Recent content by Najiona Mimi

  1. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania T.R.A oral interview

  2. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania T.R.A oral interview

    Ulitoboa?
  3. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Sijajua kama ina practical au lah ila nilikua nahitaji hints za practical za hii fani ya data analyst coz sijawahi fanya practical zake.
  4. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Habari wadau mwenye uzoefu au aliyewahigi kufanya practical interview ya data analyst TRA 2023. Atoe hints kidogo
  5. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

    Endelea kufanya unachokiona bora na sahihi kwako.
  6. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

    Punyeto ina madhara ila madhara yake naweza sema karibia yote ni ya kisaikolojia yani effect zake ni za kwenye ubongo ila sio physically. Mfano nyeto inapelekea mtu kutokujiamini hii ukiifatilia vizur inasababishwa na ile hali ya mtu kuanza kujishtukia na kuhisi watu waliomzunguka wanajua...
  7. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Wiki ya pili leo sijapata AVN Number nisaidieni wakuu

    Nenda ofisi za nacte pale mwenge ITV,trust me unapata siku hiyo hiyo ikiwa tu matokeo yalishatumwa kwao. Kuna dogo nilimshauri pia alienda akapata chap.
  8. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Mdau: Baada ya baba kupotea, rafiki yake ametuma watu wenye silaha kuvamia nyumba yetu akitaka tuhame

    Poleni sana jirani,binafsi namfaham mzee(aliyepotea).Pia n jirani yenu.Natanguliza pole. Si nilisikia baba alikua n mmoja wa watu waliokua wanadai sirikali! Au ulikua ni uzushi tu? Na inasemekana ndo chanzo cha kupotea kwake maana kwa hali ya kawaida labda uwe mafia yani umpoteze mtu na gari...
  9. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

    Pole sana kaka,kwa unachopitia.
  10. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

    Pole sana man,i can feel your pain bro
  11. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri, nasumbuliwa na changamoto ya kukosa kujiamini

    Unapiga punyeto?
  12. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

    Ukishajua thamani yako bas uwez umizwa na mapenzi,kwann ulazimishwe kupendwa na mtu ambaye haoni thamani yako!!
  13. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

    Single maza,mwanamke aliyekua kwenye uhusiano na mwanaume zaidi ya miaka 5,hapa na maana kwenye hyo miaka 5 walikua wanachakatana bas usije ukawaweka moyoni hzo type mbili za wanawake,ni rahisi kurudiwa na maex wao!!
  14. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Unaonekana mtamu sana ww
  15. Najiona Mimi

    JamiiForums Tanzania Usioe Mwanamke asiyekupenda

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na ndo wenye mapenzi ya dhati!!
Back
Top Bottom