Kenya wameanza chokochoko tena, na sisi tumewajibu

Bidhaa hzo zimejaa kwa sababu pengine watu wenyewe wanazipenda ikichangiwa na wafanyabiashara ambao si waaminifu wanaoziingiza hzo bidhaa kwa njia ya panya
Waziri mkuu alisema juzi. Kila kitu mkitaka kitoke Italia, je mtanzania wa kawaida ataweza kununua? Kazi ya kupima ubora wa kitu inakuwa based on minimum standard (Threshold) na sio maximum standards...
Mfano ukisema ubora wa kamba uanzie breaking point ya 10KNewton, mtu akileta kama yenye 11KN hata kama kiwango hichi bado ni cha chini hiyo bidhaa itapita. Ila kama unataka kamba ya uhakika ipo mzungu anatengeneza ambayo breaking pint yake ni 20KN, nunua hiyo kama utaweza kumudu. Wale wasioweza kumudu, wacha wanunue hiyo ambayo breaking pint yake itakuwa ni 10KNewton...
 
tembea uone mkuu, hakuna watu wenye janja janja na hila kama Wakenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina bidi TBS na mamlaka nyingine wawe makini na bidhaa za ndani na zile zitokazo inje ya nchi.
Rushwa ndio adu mku.
Una kuta vitu visivyo kuwa na ubora vina ingia sokoni vikiwa na nembo ya TBS, japokowa kuna vingine vina pitishwa njia za panya.
 
Wamejiongeza, ni sahihi kupima, magumashi kwetu yamezidi!
Sasa hivi ni mwendo wa mwaga mboga sisi tumwage ugali.

Wakenya wameanza kuzuia bidhaa toka Tanzania na kuanza kuzipima upya ili kuzikagua ubora ilihali kulikua na makubaliano ya kwamba bidhaa zikishapimwa na TBS ziingie Kenya bila kikwazo...na sisi tumeamua kuanza kuzipima za kwao. Ni ujinga ujinga ambao unawacost wafanyabiashara na raia wa kawaida.
Tanzania, Kenya now row over border screening

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina bidi TBS na mamlaka nyingine wawe makini na bidhaa za ndani na zile zitokazo inje ya nchi.
Rushwa ndio adu mku.
Una kuta vitu visivyo kuwa na ubora vina ingia sokoni vikiwa na nembo ya TBS, japokowa kuna vingine vina pitishwa njia za panya.
Forgery zipo duniani kote..sema inatakiwa kuwa na mbinu sahihi za kukabiliana nazo ikiwemo elimu kwa wananchi..watu wanaangakia zaidi bei hawaangalii ubora
 
Revoke their temporary visa...

Deport them all from Tanzania...

Seal off the border...

We run a massive trade deficiti with Kenya...

We sale them nothing, our companies are never in Kenya...

We have nothing to lose in a full blown trade tiff with Kenya...
 
Back
Top Bottom