Nyinyi wanajamii forum mnaojiita wasoma acheni kua wajinga...pumbafu nyie
Mkishinda mnashangilia ila mkiona mnakaribia kushindwa ndio mnaanza kulalamika.
Hivi usomi wenu uko wapi???pale kwenye ukweli simameni kwenye ukweli...acheni kulalamikia ujinga.
Habari ndio hiiioooooooooooooooo
CCM is...
Mdau
Mi naona kama ungefuatilia vizuri.
Ukitaka kazi za Barrick Gold soma zaidi Guardian na Daily news ndiko wanakotoa matangazo mengi ya kazi.
Lat week wametangaza nafasi kama 6 hivi Moja ikiwepo Process plant training Superitendent.(Mdau hiki ni cheo cha juu sana mgodini,kama unamjua mtu...
Jamani hawa wazungu ikija kwenye suala la kupeana raha chumbani ni zero kabisaaaaaaaaaaaaa.
Lakini wanajua kupenda na akikupenda basi wewe ni malkia.
Makaka zetu wa kibongo ikija kwenye suala la kuridhishana wala usiongee..they will take you to the moon..ila sasa tatizo lao na wao mtapangwa...
Mi nakubaliana na wewe kabisa kua Kikwete sio safi.
Ila tukimuondoa Kikwete nani ambae ana afadhali???
Tuwe wakwelli jamani...Watanzania bado tuna mwendo mrefu..hatuna kiongozi ambae twaweza sema ni 100% kama kina Obama na Clinton...hawa wa kwetu kuna mawili,its either Ni fisadi au bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.