Recent content by naid

  1. N

    Zaidi ya 50% ya wabunge CHADEMA kushindwa 2020

    mwaka huu mlisema watapungua. tuambie sasa wakina nani wamepungua?
  2. N

    CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

    Tena kwa kasi kubwa sana,yaani amekuwa analeta post za kitoto kila kukicha.
  3. N

    CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

    Suala sio act, tatizo unaishi kiumbeaumbea. Hivi kukiwa na kikao cha dharua cha ccm (kiwe cha kumkata au si cha kumkata Lowassa ) wewe inakuhusu nini. Hivi hakuna jambo zuri la kutuhabalisha toka CHADEMA?
  4. N

    GE2015 Makubaliano ya Jakaya na Lowassa na hatari ya Taifa kuanguka, Onyo kwa wajumbe wa CC

    Nilijua tu vitu kama hivyo Yericko atakuwa amecopy na kupaste. Aibu kubwa ni kuwa pamoja na kucopy ameshindwa kulink mifano yake na madhara ya makubaliano ya JK na ED.
  5. N

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Kwa nilivyokuwa namjua/kumfahamu mwanakijiji miaka miwili iliyopita angepaswa aandike kama ulivyoandika MTK, kwa bahati mbaya vijana wengi tunaharibiwa na makundi. Siamini kama mwanakijiji hajui kuwa "education is everything and second to none"
  6. N

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Nimeshangaaa sana post ambayo mwanakijiji ameiandika,ningemwona wa maana kama angesema tumchague Membe wake. Povu linalomtoka si bure. MSOMI GANI ANAEJIITA MCHAMBUZI anaetaka kutuaminisha kuwa kama jipaumbele cha mtu ni kitu fulani basi vitu vingine havitakwenda. Hivi mtu akisena mwaka huu...
  7. N

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    HIVI MWANAKIJIJI, kwani mtu akisema kipaumbele chake ufisadi inamaanisha kuwa vitu vingine havitafanyika?
  8. N

    Lowassa ana BAed, naomba kujuzwa alishawahi kufundisha shule ipi/zipi?

    Wakati mwingine kabla hujapost ni vyema unachotaka kupost ukamshirikisha jirani yako kuliko kujitia aibu huku Jf. Kwani aliyekuambia ukisomea kitu lazima ukakifanyie kazi nani?
  9. N

    Wajumbe Kamati Kuu: Ni Lowassa Pekee Ndiye wa kuibomoa UKAWA!

    Lowasa awe CCM au asiwe ccm , asipitishwe na ccm au apitishwe na ccm BINAFSI NITAMCHAGUA labda akatae yeye mwenyewe.
  10. N

    Vikao vizito vya CCM kuanza leo

    Safari ya matumaini hiyoooooo
  11. N

    Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

    Kwahiyo wewe kuwa muislam ndo kutufanya waislamu wengine tusimpende Edo. Kama wewe una mapenzi na dk Silaa indelea nayo. Sie safari ya matumaini imeanza.
  12. N

    Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

    Hivi leo Edo na waislam ni tatizo? anachojaribu kusema da Faiza ni kuwa hata Padri wetu kipenzi dk Silaa anazihitaji. Na ndo maana alishawahi kwenda pale mtambani mara baada ya msikiti kuungua mara ya pili.
  13. N

    Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

    Mtamile, Kweli we umemaliza kila kitu.
Back
Top Bottom