Habari wakuu,
Nina changamoto yapata mwezi sasa ulimi wangu umechubuka ulianza upande mmoja na umeenea kiasi mpk kwa mbele kabisa, nilienda hospital nikapewa cipro ya kumeza na Quadrajel ya kupakaa, hazijanisaidia kabisa, naomba ushauri wa Dr. yupi anafaa kumuona kwa tatizo hili? ni daktari wa...
Kisa kinahuzunisha jana usiku tulivamiwa na vibaka sijui majambazi, nyumba ninayokaa ni kuna nyumba tano but nyumba moja inakaa familia mbili yaan tunajitegemea ni vyumba viwili,jiko na sebule na kiveranda basi bwana wakavamia wakishawasachi wanawatoa nje so walianza kwa wenzetu me nikawasikia...
Nipelekee kule chumban kwenu MMU, mimi nilikua na mtu wangu tunapendana sana tumekaa mwaka na nusu hapo alikua yuko Tanga me morogoro akahamia dar kikazi na mimi nikapata kazii dar tukapendana sana akaja akajitambulisha akatoa posa bahat nzuri akatakiwa aende darfur kikazi kwaio tukasimamisha...
Hapo ndipo ninapoona tofauti ya mapenzi ya wazungu na waafrika, ingetokea uzunguni hiyo huyo mzungu angemuoa huyo binti wakati huo kwa kuonesha upendo wake kwake na ndio maana wengi wanafunga ndoa na wapenzi wao waliopo kitandani ambao mara nyingine unakuta mwanamke ana stage 4 cancer, lakini...
Hio hali ni hali ambayo unaweza kuibadilisha, hasira unaweza kuibadilisha wewe mwenyewe tena kwa kupuuzia tu, kuwa aah kwani kitu gani, najikumbuka mimi mwenyewe nilikuwa nina hasira sana, nyumbani balaa ni kila wakati sitaki kuonewa na rafiki wala kaka wala dada angu, lakini huwezi amini...
Ulitaka apeleke wapi mkuu au akawasimulie ukweni? humjui na hakujui ata akileta hapa ana hasara ipi? zaidi ya kupata relief ya tatizo lake? wakati mwingine tunahitaji busara katika kuchangia hoja, huu mchango sidhani kama una manufaa kwa mtoa mada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.