Recent content by nagG

  1. nagG

    TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Naomba mwenye past papers au link ya possible questions ya kada ya internal affairs anisaidie au kama Kuna Whatsapp group
  2. nagG

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    ivi barua inaandikwa kwa mkono au computer?
  3. nagG

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    angalia walivyoziweka ajira portal kama mdau hapo juu alivyotuelekeza jinsi ya kujaza ili mfumo usikatae, wameweka bachelor of education alafu masomo uliyospecialize kama ni mathematics au kiswahili and geography, sasa mimi natafuta bachelor of education nimespecialize history ad english...
  4. nagG

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    asante, nimepaona, ila nashangaa hakuna bachelor of education history and english language, au wewe umeiona?
  5. nagG

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    mfumu ukakat5aa mimi nimesoma BAchelor of arts with education ila nikiomba walimu wa degree inagoma
  6. nagG

    Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road

    duh huyu baba wa mbele wa shati la draft amepona kweli?
  7. nagG

    Unakutana na Vikwazo gani unapofanya Biashara kwa njia ya Mtandao?

    bei za internet ziko juu sana hii hukwamisha biashara ya mitandaoni kwa sehemu kubwa, eneo hili liangaliwe ili kuleta uwezo mkubwa wa vijana kujiajiri katika sekta hii, kupandisha bei za vifurushi vinafungia watu uwezo wakufanya biashara hizi kiufasaha, na hata sio kufanya tu bali hata kujifunza...
  8. nagG

    Mbunge ashauri ajira za watumishi wa umma ziwe za mikataba

    hii ianze kwa wabunge wenyewe kwanza
  9. nagG

    Nafasi za Kazi Idara ya Uhamiaji Leo 11/12/2022

    naweza kuomba kama sina leaving certificate?
  10. nagG

    Serikali ya Kenya kufungua vituo 25,000 vya Wi-Fi ya bure

    TZ tunafail wapi? maana bundles tu za internet zinapigwa panga
  11. nagG

    Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

    Wanausimamisha wao kama nani hebu watuache
  12. nagG

    Kenya2022 Afisa wa Uchaguzi aliyetoweka akutwa amefariki

    Mmmh kwa taarifa hizi hayo matokeo sina imani nayo
  13. nagG

    Msanii wa Nigeria, Kizz Daniel akamatwa na Polisi Jijini Dar

    wanaigeria wana mambo mengi pengine aliona nguo alizoletewa na wabongo zina mauzauza akagoma
Back
Top Bottom