Kwangu si busara kueleza inavyochanganya, ila tambua tu inachanganya kweli? Aha! Inaonekana pia kuna wengine wamekulalamikia hilo! Basi jua inasumbua hasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kwamba alitimia hilo neno! Nafikiri hamkusikia vizuri, hata kama ni muhuni sidhani kama amefikia huko. Na kama ni kweli na alikusudia na hakujuta, basi Watanzania tutakuwa tunamuasi zaid Mw. Mungu kuliko tunavyomtii, kwa hiyo anatuadhibu. TUMRUDIE MUNGU!
Mbona unaonekana una chuki na wapemba! Hapo mpemba kahusikaje? Na kwa nini utumie neno mpemba, mm nakumbuka mahakama hizo za kadhi zimepiganiwa na waislam wanaojitambua.
Nimegundua jamii imepotoka kupita kiasi, mambo ya kipuuzi yanashabikiwa na kuchangiwa na watu wengi zaidi tena memba unaowadhania kwamba wanauwelewa, kuliko masuala yenye tija kwa jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.