Todito
Senior Member
- Feb 6, 2013
- 154
- 357
Wakuu habari za leo?
Nimepata mtafaruku wa moyo sana leo kuwaza ni kipi kimewahi kua kipindi bora zaidi cha Radio na Television hapa nyumban Tanzania.
Kwa upande wa Television kwangu vipindi bora zaidi ni÷
1) Bongo Star Search ya Madam Rita
2) Ze Comedy ya kina Masanja EATV
3) Mkasi wa Salama Jabir na AY
Upande wa Radio
1) Kipusa Abdalah Majura, Radio One
2) African Beat, Dee Seven Kiss Fm
3) XXL, B-Dozen, Clouds Fm
Maoni yako tafadhali...
Tutumie uzi huu kutaja vipindi bora kwako upande wa Tv na Radio tuwatie moyo waliobuni.
Karibu.
Nimepata mtafaruku wa moyo sana leo kuwaza ni kipi kimewahi kua kipindi bora zaidi cha Radio na Television hapa nyumban Tanzania.
Kwa upande wa Television kwangu vipindi bora zaidi ni÷
1) Bongo Star Search ya Madam Rita
2) Ze Comedy ya kina Masanja EATV
3) Mkasi wa Salama Jabir na AY
Upande wa Radio
1) Kipusa Abdalah Majura, Radio One
2) African Beat, Dee Seven Kiss Fm
3) XXL, B-Dozen, Clouds Fm
Maoni yako tafadhali...
Tutumie uzi huu kutaja vipindi bora kwako upande wa Tv na Radio tuwatie moyo waliobuni.
Karibu.