Wanigeria kama wachagga tu hapa bongo, hawachagui cha kufanya, ili mradi december akaonyeshe kitu kwao. Kukaba, kuiba, ujambazi, kitmoto, nyama choma nk. Chochote kwao fursa kiwe halali au haram
Si kweli, usipotoshe umma. Hakuna ajira za design hizo enzi hizi. Kama mtu hujachaguliwa jua huqualify. Kumbuka watu wasio na ajira ni malaki hamuwezi wote kufanya jazi TRA. So ikitokea bahati mbaya hujakidhi vigezo jua kuna ambao wamekidhi.
Hapana uyahudi ni dini. Kabila ni yake makabila kumi na mbili ya watoto wa Yakub ambao almost wote dini yao ni uyahudi.
Na kumbuka hao wayahudi wanamjua Musa na Yesu hawamtambui kabisa
We kweli una moyo wa kiume na maamuzi ya kiume na declaration za kiume. Why uteseke wakati hizi ishu zipo possible tena enzi na enzi. Sidhani kama you are the first one. Big up
Hii comment niliisubiri sana. Hitler kweli aliwaua wayahaudi wa ulaya na si wayahudi tu.
Lakini pia si iwa idadi inayozungumzwa, Wayahudi wamejaliwa sana kwenye propaganda huenda kuna hidden agenda ya wao kudanganya figure. Walikuwa na maana yao ambayo huenda sisi hatuijui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.