St. Joseph yafungiwa kudahili wanafunzi 2016/17

St. Joseph yafungiwa kudahili wanafunzi 2016/17

Harnandez

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
408
Reaction score
344
Waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako amesema chuo cha St. Joseph kimekuwa na mfulilizo wa matukio na mapungufu mengi hivyo hawawezi kupeleka wanafunzi mpaka chuo kihakikishe kinapunguza mapungufu yaliyopo.
 
Waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako amesema chuo cha st Joseph kimekua na mfulilizo wa matukio na mapungufu mengi hivyo hawawezi kupeleka wanafunzi. Mpaka chuo kihakikishe kinapunguza mapungufu yaliyopo.
c wanajua vigezo walivyo weka mi vya kukandamiza watu kwenda chuo kikuu sasa ni razima wafunge vyuo vya private vyuo vyao vipate watun..c kwel kwamba st.joseph imezidiwa ubora na vyuo vya serikar kam udom
 
Nina video hapa nashindwa jinsi ya kuiupload waziri amezungumza kua kuna madudu mengi pale st Joseph kuanzia malecturer kuja majengo na miundombinu ndo maana wamekizuia chuo ili kwanza kirekebishe kasoro zilizopo
 
Kilizuiliwa tangu mwezi 3.Lakini kwa sasa kipo vizuri,na course ambayo ilikuwa na matatizo ni Mechanical tu lakini wameleta mashine kibao za kutosha.
 
Tukiwa tunafunga machine Mechanical eng. Screenshot_2016-07-20-18-42-41.png
 
Kilizuiliwa tangu mwezi 3.Lakini kwa sasa kipo vizuri,na course ambayo ilikuwa na matatizo ni Mechanical tu lakini wameleta mashine kibao za kutosha.
Jana ndalichako wakati anaaddress tatizo la UDOM alizungumzia st Joseph n.a. akasema pale TCU kuna volume kama tano za matatizo ya at Joseph na ameagiza kifungwe kwanza na kipewe muda kukamilisha ndipo watapeleka wanafunzi
 
Jana ndalichako wakati anaaddress tatizo la UDOM alizungumzia st Joseph n.a. akasema pale TCU kuna volume kama tano za matatizo ya at Joseph na ameagiza kifungwe kwanza na kipewe muda kukamilisha ndipo watapeleka wanafunzi
Hizo nisababu zake za kisiasa siwezi kukuteta chuo,sisi tuligoma mwezi wa tatu ili marekebisho yafanyike na kufikia sasa marekebisho yamemalizika.Labda kama ana sababu nyingine,na hizo hapo juu ni baadhi ya picha zikionyesha ufugaji wa mashine.
 
Hapo ni GPA ya 3.5 na 4 points (DD) ndiyo inayowafanya Serikali Wafunge Vyuo.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-20-19-06-21.png
    Screenshot_2016-07-20-19-06-21.png
    311.5 KB · Views: 54
  • Screenshot_2016-07-20-19-06-06.png
    Screenshot_2016-07-20-19-06-06.png
    318.6 KB · Views: 54
Hapo ni GPA ya 3.5 na 4 points (DD) ndiyo inayowafanya Serikali Wafunge Vyuo.
Hapo ni GPA ya 3.5 na 4 points (DD) ndiyo inayowafanya Serikali Wafunge Vyuo.
Hapo ni GPA ya 3.5 na 4 points (DD) ndiyo inayowafanya Serikali Wafunge Vyuo.
Hapo ni GPA ya 3.5 na 4 points (DD) ndiyo inayowafanya Serikali Wafunge Vyuo.
hata wenyewe wadau waelimu waliopendekeza hivo vigezo hawakuingia na hio point4,

hapo hakuna usawa kabisa wa hizo point, vitivo na vyuo vya sayansi vinakwenda kufungwa time will tell
 
c wanajua vigezo walivyo weka mi vya kukandamiza watu kwenda chuo kikuu sasa ni razima wafunge vyuo vya private vyuo vyao vipate watun..c kwel kwamba st.joseph imezidiwa ubora na vyuo vya serikar kam udom
Kuandika kwenyewe hujui halafu umepata akili ya kuona mapungufu ya Udom. St. Joseph bora kuliko Udom! Ukimaliza huo utafiti wako upitie Mirembe.
 
hata wenyewe wadau waelimu waliopendekeza hivo vigezo hawakuingia na hio point4,

hapo hakuna usawa kabisa wa hizo point, vitivo na vyuo vya sayansi vinakwenda kufungwa time will tell
Wao walikuwa wanaingia na point 2 kwa masomo matatu! Halafu bila aibu wanataka wengine waingie na point 4 kwa masomo mawili!
Hakiki hilo kwa guide book ya 2015/16 kurudi nyuma!
 
Back
Top Bottom