[emoji91]MRADI MPYA KIBADA ~~>SHANGWE[emoji817]
KM 8 KUTOKA FERRY
MITA 600 KUTOKA BARABARA YA KIBADA/MJIMWEMA
[emoji117]UKUBWA:
SQM 500/600/1000
[emoji117]BEI:
TSH,55,000/= @ SQM1
[emoji117]KUTEMBELEA MRADI:
TUNAKWENDA SITE KILA SIKU BILA GHARAMA YOYOTE
********************************...
Kabla ya Kuwalaumu Kutumia Au Kutotumia Ingependeza Utujulishe Nini hasa kusudio la Kuwatunuku Ili iweje Ili Baada ya Kuwatunuku waweje ,au wafanyeje namaanisha Hivi
Kuwaita au kutowaita
Nikiwa na Maana Inawezekana Badala ya Kuwalaumu Kwa kulitumia neno Dr,
Pengine Tulipaswa kuwapongeza...
Hivi Kwa Mfano Dhamira ya Mali ni kuuzwa Lakini Mteja Bado hajapatikana Je Nini Kinaanza
Kugawa Kwa Kufata Asilimia na Mtapouza Mnakamilisha Au Sheria inataka Kwanza ziuzwe Ndipo Mgawane ?
Habari Mkuu Nikihitaji Huduma za Google Lakini Katika Visa Card Wanataka Cvc Badala ya CVV Sasa Mimi Natumia M'pesa Visa Card Yenyewe Ni CVV tu Je Nifanyeje Kupata Cvc ya Mpesa visa card?
Una Matatizo Katika Kufikiasha Mawazo Yako Mfano Hata Huu Mstari Uliomalizia Unatoa Picha Mbili
Moja Ni Kwamba Mungu Hakujua Kuwa Shetani Atahasi
Au Amekosea Kwa Kuwa Alijua Kuwa Atahasi Na Bado Akamuumba Kwa Maana Amechagua Njia Si Sahihi
Haya Ni Matatizo Katika Kufikiri Na Kufikisha
Yaani...
Tafakari Upya
Si Kila Neno Linatumika Kwa Kila Mtu Au Kila Wakati Au Linawezekana Kutumika Mahali Popote
Neno "" NINGEKUWA MIMI NISINGEFANYA HI"
Neno Hilo Hutumika Kwa Viumbe Tu sio Kwa Muumba.
Neno Ulilotumia Linaleta Kasoro Au Makosa
Kwamba Kilichofanyika Si Sahihi Maana yake Kimekosewa...
"Kuhusu Kurithiana"
Kwanini Kenya Mbona Kama Mfano Wako Kama Si Sahihi?
Uhuru Kenyatta Si Mtoto Jomo Kenyatta ?
Na Hata Raila Odinga Sio Mtoto wa Jaramogi Oginga Odinga ?
Au Mimi Ndio Nimekuelewa Vibaya?
Inawezekana Kenya Wametuzidi Sawa Lakini SinKatika Hili.
Kumbe Bado Hewa ya Darasani unayo Ndio Maana Unaamini Kuwa Kilimanjaro Imepindishwa
Mpaka Hata Ukikuzunguka Ukaacha Njia Ndogo tu Hiyo inatosha Kuwa Tofauti
Mlima Kilimanjaro Upo Tanzania "Nasema Kwa Sauti Kuu"
Hivyo Vi History Vyenu Vya Ku copy na Ku paste Tulieni Kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.