Em Foo Sii
Senior Member
- Apr 20, 2016
- 132
- 60
Kiswahili nacho ni kipana,na kuna majina mengine yana maana tofauti tofauti yaani maana zaidi ya moja
Nadhani itatupasa sasa kutotumia baadhi ya majina na maneno la sivyo sheria itagonga kengele
By the way busara itumike katika hili kwani kama kungekua na uamuzi wa kudig mtu kufuatilia kila alichoandika isingekua rahisi kuchomoka.
Nadhani itatupasa sasa kutotumia baadhi ya majina na maneno la sivyo sheria itagonga kengele
By the way busara itumike katika hili kwani kama kungekua na uamuzi wa kudig mtu kufuatilia kila alichoandika isingekua rahisi kuchomoka.