Wazo na maoni yako ni mazuri....but maswali 2...how do you gain experience on utashi wa kisiasa kwa kiongozi pekee bila wataalamu wake kuwa na uzalendo? Nina imani ndicho watakachokifanya wataalamu kutoka rwanda. Rais JPM yuko serious but hao wataalamu wengu unaosema tunao wahana huo uzalendo...
Aaah wapi miaka yote hiyo hawYaji maslahi ya Tanzia au? Awamu iliopita kj ameenda sana USA mpaka obama kaja tz. Yako wapi matokeo chanya zaidi ya sisi kuendelea kuwa masikin?
Kama walikuwa wanafanya biashara na hela zetu wenyewe halafu wanatupiga riba.....wakimbie tuu kumbe walikuwa hata haeana faida kwa uchumi wa nchi yetu. Tutayumba lakini tutapata kAzi nyingine ya kufanya na nidhamu mtaani itakuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.