Mke wangu nimemtimua leo

Mke wangu nimemtimua leo

Nimewaza vizuri sana,nikazingatia bandiko lako,hebu lisome mwenyewe kwa utulivu,ila ujuwe Luna muongozo WA kuishi na Mke,nanukuu,( ishini na wake zenu KWA AKILI ),mwongozo huo usipo upata maishani mwako utabadilisha viumbe hao hadi kiama,wasalaam
 
Mambo ya kuleta mambo ya ndani ya nyumba public ni mambo ya kike, Wanawake ndiyo kutwa nzima huongelea mambo ya ndani, maofisini kutwa nzima hata hawafanyi kushinda kuhadithiana kuhusu waume zao, Wanaume hawako hivyo, na hiyo ndiyo sifa ya kiunaume ijulikanayo Dunia nzima, kwamba ni watu kutatua matatizo!
Sasa kama ulishachukuwa uamuzi haukupaswa kuja hapa kulialia ulipaswa kuendela na maisha yako, huo ndiyo Uanaume, na kama ukitaka Mwanamke akuheshimu basi onyesha Uanaume, vinginevyo utabadilisha Wanawake kila siku mpaka ukate tamaa na kuhamia kwa Wanaume sasa!
kazi ya jukwaa ni nini sasa,kuacha ujinga ni ngumu
 
Duuuuuuhhhh ushauri mwingine bwana .......

Mtu kaomba ushauri wengine wanaleta swaga......
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!



Ulitaka apeleke wapi mkuu au akawasimulie ukweni? humjui na hakujui ata akileta hapa ana hasara ipi? zaidi ya kupata relief ya tatizo lake? wakati mwingine tunahitaji busara katika kuchangia hoja, huu mchango sidhani kama una manufaa kwa mtoa mada
 
Pole kwa yaliyokukuta. Inasemekana wewe hujawai msaliti!!
Ila Kuna kipimo cha mama yako kukufariji.
 
Lakini huyo kaeleweka anachozungumza kama yy ni lege lege na ww ni mpingo Lakini dada zetu wengie wanakuwa na tamaa nyingi lakini kwa ww ambaye hujagundua kuchapiwa utaona powa tu! Elewa hata ww unachapiwa sema tu hujagundua,wengine wanazidi hadi wanaitwa suzuki kwa kasi aliyonayo wife!
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Mmh!!!!! Na ukitaka papuchi bi mkubwa wako atakupa?punguza hasira.
 
pole sana kaka mimi niko kwa ndoa 10months maisha si mabaya sana though bibie ananiwakia kama mtoto mdogo
 
Usaliti upo tangia enzi za Adam na Hawa...mrudie mkeo

Nyie ndo mnatufanya tusioe kuhalalisha hiki kitu.....wanawake wooote hao mpk aje kwa mke wangu ebooo!! Nadhani kila mwanaume anaweza kupata mwanamke wa kwake pekeake na wakabaki. Sasa iweje wangu Mkuu napata hasira kweli napofikiria hii kitu. Daah wacha niendelee kuwepo wepo kwanza
 
safi sana kijana ......mke mwema is coming soon we jitahd kutenda wema tu kwa kila ajae usilipize
 
ushauri wangu ni uhamishie mapenzi yako katika kazi zako na uweke juhudi za kutosha itakusaidia kusahau machungu na utaongeza kipato chako,pole bro
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Kakusaliti kwasababu umeshindwa kumpa mimba ndani ya miezi 7 ya ndoa yenu.
Alikuwa anatafuta Mtoto nje ya ndoa huyo.
 
pole mkuu kuna kausemi kanasema GRASS IS ALWAYS GREENER ON THE OTHER SIDE. mwanamke alitamani kuwa sawa na Mungu akala tunda, atashindwa kutamani wanaume wengine na kuwapa papuchi? hawa viumbe wanalilia kuolewa sio kwasababu wanakupenda saana ila wanataka kujihakikishia maisha tu.

mshike mshike ndege tunduni, sie wajanja tumeshakimbia.
Izi stress za wanawake ni shida kubwa sana mimi yalinishinda ndani ya miezi michache mno,wanawake wamekuwa viumbe wa ajabu kabisa bora azini akumbuke kutumia hata kinga basi,hayakumbuki matokeo yake yanaleta na magonjwa ndani ya nyumba mtu kama huyo umfanyeje sasa zaidi ya kumtimua tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom