Hamna kitu kama icho mahakama ikumtia hatiani anafukuzwa kazi na akufungwa jela za kawaida ila hapo hapo military prison ziko wap hapa tz ?? jibu ni hakuna issue kama izo sana sana kuna sero ambazo huwa wanawekwa ikitokea kuna utovu wa nidhamu
Wiki mbili zilizopita Balozi za Nchi za Magharibi walitoa tuzo ya Ushujaa kwa Wanaharakati wanaotumia social media, ktk tuzo zile hakuwepo mwanachama hata moja wa Chama Cha Mapinduzi karibu watu wote waliyopewa tuzo ni Wanaharakati wenye Malengo ya kupinga serikali iliyopo madarakani.
Wiki mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.