliwa kisha mkulima anawekewa fedha kwenve akaunti ya benki ndani va siku tatu,