Nimefurahi sana kuona hii post.Mimi na tarajia kupanga come March 2011. Ningependa kupata ka nyumba ambayo ina vyumba viwili, sebule, choo ndani,jiko na maji. Rent around 280,000. Ikiwezekana kulipa miezi 6 mwanzoni nitashukuru. Maeneo : Kijitonyama - First choice, Msasani, Kinondoni, Mwenge na...