Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,404
8,182
Kampuni hiyo ya uzalishaji mafuta imetakiwa kufika mbele ya jopo la Wabunge wa Umoja wa Ulaya Oktoba 10, 2022 kujieleza kuhusu athari za Kimazingira na Ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).

Mtendaji Mkuu wa Kampuni, Patrick Pouyanné ametakiwa kuwasilisha vielelezo vya utetezi kuhusu uhalali wa mradi huo mbele ya Kamati ya Bunge ya Mazingira, Chakula na Maliasili, pamoja na Haki za Binadamu.

Mradi wa EACOP umekuwa ukipata upinzani kutoka kwa wanamazingira pamoja na wafadhili ambapo wiki iliyopita Bunge la Umoja wa Ulaya lilipitisha azimio la kuusimamisha kwa mwaka mmoja, ili kushughulikia masuala ya Mazingira na Haki za Binadamu, hata hivyo uamuzi huo umepingwa na Serikali za Tanzania na Uganda.

============================

International oil major TotalEnergies will on October 10 answer to charges of environmental and human rights abuse before the European Union parliament in Brussels in a new threat to the actualisation of its East African Crude Oil Pipeline (Eacop) and related upstream oil projects in Uganda’s Lake Albert region.

The European Parliament has summoned chief executive Patrick Pouyanné to Brussels to justify the project that the lawmakers denounced last week. He will appear before the parliamentary Committee on Environment, Food and Natural Resources, as well as that of Human Rights. The outcome will determine how the company navigates this latest crisis.

Last week, the European Union parliament passed a resolution calling for the French oil major and its joint venture partners to delay the projects by one year, to address environmental and human rights concerns. That decision was dismissed by Ugandan President Yoweri Museveni who said the country will look for alternatives if Total obeys the European Parliament.

Source: Business & Human Rights Resource Centre
 
Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika Ulaya na Marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya kwa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana. Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo.
 
Wazungu wanajua bado wanatutawala kiuchumi, ndio maana wanaonesha jeuri ya wazi.

Baada ya lile tamko lao la mwanzo kupingwa serikali za Tanzania na Uganda, sasa wameamua kuisumbua hiyo kampuni, sijui jamaa watafanyaje kama wakitishwa licha ya maelezo watakayotoa.

Mwanzo nilikuwa sielewi maana ya "vita vya kiuchumi" hasa kwa hizi nchi zetu maskini dhidi ya matajiri, nikijiuliza matajiri wana shida gani nasi mpaka watufanyie visa.

Sasa kwa haya yanayoendelea kwa bunge la Ulaya dhidi ya huo mradi wa mafuta, ndio nimejua nguvu tuliyonayo maskini kiuchumi dhidi ya wazungu, muhimu tujue namna ya kusimamia ukamilishaji wa miradi yetu kwa pesa zetu, utegemezi hauwezi kutuacha salama.
 
Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika ulaya na marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya KWa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana... Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo....
Hili ndilo ambalo lilisababisha Putin akaanzisha mzozo Ukraine. Marekani akifanya sawa ila wenzie wakifanya kosa anapinga vikali si ushoga huo.
 
Wazungu wanajua bado wanatutawala kiuchumi, ndio maana wanaonesha jeuri ya wazi.

Baada ya lile tamko lao la mwanzo kupingwa serikali za Tanzania na Uganda, sasa wameamua kuisumbua hiyo kampuni, sijui jamaa watafanyaje kama wakitishwa licha ya maelezo watakayotoa.

Mwanzo nilikuwa sielewi maana ya "vita vya kiuchumi" hasa kwa hizi nchi zetu maskini dhidi ya matajiri, nikijiuliza matajiri wana shida gani nasi mpaka watufanyie visa.

Sasa kwa haya yanayoendelea kwa bunge la Ulaya dhidi ya huo mradi wa mafuta, ndio nimejua nguvu tuliyonayo maskini kiuchumi dhidi ya wazungu, muhimu tujue namna ya kusimamia ukamilishaji wa miradi yetu kwa pesa zetu, utegemezi hauwezi kutuacha salama.
Kelele zote utakuta ni Kenya wanaendeleza figisu kisa bomba halijapita kwao.
 
Wazungu wanajua bado wanatutawala kiuchumi, ndio maana wanaonesha jeuri ya wazi.

Baada ya lile tamko lao la mwanzo kupingwa serikali za Tanzania na Uganda, sasa wameamua kuisumbua hiyo kampuni, sijui jamaa watafanyaje kama wakitishwa licha ya maelezo watakayotoa.

Mwanzo nilikuwa sielewi maana ya "vita vya kiuchumi" hasa kwa hizi nchi zetu maskini dhidi ya matajiri, nikijiuliza matajiri wana shida gani nasi mpaka watufanyie visa.

