Nchi yetu imeshakuwa ‘Taifa la Propaganda’

Nchi yetu imeshakuwa ‘Taifa la Propaganda’

Tanzania exported $5.3B and imported $8.17B, resulting in a negative trade balance of $2.88B.
source https://atlas.media.mit.edu/en/profile/country/tza/

Kenya exported $6.17B and imported $17.1B, resulting in a negative trade balance of $11B
Source https://atlas.media.mit.edu/en/profile/country/ken/

Tanzania tourism receipts were 2.157 USD bn in 2016
Source https://www.ceicdata.com/en/tanzania/tourism-statistics/tz-international-tourism-receipts

Kenya's Tourism Revenue reached 2 USD bn in Dec 2016
Source https://www.ceicdata.com/en/indicator/kenya/tourism-revenue

Not good but Tanzania credit rating according to Moody's is B1
Source https://www.reuters.com/article/tan...dys-for-negative-rating-outlook-idUSL5N1QN4U8

Even worst is the Kenyan credit rating given by the same agency (Moody's) B2
https://www.ft.com/content/c145f044-16f5-11e8-9e9c-25c814761640
..........................................................................................................................................................................................................

That is to say ingawa wote Tanzania na Kenya hoe hae, hila Tanzania is more financial stable kushinda Kenya all the indicators shows that.
Hizi ndio propaganda zenyewe hatuzitaki, fabricating data.

Mnadanganya uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% huku ugumu wa maisha ukizidi then wanakuja IFM na data za ukweli ukuwaji wa uchumi ni 4% sasa nyinyi kama hamna ugonjwa wa manyani mtakuwa mnaumwa gonjwa gani?
 
Kutangulia sio kufika if anything Kenya walitakiwa wawe mbali asilimia kubwa ya viwanda walivyoachiwa na mkoloni bado vipo, (kutokana na vigezo vya inflow and outflow ya uchumi, hizo ndio advantage pekee walizonazo zidi yetu). Unlike us tulivyojenga tumeshaua kwa ivyo walikuwa wana advantage ni sawa na kuanza mashindano ya mita mia mwenzako kasimama mita ishirini mbele halafu mjifananishe.

Lakini kwa sasa tunakwenda indicators zote sahihi zipo upande wa Tanzania, pamoja na changamoto za nchi ambazo kuna mijitu kila siku inakimbiza potential investors kwa maswala ambayo hayana kichwa wala miguu na washauri ambao utaalamu wao una mashaka.

Lakini hili aliondoi ukweli raisi anapambana kwa upande wake na yeye si mtaalamu kila sehemu, mtu yeyote makini alijua hatua za awali za serikari ya tano zitaathiri ukuaji wa uchumi mbeleni, yale yalikuwa maamuzi ya wataalamu kwa mujibu wa nafasi zao. Na walipokuwa wanaanza tu sie tuliokuwa tunapiga makelele December 2015 what will happen mbeleni ndio tunaonekana waropakaji with time watajifunza unaona kabisa wanaanza kuwa waoga wanaonza ni swala la kurudisha investment confidence za ndani bila ufisadi maana nalo lilikuwa tatizo.

Lakini by any means Tanzania ina stability ya foreign currency kushinda Kenya kilichokesana hapo ni kujua kiasi cha FDI kilichopo kati yao na kwetu lakini kwa data za inflow and outflow za uchumi we are better off na lenders wanatuweka sisi juu ya Kenya in terms of stability ya kulipa madeni yetu.
Unproffesional rubbish.
 
Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
Umenene ya ukweli tena kwa busara, Muumba akulinde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I love my country dearly but I am very sorry to say our Nation is a FAILED STATE and I don’t see any relief of this situation anytime soon.
It is very SAD but TRUE.

Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
 
Njaaa... Njaaaa, but who told you to trust Prof..? Trust only God & yourself, finito...

Poor Human beings are changing their behaviours & acts depending what they are being offered..!! Ukipewa cheo, utabidi umtumikie aliyekupa cheo, hasa kwa sie maskini.. Njaa haina Prof. PhD, MSc, Bachelor, Dip or illiterate, Njaa itakufanya uwe mtumwa kabisa, ili mradi ubakie kumtumikia aliyekupa kula atakavyo...

This is Africa, usisahau hilo..
 
Hizi ndio propaganda zenyewe hatuzitaki, fabricating data.

