sonofdory
Member
- Jul 4, 2016
- 78
- 38
Wanajamvi,
Mimi nmehitimu form six mwaka huu na matokeo yangu ni division 3.13 ya DDE.
Sawa nina D mbili ila ndoto yangu ni kuwa daktari na kwa alama hizo siwezi kusoma degree ya udaktari! Nimeapply TCU kozi za afya ya wanyama japo sikuwa na ndoto hiyo na uhakika wa kuchaguliwa ni mdogo.
Nimepata ushauri kuwa kama ninahitaji kuifikia ndoto yangu nikasome diploma ya Clinical Medicine. Nahitaji ushauri tu kuhusu kusomea diploma ya Clinical medicine. Nini advantages na disadvantages zake?
Mimi nmehitimu form six mwaka huu na matokeo yangu ni division 3.13 ya DDE.
Sawa nina D mbili ila ndoto yangu ni kuwa daktari na kwa alama hizo siwezi kusoma degree ya udaktari! Nimeapply TCU kozi za afya ya wanyama japo sikuwa na ndoto hiyo na uhakika wa kuchaguliwa ni mdogo.
Nimepata ushauri kuwa kama ninahitaji kuifikia ndoto yangu nikasome diploma ya Clinical Medicine. Nahitaji ushauri tu kuhusu kusomea diploma ya Clinical medicine. Nini advantages na disadvantages zake?