Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,914
- 22,060
Kwa ambaye ameenda Aprili akienda leo atashangaa makaburi ya Ununio yalivyoongezeka mji umepanu Kinondoni inasubiri sana yamepangika kwa heshima ukiwaza sana unaweza omba ubakie huko
Kuna njia ya kuingilia makaburini opposite na Kanisa la Lutherani tunaomba Manispaa wekeni lami ile njia imeshatengenezwa kisanii sana mvua ikija unamuona yuleyule anajazia kifusi
Tuheshimu hii sehemu please, ndio mji mwema mpya wa maisha ya watu aka makao ya milele hata kama hawapo tuwape heshima jamani kuanzia wanapoingilia.
Kuna njia ya kuingilia makaburini opposite na Kanisa la Lutherani tunaomba Manispaa wekeni lami ile njia imeshatengenezwa kisanii sana mvua ikija unamuona yuleyule anajazia kifusi
Tuheshimu hii sehemu please, ndio mji mwema mpya wa maisha ya watu aka makao ya milele hata kama hawapo tuwape heshima jamani kuanzia wanapoingilia.