Mnadanganya uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% huku ugumu wa maisha ukizidi then wanakuja IFM na data za ukweli ukuwaji wa uchumi ni 4% sasa nyinyi kama hamna ugonjwa wa manyani mtakuwa mnaumwa gonjwa gani?
Its economic forecast same trend analysis walizotumia kusema uchumi utakuwa kwa kiasi fulani zinaweza tumika kusema vingine, depending on the model of their forecast and what not was included.

Sasa aina maana their argument cannot be disputed, source ya IMF data ujue ni NBS ya Tanzania na serikari pia inaweza kuwa na model yake ask any economist he will tell you GDP can easily be influenced inategemea mpigaji kaweka nini kaacha nini.

Lakini linapokuja swala la mkopo hilo halina mjadala utapigiwa hesabu za ratio hapo based on evidence zako za madeni yako na makusanyo yako, na hao jamaa Moody's sikia wakisema rate yako ni hiyo hakuna investors ataenda kinyume nao wao. As yet they think Tanzania is in better financial position kushinda Kenya.
 
Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
Musiba ni kero ya taifa
 
Wako tayari waseme uongo ili waonekane wanafanya kaz kuliko kawaida kumbe uwongo. Ungeona mawazir wanavyo msifu kila siku... hawana hata maswali ya msingi.
Propaganda hazitupeleki mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutangulia sio kufika if anything Kenya walitakiwa wawe mbali asilimia kubwa ya viwanda walivyoachiwa na mkoloni bado vipo, (kutokana na vigezo vya inflow and outflow ya uchumi, hizo ndio advantage pekee walizonazo zidi yetu). Unlike us tulivyojenga tumeshaua kwa ivyo walikuwa wana advantage ni sawa na kuanza mashindano ya mita mia mwenzako kasimama mita ishirini mbele halafu mjifananishe.

Lakini kwa sasa tunakwenda indicators zote sahihi zipo upande wa Tanzania, pamoja na changamoto za nchi ambazo kuna mijitu kila siku inakimbiza potential investors kwa maswala ambayo hayana kichwa wala miguu na washauri ambao utaalamu wao una mashaka.

Lakini hili aliondoi ukweli raisi anapambana kwa upande wake na yeye si mtaalamu kila sehemu, mtu yeyote makini alijua hatua za awali za serikari ya tano zitaathiri ukuaji wa uchumi mbeleni, yale yalikuwa maamuzi ya wataalamu kwa mujibu wa nafasi zao. Na walipokuwa wanaanza tu sie tuliokuwa tunapiga makelele December 2015 what will happen mbeleni ndio tunaonekana waropakaji with time watajifunza unaona kabisa wanaanza kuwa waoga wanaonza ni swala la kurudisha investment confidence za ndani bila ufisadi maana nalo lilikuwa tatizo.

Lakini by any means Tanzania ina stability ya foreign currency kushinda Kenya kilichokesana hapo ni kujua kiasi cha FDI kilichopo kati yao na kwetu lakini kwa data za inflow and outflow za uchumi we are better off na lenders wanatuweka sisi juu ya Kenya in terms of stability ya kulipa madeni yetu.
Nimecheka sana uchumi ni namba nilitegemea ungekuja na details badala yake umekuja kupiga Siasa anyway kwa watawala mliopo Nchi inakufa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka sana uchumi ni namba nilitegemea ungekuja na details badala yake umekuja kupiga Siasa anyway kwa watawala mliopo Nchi inakufa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sio sehemu ya utawala na wala sidhani kama itakuja tokea sina hizo ndoto

Unataka facts gani zaidi wakati nimeweka Tanzania ina better income kushinda Kenya na international rating agency kwenye maswala stability za uchumi wanakubali hilo. Unafahamu kwamba kwenye soko la finance rating agency anachukuliwa serious kushinda IMF
 
Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
Nchi imelaaniwa na ukubali msemo wa zitto wameachiwa washamba, kwa sasa hakuna cha uproffesor wala mavi ya u doctor , ukitaka ule sifia juhudi wakati nchi inateketea, ni mungu tuu atatusaidia
 
One tragedy of this administration that will take a while to fix is the eroding credibility even on the part of once trusted institutions. Majuzi dola ilivyokuwa inapanda kila siku nilifanya manunuzi duka la hardware nikakuta bei zimepanda kulinganisha na bei walizoquore labda wiki moja kabla. Sababu waliyonipa ni dola kupanda. Wakati huo benki kuu wanainsist hamna shida, na labda ni kweli haikuwepo lakini wafanya biashara wangapi walifanya maamuzi kwa silika zao na si kwa kutumia taarifa rasmi. Nikajiuliza mtu mwenye nia ya kuwekeza au mfanya biashara ambaye biashara yake inategemea moja kwa moja mwelekeo wa kiuchumi anapata wapi taarifa zitakazomsaidia kufanya maamuzi sahihi?

