Recent content by Nani James

  1. Nani James

    JamiiForums Tanzania Kutochaguliwa chuo kikuu mwaka huu

    wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu
  2. Nani James

    JamiiForums Tanzania Tujuzane nini kinaendelea NACTE

    Tafadhali mkuu naomba unieleweshe,,kuna second application NACTE kama zipo naomba uniambie lini zinaanza
  3. Nani James

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    aise BIG THINK by ben carson ni baba lao
  4. Nani James

    JamiiForums Tanzania Unafiki wa TCU

    sasa wewe ndugu yangu shule yenyewe hiyo ni HKL tupu alafu unajidai mbele za watu et unavigezo...si ukae kimya tu
  5. Nani James

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu diploma ya Clinical Medicine

    kwan diploma TCU inahusika bossi
  6. Nani James

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Finland raha sana, tuige huko

    kumbuka elimu yetu imekuwa ni bora na ya kikoloni
  7. Nani James

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kusoma Advanced Diploma kutokea form six?

    iyo odinary diploma in clinical oficer inachukua mda.gani mkuu na ni shingap na ni vyuo gani vya serikar unaweza pata PCB kapat EEE mwak huu anaomba msaada
  8. Nani James

    JamiiForums Tanzania Application za vyuo (Diploma)

    vp kuhusu diploma ya udaktari mkuu ni vyuo gani vya serikari vinatoa pia ada na mdq
  9. Nani James

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Tanzania kupanda viwango 2016/2017

    elim yako chenga tu...
  10. Nani James

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu naweza kuapply kozi ya MD katika vyuo hivi?

    ndugu kipindi hiki ni kigumu ili uende muhas wanataka minimum 8pts yani BB kwa udsm hiyo kiti imefutwa....pole cn ila vyuo vya private wanataka 4.5 but kwa udom pia imefutwa...
  11. Nani James

    JamiiForums Tanzania Kweli tutafanikiwa kwa mabadiliko ya kuingia vyuo kwa diploma GPA 3.5 kupanda juu, tuoneeni huruma

    kweli hazikutoshi uliko pita E ilikuwa inaanza na ngapi??na wote walikuwa wanaenda chuo kikuu..halafu wamesema wahitumu wa mwaka jana ukiwa na C ndo unaenda chuo kwqni C & E ya sasa kunautofauti,?? zote zinaanza 40--49 ..acha ufala jiongeze ww . kwanza la saba ww unaonekan..ungekuw umepita...
  12. Nani James

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo kinachotoa kozi ya animation

    asante mkuu
  13. Nani James

    JamiiForums Tanzania St. Joseph yafungiwa kudahili wanafunzi 2016/17

    c wanajua vigezo walivyo weka mi vya kukandamiza watu kwenda chuo kikuu sasa ni razima wafunge vyuo vya private vyuo vyao vipate watun..c kwel kwamba st.joseph imezidiwa ubora na vyuo vya serikar kam udom
  14. Nani James

    JamiiForums Tanzania HESLB iwarudishie pesa (30,000/=) ambao wametoka Diploma na hawana 3.5 GPA

    wakifanikiwa kurudisha basi wawapokonye wale wenye vyeti vya degree walivyi pata enzi za nyerere ambao walienda chuo kikuu na pass mbili yani EE maana E ya nyerere ilikuwa 35 -44 wakati E ya 2016 ni 40 -49 halafu haendi chuo kikuu...hii raana na machungu ya watoto wa maskini hasa wale w...
  15. Nani James

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo kinachotoa kozi ya animation

    asante mkuu
Back
Top Bottom