Recent content by Nanna

  1. Nanna

    Mapenzi anayonipa huyu binti hakika nitapoteza fahamu

    Hahahaha wanamalizia kwa kusema riziki ya mbwa iko miguuni mwake
  2. Nanna

    Amebadilika baada ya kumpa penzi

    Mmh.... You have a long way to go my dear. But with time kibao kitawageukia. Cha msingi just know how to play your cards baby [emoji64]
  3. Nanna

    Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

    Jamani mtupumzishe. Tafteni Pesa Kwanza maana rich men don't complain but these small boys who call themselves hustlers. Kila siku thread mpya kuhusu wanawake
  4. Nanna

    Mnapambanaje na hii changamoto katika mapenzi?

    Women are like swimming [emoji474] pool. Usiulize nani aliogelea kabla yako, nani ataogelea baada yako, nani anaogelea nawewe. Just enjoy swimming [emoji474] my friend
  5. Nanna

    Wakulima wa mbegu za vitunguu, wauzaji pamoja na wanunuzi tukutane hapa

    Mi nalima Njia panda Moshi nashukur sijawahi Pata hasara
  6. Nanna

    Anachomoa Hachomoi [emoji27]

    Hahahaha
  7. Nanna

    Simuelewi huyu mwanamke

    Our role as women is to see if a man is happy and put a stop to that nonsense
  8. Nanna

    Gigy ndiye aliyemfundisha Amber Lulu Kudanga ila kwa sasa Gigy role model wake Amber Lulu.

    Naskia na Irene janja anabebebwa na filters Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Nanna

    Nipo kwenye uhusiano na mdogo wa shemej yangu je naweza kumuoa ??USHAURI WAKO UNAHITAJIKA

    Muoe haina shida.. Watu wameoa wajane sembuse huyu mtoto mbichi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Nanna

    Nataka kuwasaidia dada zangu leo.

    Nani apate cancer [emoji752] ya koo. Mmapenda sitarehe nyie. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Nanna

    Hatimaye kaanza kurudi kwa taratibu

    Ila inaonyesha bado yuko Moyoni Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Nanna

    Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

    Mwambao, Munawari Cafelazizi, Halali yote Arusha Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Nanna

    Nahitaji mpenzi na msaidizi

    True wanaume ni wachache lakini mbona na nyie mnatafta wakati wanawake ni wengi. Mtu mpaka amefikia hatua ya kutafta online lazima apewe positive reply. Na sio kumkatisha tama Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Nanna

    Umuhimu wa michepuko

    Ata sisi tuna generator. TANESCO wakikata umeme hakuna haja ya kuka gizani i nawasha zangu generator imradi iwe na mafta Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom