Punyeto ina madhara ila madhara yake naweza sema karibia yote ni ya kisaikolojia yani effect zake ni za kwenye ubongo ila sio physically.
Mfano nyeto inapelekea mtu kutokujiamini hii ukiifatilia vizur inasababishwa na ile hali ya mtu kuanza kujishtukia na kuhisi watu waliomzunguka wanajua...
Nenda ofisi za nacte pale mwenge ITV,trust me unapata siku hiyo hiyo ikiwa tu matokeo yalishatumwa kwao.
Kuna dogo nilimshauri pia alienda akapata chap.
Poleni sana jirani,binafsi namfaham mzee(aliyepotea).Pia n jirani yenu.Natanguliza pole.
Si nilisikia baba alikua n mmoja wa watu waliokua wanadai sirikali! Au ulikua ni uzushi tu?
Na inasemekana ndo chanzo cha kupotea kwake maana kwa hali ya kawaida labda uwe mafia yani umpoteze mtu na gari...
Single maza,mwanamke aliyekua kwenye uhusiano na mwanaume zaidi ya miaka 5,hapa na maana kwenye hyo miaka 5 walikua wanachakatana bas usije ukawaweka moyoni hzo type mbili za wanawake,ni rahisi kurudiwa na maex wao!!
Ufatilii mzik ww!!kuna chart za uingereza za afrobeat toka zimeanza kutoka hzo chart cjawah ona ngoma ya east africa,tunadanganyana tu mzik wetu bado sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.