Perhaps Bakhresa can afford independent macroeconomic analysis for his business but where do the rest turn to? We used to have institutions, governmental, independent think tanks, civil society, individuals whose assessment of the state of affairs meant something. Now even I, a complete economics layman, find myself doubting even the most accomplished academic let alone the central bank. IMF issues a report and it is criticised even by those far from qualified to.

And this should not be taken to mean one is right or wrong, or assessments on the economic outlook by those institutions was always accurate, but that's a discussion for another day.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania exported $5.3B and imported $8.17B, resulting in a negative trade balance of $2.88B.
source https://atlas.media.mit.edu/en/profile/country/tza/

Kenya exported $6.17B and imported $17.1B, resulting in a negative trade balance of $11B
Source https://atlas.media.mit.edu/en/profile/country/ken/

Tanzania tourism receipts were 2.157 USD bn in 2016
Source https://www.ceicdata.com/en/tanzania/tourism-statistics/tz-international-tourism-receipts

Kenya's Tourism Revenue reached 2 USD bn in Dec 2016
Source https://www.ceicdata.com/en/indicator/kenya/tourism-revenue

Not good but Tanzania credit rating according to Moody's is B1
Source https://www.reuters.com/article/tan...dys-for-negative-rating-outlook-idUSL5N1QN4U8

Even worst is the Kenyan credit rating given by the same agency (Moody's) B2
https://www.ft.com/content/c145f044-16f5-11e8-9e9c-25c814761640
..........................................................................................................................................................................................................

That is to say ingawa wote Tanzania na Kenya hoe hae, hila Tanzania is more financial stable kushinda Kenya all the indicators shows that.
Utumiaji mbaya wa statistics, negative trade balance ya kenya ina operate kwenye uchumi twice as big and robust than wetu, wakati negative trade imbalance yetu iko kwenye uchumi legelege na mdogo, kwa hiyo uchumi wa kenya unaweza kujihimili zaidi, suala la credit rating lina umuhimu zaidi kwa kiwango cha mkopo, sawa sisi tuna credit rating nzuri (lakini ni sawa na messnger mwenye mshahara wa laki mbili hana deni na anaweza kukopa laki mbili) , wenzetu ni kama ( meneja mwenye mshahara wa milioni 5, na deni la milioni 2, lakini anaweza kukopa milion3) , kwa aibu nasema propaganda ya awamu hii imeenda shule economic results , zero.
 
Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
Yajayo yana huzunisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma kwenye gazeti la Kiswahili kuwa gavana wa Banki kuu Prof. Florens Luoga akisema uchumi wetu unakua vizuri na tuna akiba kubwa ya USD 5.0 Billions na hii itatosha kuendesha nchi kwa miezi mitano bila ya nchi kukusanya kodi au watu kufanya kazi, siku hiyo hiyo Rais Magufuli akatamka maneno hayo hayo.

Ninamfahamu Prof. Luoga kama mwalimu wangu na mkuu wa Chuo wakati nikisoma, nilimuona kama mtu mwenye credibility kubwa kwenye jamii ila kilichonishangaza aidha kwa kutojua au kwa makusudi alinishangaza aliposema kuwa hiyo akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kuliko akiba ya nchi za Africa Mashariki! Ilishangaza sana.....

Sikutaka kushangaa zaidi hivyo nilienda kwenye website ya Central Bank of Kenya na kuangalia reserve ya siku hiyo.

Kifupi tu ni kwamba hatujawahi kuwa na akiba kubwa ya pesa za kigeni kuishinda Kenya kwa sababu Kenya wana tax base kubwa na kodi zao zinalipika tofauti na kwetu ambapo ni wachache tu wanaolipa kodi lakini wanakamuliwa kodi kubwa zisizolipika.

