Pole kwa mstuko mkuu ila kila jambo linalokuja huwa Lima sababu cha msingi tupa hofu kule fuata ushauri wa wanajamii.....mtoto ale vizuri ila asubuhi MPE kijiko cha asali ya nyuki wadogo pamoja na kijiko cha habbatsoda ndani ya miezi sits kapime ila mbogamboga sana matunda na maji nyama punguza...
Sii kweli mkuu kila binadamu ameubwa na sifa ya wema ila kinachotokea MTU akafanya jambo baya tambua sii yeye bali shetani yupo nyuma yake ndo maana akishatekeleza lile jambo adui anaondoka anabaki yeye ndani ya majuto makubwa.
Jipe moyo mkuu kwanza mbowe atoke pili lowasa wake aondolewe mambo yatakuwa muswano vinginevyo bado mtaendelea kuswagwa tuu. Wanasiasa in wanafiki sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.