Sasa kwa haya yanayoendelea kwa bunge la Ulaya dhidi ya huo mradi wa mafuta, ndio nimejua nguvu tuliyonayo maskini kiuchumi dhidi ya wazungu, muhimu tujue namna ya kusimamia ukamilishaji wa miradi yetu kwa pesa zetu, utegemezi hauwezi kutuacha salama.
Kwa mchina alijenga vipi TAZAMA bila kelele za hawa Wazungu? Tutumie mbinu hizo za kale kujenga hili pia
 
Mradi ni wa Ulaya na wanaouzuia ni Ulaya weanyewe hasiraza za nini kwani wamewaingilia kwenye tozo zenu?hakuna haja ya kuumia kwa kila msiba
 
Nashauri Waziri wetu wa Nishati, Waziri wa Mazingira, NEMC na waandishi wa habari waandamizi ambao ni wazalendo, waandamane na MD wa TotalEnergies Tanzania kumsindikiza Patrick Pouyanné hapo Brussels, na kwa vile TL yuko Ubeligiji ajiunge, huku tukiandamana na a media team from Tanzania, na well wishes wenye nafasi twenzetuni Ubeligiji tukaitete nchi yetu!

Kama watu tumekwea pipa, kwenda jijini London kuhudhuria tu Noting HilI Carnival au kwenda kuangalia World Cup Doha, hatuwezi kushindwa kutimba Brussells kuitetea nchi yetu.

Hawa mabeberu wa ulaya waache kutuingilia na kutupangia kila kitu!.

P
 
Mtendaji Mkuu wa TotalEnergies, Patrick Pouyanné, ametakiwa kufika mbele ya Bunge la Ulaya Oktoba 10, 2022 kuwasilisha utetezi kuhusu uhalali wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)

Kampuni hiyo ya uzalishaji mafuta imetakiwa kufika mbele ya jopo la Wabunge wa Umoja wa Ulaya Oktoba 10, 2022 kujieleza kuhusu athari za Kimazingira na Ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).

Mtendaji Mkuu wa Kampuni, Patrick Pouyanné ametakiwa kuwasilisha vielelezo vya utetezi kuhusu uhalali wa mradi huo mbele ya Kamati ya Bunge ya Mazingira, Chakula na Maliasili, pamoja na Haki za Binadamu.

Mradi wa EACOP umekuwa ukipata upinzani kutoka kwa wanamazingira pamoja na wafadhili ambapo wiki iliyopita Bunge la Umoja wa Ulaya lilipitisha azimio la kuusimamisha kwa mwaka mmoja, ili kushughulikia masuala ya Mazingira na Haki za Binadamu, hata hivyo uamuzi huo umepingwa na Serikali za Tanzania na Uganda.

============

The EU has summoned French oil magnate TotalEnergies for questioning

Total Energy 2.jpg

Patrick Pouyanné, President Samia and Yoweri Museveni

TotalEnergies has promised to side with the regional governments of Uganda and Tanzania and go ahead with its pipeline project as scheduled

The EU is concerned that those affected by the project will not be compensated appropriately

The European Union parliament has emphatically voiced its concerns about the pipeline project the Ugandan and Tanzanian governments are devising.

The pipeline which is designed to run through Lake Albert has raised some humanitarian concerns, as the EU parliament is concerned that the project would displace the residents of the area and pollute the water resource and the land in the area.

The Ugandan government remains adamant that the project would go on as planned, with or without its current partners, one of the said partners being the French oil giant TotalEnergies.

However, it has been reported that Total Energies have been summoned by the EU parliament on October 10 to answer to charges of environmental and human rights abuse.

The EU has summoned the CEO of TotalEnergies Patrick Pouyanné to Brussels to justify the proposal that the lawmakers disapproved of. Last week, the EU advised TotalEnergies to wait a year before commissioning the project to allow time to assess the possibilities of using other routes for the pipeline.

The oil company has however vowed to side with the President of Uganda and noted that the project will go on as scheduled.

TotalEnergies which convinced the Ugandan and Tanzanian governments of the viability of the project owns a 62% stake in the project. Uganda National Oil Corporation (UNOC) and Tanzania Petroleum Development Corporation own a 15% stake each, and China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) owns an 8% stake.

The pressure the EU is putting on the stakeholders has driven them to begin disclosing information on the project via media briefings or on their websites, which they initially withheld.

The Ugandan and Tanzanian governments have revealed the projected number of displaced people due to the project and have even disclosed information on their replacement housing.

According to both governments, only 331 out of a total of 9,513 Eacop’s PAPs in Tanzania will be physically displaced. And in Uganda, 203 out of a total of 3,648 PAPs will be physically displaced.

The EU has however estimated that over 100,000 people are likely to be affected, the majority of whom are farmers. The EU is also concerned that there is no real groundwork from both nations’ governments to compensate this many people.

Source: Business Insider
 
Wazungu nao wana washwaga sometimes kule nigeria wamealibu mazingira sana kwa kuchota mafuta lakini wameuchuna sababu walikuwa wanatumia wao.

Viongozi muda mwingine inabidi tu watumie msemo wa kelele za chura azimtishi tembo kunywa maji wa endelee kusonga mbele tu au waludishe hela zenye zimetumika mpaka kufika hapo.
 
Back
Top Bottom