Namwelewa Dr. Patrick Ngugi Njoroge (Gavana wa Central Bank of Kenya) kama mtu makini sana, mchumi mzuri wa IMF, si hivyo tu huyu gavana pia kwa kiasi kikubwa aliaminika na Umoja wa Mataifa hadi kuchaguliwa mwenyekiti wa U.N Task force ya mambo ya Digital Financing ya SDG mwaka jana akiwa bado Gavana...Ningeweza kumfananisha na Prof. Assad kwa uchapaji kazi wake au kama Prof. Benno Ndullu kabla ya kuchanganya professional yake na siasa!

Wakati gavana wetu, Prof. Luoga mwalimu wangu wa Tax Law akisema tunayo akiba kubwa ya kutosha miezi mitano bila kufanya kazi ya USD Billions 5.0 niliamua kucheki akiba waliyonayo wenzetu wa kaskazini kwetu, Kenya. Akiba waliyonaya Kenya kwenye Banki kuu yao ilikuwa USD. 8.8 Billions na haijawahi kushuka kufika Billioni 7 au chini, sisi akiba yetu ya miezi mitano haijawahi kuvuka USD 5.8 Billions kwa kipindi tajwa sasa leo professor wa Tax Law na gavana wa banki kuu atasema vipi kitu ambacho si sahihi??? Leo tutamwamini vipi mtu kama huyo? Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kushindwa kujua ipi ni kubwa kati ya 5 na 8.8!
Je ni utamaduni wetu kudanganya?

Katika kipindi hiki tangu aingie rais Magufuli mbona Propaganda zimekuwa nyingi...Kuna kitu wanaficha au wanataka wasifiwe hata kama hawastahili sifa? Sijasema wakati wa Kikwete hakukuwa na hizi propaganda, la hasha zilikuwepo ila hazikuwa nyingi hivi na za kijinga jinga kama za wakati huu, Sishangai kusikia rais mwenyewe alijifanya kushangaa kutekwa kwa Mo Dewji na wazungu wabantu na sarakasi nyingi na maigizo mengi yaliyofuata baadaye.

Ukienda Youtube utakutana na propaganda za akina Musiba anachoongea hakina sense ila ni comedy...Akili ndogo zinazoendelea kumtuma akaongee senseless zinashangilia. Akitukana, kuchafua wengine, kuropoka nk kwa hao anaonekana shujaa. Kweli Taifa letu limepotea!

Mambo madogo madogo ya “Dr. Shika” yanapewa kipaumbele.......watu wanasahau mambo ya msingi kuhusu maisha ya watanzania. Madawa hayapo, yaliyopo aidha yameisha muda wake au hayafai kwa matumizi ya binadamu (Refer: Report ya CAG), bajeti ya afya imetekelezwa kwa asilimia chini ya 40, bajeti ya dawa kwa asilimia 16. Wao wanapelekwa India, Africa kusini na nchi nyingine vipi Watanzania kama mimi na wewe ambao baba na babu zetu hawakuwa na nafasi serikalini....Si tutaishia hospitali za wilaya ambazo kwanza kulazwa hapo unatoka na ugonjwa mwingine, badala ya kupona unapata magonjwa mengine? Ni nini kinashindwa kuboresha huduma za afya angalau zikafanywa universal, tukose mengine yote lakini tuwe na haki ya kuishi?

Nchi ni yetu sote, Watanzania tuna akili za kuweza kutambua tunakoelekea, leo hii uchumi wetu unaenda kwenye asilimia 4 kutoka 7.2% halafu watu na akili zao watakwambia ni kitu cha kawaida kwa vile hata Marekani uchumi wake unakua kwa asilimia 2....Kweli hata akili za utambuzi mdogo tu hakuna? Ni wapi wamesikia uchumi wa nchi za dunia ya kwanza unakuwa kwa asilimia 7? wasomi wetu wanashindwa kuelewa hata hilo..Ndiyo maana wajenzi wa TBA kwenye hosteli za Chuo Kikuu walisema kuwa eti ile mipasuko ya kuta Expansion joint.....Sawa ni expansion joint sasa ilikuwaje mlikimbilia kuziziba?

Inabidi tuangalie kama elimu yetu inatosha na inasaidia kunyanyua taifa letu maana yanayofanyika sasa yanashangaza.
Hii inaitwa ' kick state '
 
Back
Top Bottom