Recent content by nadry

  1. nadry

    Msweet wa Jamii Forums nakutafuta

    Kuhusiana kichwa habari hapo juu, Msweet kama upo humu JAMII FORUMS naomba tuwasiliane kupitia DM. Usinielewe vibaya, kuna uzi uliutoa siku za nyuma siku za nyuma nimeuona siku za karibuni kuhusiana supplement (virutubisho) fulani. Nakuomba kupitia DM unisaidie nijue unapovipata virutubisho...
  2. nadry

    Utajisikiaje kwenye msiba wako TISS wakisema kuwa ulikuwa mtumishi wao na wanauheshimu mchango wako? Kumbe umesotea ajira zao na hukupata.

    Yaani nimesoma tena Na tena lkn sijakuelewa kabisa mpwa wangu. Ngoja nirudie tena labda nitaelewa
  3. nadry

    Ipi Kamera bora ya simu?

    Asante kaka kwa ushauri
  4. nadry

    Ipi Kamera bora ya simu?

    Habari zenu wananzengo hususani wa Jamii Forum!Mimi ni mojawapo ya watu ambao wana uelewa hafifu wa mambo ya simu hasahasa mambo ya KAMERA. Jamani Nina mpango wa kununua simu moja wapo Kati ya hizi; (1)Ina macho matatu jicho la kwanza MP 108,jicho la pili MP 8, jicho la tatu MP 2. (2)Ina macho...
  5. nadry

    Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

    Chumvi sio mbaya sana ila ikiila nyingi italeta matatizo ya moyo na figo.
  6. nadry

    Manispaaa wekeni lami njia ya makaburi ya Ununio tusifukue makaburi

    Nafikiri mleta mada unamaanisha makaburi ya kondo ambayo yapo karibu na ununio. Hiyo njia yakuingia kwenda makaburini ipo opposite na kanisa katoliki na sio Lutheran Makaburi ya ununio yapo barabarani kabisa karibia na njia ya kwenda ununio beach.
  7. nadry

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Mimi sijui sheria,akija ndugu yake yeyote akidai ni nyumba ya ndugu yao na kama vielelezo wanavyo nitafuata taratibu halafu nitawakabidhi nyumba yao.
  8. nadry

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Umekariri darasa la saba hawajui kuandika sio wote.
  9. nadry

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Jina namfahamu siwezi kuliweka hadharani. Mimi wakitokea ndugu zake na ushahidi wa kutosha wanawapa nyumba yao.ila nawadai 18 milioni za mshahara wangu.
  10. nadry

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Mm sijaenda kwa sangoma,sasa mbona simu amepewa mteja mwingine?ina maana nina wasiwasi hayupo hai. Kwahiyo miaka 10 mshahara wangu unafika millioni 18. Kupangisha ndio njia pekee ya kujilipa mshahara wangu.
  11. nadry

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Kama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli. Mimi nimezaliwa Mtwara, mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili, nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie Dar kutafuta maisha. Nikatafuta vibarua vya...
  12. nadry

    Kipindi Bora zaidi cha Television na Radio Tanzania...

    Asante sana,kumbe ww ni muhenga mwenzangu
  13. nadry

    DRC to build an Electrified SGR from to connect Dar-Kigali SGR

    Hapo baadae mtakuja kumuelewa tu baba jesca.hivi ni vita vya uchumi,kwa mbali mwanga wa ushindi wa hivi vita nauona. God bless Tanzania
Back
Top Bottom