Existentialist
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 554
- 377
Siku hyo alidai anataman kuwa na mm kimapenz...., nikamuomba asbh yake tukapime ili wote tuwe na uhakika tufaidi penz letu kwa raha....
Ilikuwa yapata mida ya saa kumi na mbili natoka ofisin nimebeba bag langu la laptop....ofsn kwetu ni karibu na chuo fulan cha uhasibu nikawa natembea miguu kwan sijabahatika kupata usafiri....
Wakati natafakari nikifika nipike nn kwan bado niko "bachelor", njian nikakutana na binti mrembo sana tena sana akawa anatembea anaelekea maeneo ya chuo...
Bhana eeeh c unajua mtu ukiwa katika harakati za kutafuta mchumba unatupa huku na huku, nikaamua nimpe hi then nikaomba namba ili tuwe tunawasiliana....
Baada ya muda mawasiliano yalikuwa makubwa sana tena sana akawa anakuja hadi ofsn kwangu......
Kilichofanya nilete hii mada hapa ndan ni siku huyu binti alipokuja ndan kwangu.....
Ili ajionyeshe kuwa yeye ni salama i mean kashapima akaja na cheti cha angaza akiwa amekipiga picha kikiwa kwenye cm yake.....hilo suala linitia hofu kidogo kwan sikuamini kama ni kwel au danganya toto...
Siku hyo alidai anataman kuwa na mm kimapenz...., nashukuru nimepewa uwezo wa kuvumilia nilimkatalia nikamwambia nashukuru yy kapima bt hapaswi kuniamni mm nikamuomba asbh yake tukapime ili wote tuwe na uhakika tufaidi penz letu kwa raha....
Huwezi amin asbh nikachukua tax nikambeba ili tukapime, tulipofika sehemu husika nikaomba nikamuone doctor then nitamuita......eeeeeeeeeh niliporudi sikumkuta na simu yangu hakupokea tena na sijawah kumuona tena....
Vijana tuwen makini hii ni zaidi ya hatari kama watu wamefikia kuforge vyeti vya angaza...????
Jaman unataka nikae peke yangu #Nancy herman
Utakuwa unamjua huyu dada alinambia anaishi dar......eti makongo......
unaweza kupima mwenyewe sio lazima kuandamana kwa dr....nenda pharmacy nunua vya kupimia weka ndani ukipata kimwana mnapimana hadi mnaridhika kugegedana
Fundisho kwa mzabzab-kamanda wa kugegeda.
Kamanda mumuache sasa rafiki yangu mzabzab, wagegedaji humu ni wengi sana sema tu hawajioneshi wanajifaanya kondoo, pili mzabzab ni mkweli...ni ngumu kuoa au kumhakikishia ndoa kila bint unaemgegeda. Sema tu wanawake tunapenda tuongopewe kwamba tutaolewa bila kujua ndoa ni process haiwezi kuja kirahisi just kwa kutamkiwa
Ilikuwa yapata mida ya saa kumi na mbili natoka ofisin nimebeba bag langu la laptop....ofsn kwetu ni karibu na chuo fulan cha uhasibu nikawa natembea miguu kwan sijabahatika kupata usafiri....
Wakati natafakari nikifika nipike nn kwan bado niko "bachelor", njian nikakutana na binti mrembo sana tena sana akawa anatembea anaelekea maeneo ya chuo...
Bhana eeeh c unajua mtu ukiwa katika harakati za kutafuta mchumba unatupa huku na huku, nikaamua nimpe hi then nikaomba namba ili tuwe tunawasiliana....
Baada ya muda mawasiliano yalikuwa makubwa sana tena sana akawa anakuja hadi ofsn kwangu......
Kilichofanya nilete hii mada hapa ndan ni siku huyu binti alipokuja ndan kwangu.....
Ili ajionyeshe kuwa yeye ni salama i mean kashapima akaja na cheti cha angaza akiwa amekipiga picha kikiwa kwenye cm yake.....hilo suala linitia hofu kidogo kwan sikuamini kama ni kwel au danganya toto...
Siku hyo alidai anataman kuwa na mm kimapenz...., nashukuru nimepewa uwezo wa kuvumilia nilimkatalia nikamwambia nashukuru yy kapima bt hapaswi kuniamni mm nikamuomba asbh yake tukapime ili wote tuwe na uhakika tufaidi penz letu kwa raha....
Huwezi amin asbh nikachukua tax nikambeba ili tukapime, tulipofika sehemu husika nikaomba nikamuone doctor then nitamuita......eeeeeeeeeh niliporudi sikumkuta na simu yangu hakupokea tena na sijawah kumuona tena....
Vijana tuwen makini hii ni zaidi ya hatari kama watu wamefikia kuforge vyeti vya angaza...????
na wewe unamashaka ilikuwaje hadi uingie kwa dokta mwenyewe?ulimtia hofu ndo mana akatoka nduki mana kitendo cha wewe kuingia kwa dokta peke yako kilimpa jibu kuwa UNAENDA NUNUA MAJIBU akaona unataka kumuuzia mbuzi kwa gunia! by the way kama nia ilikuwa njema congratulation!!!
1
Ilikuwa yapata mida ya saa kumi na mbili natoka ofisin nimebeba bag langu la laptop....ofsn kwetu ni karibu na chuo fulan cha uhasibu nikawa natembea miguu kwan sijabahatika kupata usafiri....
Wakati natafakari nikifika nipike nn kwan bado niko "bachelor", njian nikakutana na binti mrembo sana tena sana akawa anatembea anaelekea maeneo ya chuo...
Bhana eeeh c unajua mtu ukiwa katika harakati za kutafuta mchumba unatupa huku na huku, nikaamua nimpe hi then nikaomba namba ili tuwe tunawasiliana....
Baada ya muda mawasiliano yalikuwa makubwa sana tena sana akawa anakuja hadi ofsn kwangu......
Kilichofanya nilete hii mada hapa ndan ni siku huyu binti alipokuja ndan kwangu.....
Ili ajionyeshe kuwa yeye ni salama i mean kashapima akaja na cheti cha angaza akiwa amekipiga picha kikiwa kwenye cm yake.....hilo suala linitia hofu kidogo kwan sikuamini kama ni kwel au danganya toto...
Siku hyo alidai anataman kuwa na mm kimapenz...., nashukuru nimepewa uwezo wa kuvumilia nilimkatalia nikamwambia nashukuru yy kapima bt hapaswi kuniamni mm nikamuomba asbh yake tukapime ili wote tuwe na uhakika tufaidi penz letu kwa raha....
Huwezi amin asbh nikachukua tax nikambeba ili tukapime, tulipofika sehemu husika nikaomba nikamuone doctor then nitamuita......eeeeeeeeeh niliporudi sikumkuta na simu yangu hakupokea tena na sijawah kumuona tena....
Vijana tuwen makini hii ni zaidi ya hatari kama watu wamefikia kuforge vyeti vya angaza...????
unaweza kupima mwenyewe sio lazima kuandamana kwa dr....nenda pharmacy nunua vya kupimia weka ndani ukipata kimwana mnapimana hadi mnaridhika kugegedana
Jaman plzzzz mnielewe nilikuwa naulizia cz maeneo ya huku mm ni mgeni....."if u can't blv ma words nimetamka rasmi aliye tayari kuanzisha nami maisha anitumie private sms ila awe mcha Mungu sifa zngne za kawaida ila kidogo awe na mvuto....ahahahahh" I'm 28 years old, nafanya kaz wizara ya maliasili"....Kupima kwanza na tendo baada ya ndoa