Recent content by Nancy herman

  1. Nancy herman

    Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

    Naunga mkono
  2. Nancy herman

    Humprey Polepole, yupo Channel ten sasa hivi

    Hatarii yaaan hapa nipo makini kumsikiliza
  3. Nancy herman

    Nahitaji mtoto

    Duh pole mwaya umejaribu hii dawa DUPHASTON wanasema ni nzuri sana.
  4. Nancy herman

    kwa wanaume...swali kusuka au kunyoa

    Du!! kipara nomaaaaa
  5. Nancy herman

    Picha: CHADEMA M4C Mtwara

    Watu pipoooooooooooooo!!!!! naaam M4C noma
  6. Nancy herman

    Gari ya JWTZ lapinduka na kuua askari kadhaa wakiwa njiani kuelekea Mtwara kuongeza nguvu

    Ukisikia joto hasira kwa hawa chichiemu ndo huku!! loh kundambanda sasa anasikika maana wanamtwara wanakuja kwa style yao Mungu tunusuru maana wananchi sasa hawataki karudi baba mmojo toka safari ya mbali ......!!!
  7. Nancy herman

    Mjue RUGE na wasanii wa TANZANIA

    Igweeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
  8. Nancy herman

    "Hii sasa ni zaidi ya hatari"....Be careful

    Bro kuwa makini safari hii ukikurupuka tena unakutana na kituko kingine!!! hahahaa sina maana hiyo ubaki mwenyewe
  9. Nancy herman

    Kwema??????

    Naaam! nshapita
  10. Nancy herman

    Kwema??????

    Tanx dia
  11. Nancy herman

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Kibororoni - moshi Kunduchi - Dar Mbondole - Dar Makunduchi - Pemba
  12. Nancy herman

    huwa na serious relationship na waume za watu kuliko bachelors

    Duu!! shost we mkareee mpaka mwisho yani waona raha kuwaliza wenzako kwa kuwaibia tunda lao! mmh kuwa makini wengine hawaingiliki utaganda ka sumaku hukose wa kukunasua mama hivyo vya mpito kama kweli wajiamini we mzuri tafuta wako shoga hao wanakuzingua wake zao ndo wanzuri mpaka wamewaweka...
  13. Nancy herman

    "Hii sasa ni zaidi ya hatari"....Be careful

    Hahahahaaaa!!! ujakoma tuu???
  14. Nancy herman

    Kutopata siku vizuri

    Habari! mdogo wangu anamatatizo ya kutoona siku zake mara kwa mara. anaweza pata mwezi huu akafunga miezi 2 au 1 tatizo ni nini?
  15. Nancy herman

    "Hii sasa ni zaidi ya hatari"....Be careful

    Du! hapo sasa ndo atuambie isije ikawa nae alitaka kumuingiza mjini!! hahaha ila jamaa noma bana
Back
Top Bottom