CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wapendwa, nini kinaendelea NACTE kuhusu second applications baada ya za kwanza- Form 4 to certificate, diploma admissins
Kwenye profle zetu ile sehemu waliokuwa wanaandika wait for selection sasa hivi wameimodify imekuwa 'wait for selectio wich expected to on 31st August 2016'Wapendwa, nini kinaendelea NACTE kuhusu second applications baada ya za kwanza- Form 4 to certificate, diploma admissins
Let me seeKwenye profle zetu ile sehemu waliokuwa wanaandika wait for selection sasa hivi wameimodify imekuwa 'wait for selectio wich expected to on 31st August 2016'
Tafadhali mkuu naomba unieleweshe,,kuna second application NACTE kama zipo naomba uniambie lini zinaanzaWapendwa, nini kinaendelea NACTE kuhusu second applications baada ya za kwanza- Form 4 to certificate, diploma admissins
Ni hivi, baada NACTE kutoa waliochaguliwa kwenda vyuoni kwa certificate na diploma, walitoa tena nafasi kwa ambao hawakupata waombe tena. Tuliomba na sasa tunasubiri selection. Kama hukupata taarifa pole maana wameshafunga kujisajiri. 31/8/2016 tunategemea watatoa matokea ya hawa waliioomba mara ya pili.Tafadhali mkuu naomba unieleweshe,,kuna second application NACTE kama zipo naomba uniambie lini zinaanza
Mbona kwenye website yao tangazo hilo silioni?Tarere 31/08 ndio siku nacte watakapo toa selection kwa walio omba awamu ya pili, muwe wapole.
Utalisubiri sanaMbona kwenye website yao tangazo hilo silioni?
Mie mwenyewe walinifanyia hivyo na mpka sasa naandikiwa nisubir second selection tangu tarehe 5Mi nliaply hi awamu ya pili mwanzo waliniletea selectn status kwamba nimechaguliwa chuo fulani,jmos iliyopta wakanionesha nimechaguliwa chuo kingine tofauti,sa hv wamefta tena imebak waiit second selectn 31 AGOST tatizo nn apo wadau??
Dah tuombeni mungu tuMie mwenyewe walinifanyia hivyo na mpka sasa naandikiwa nisubir second selection tangu tarehe 5