Tunapatikana Dar es Salaam na Arusha, kwa Dsm tupo Mwenge Itv road, kwa arusha tupo mitaa ya ngulelo karibu na Rians college, fika moja wapo ya ofisi zetu na utapatiwa maelekezo yote pamoja na vigezo, karibu sana!
Karibuni AHADIWAY Development initiative, mkopo wenye riba nafuu(10%) kwa miezi sita tu!
Pia tunatoa mikopo ya kufanya miradi(projects) ndogo na zile za kati, masharti ni nafuu!
Mijanaume imekua mivivuuuu!!! We ulioa ili nini? Hata bible inajua kua mke ni msaidizi wa mume tu!! Timiza wajibu wako uone kama mke atakusumbua....ila ukiwa goigoi utakujalalamika kuwa mkeo hakununulii boxer!!
Je mtoa mada, wajua hiyo process ya kufanyia mwili service pia inatumia vitu ambavyo vina faida hasi na chanya? je Faida Hasi za hizo bidhaa zako ni zipi?
Sijapewa namba yoyote, jina langu kwenye matokeo halipo na kwenye usaili halipo...............nimepotezea naendelea na ishu zingine......mizengwe mingi.
Tayarisha chumba chako cha kuuzia hizo mboga, then funga AC mbili ambazo zitakua zinahifadhi ubaridi humo, kuna mboga zinazohifadhika hata kwa wiki mbili kwa style hii.......Ila mboga zinazoharibika upesi zinahitaji wateja wa upesi pi, hivyo ni vema ukajipanga na swala la soko pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.