Umesema kweli, wanahofu kubwa na watu wa bara hasa kanda ya ziwa! Falsafa za Magufuli za Hapa Kazi ziliwatesa sana, maana pwani kwa asili ni wavivu so hawaamini kujiletea maendeleo kwa kufanya kazi kwa bidii, kwao ili upate maendeleo ni mjini anakujua nani ama ni kutembeza bakuli kuomba msaada...
Kati ya mambo ya hovyo iliyofanya serikali ya huyu mama ni ile kuwatoa muhanga vijana walioipigania CCM bila unafiki, huku ikidhani itajipatia waungaji mkono wengi kutoka Upinzani! Believe me wapinzani wa nchi hii ni watu walioharibika akili kiasi kwamba hawafai kwa kila jambo jema! Endelea...
Ilikuwaje kipindi cha utawala wa Magufuli mvua zilinyesha kwa wingi hadi kimo cha ziwa Tanganyika na Victoria vikaongezeka? Nini kimetokea baada yake maana ni kama mvua zimeanza kukata kiaina? Je Magufuli alikuwa na kibali gani kwa Mungu ambacho huyu wa sasa hana!? Je nikwasababu jina la...
Walimu walilazimika kuomba ukarani wa sensa sababu shule zote zimefungwa kupisha zoezi hilo, sasa ulitaka wakae nyumbani wakati mtu angeweza kujaribu bahati yake akapata vi laki viwili vitatu vya ukarani!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.