Na Mwandishi wetu Itilima, Simiyu
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameagiza kukaguliwa na kusajiliwa kwa zahanati 10 zilizojengwa kwa ushirikiano wa nguvu za wananchi Wilayani Itilima.
Hatua hiyo inalenga kuhakikisha Wananchi Wilayani Itilima wanapata huduma za afya karibu na mazingira...
Ndugu zangu Watanzania,
Napenda kuwaambieni kuwa Tundu Lissu anahamasisha vurugu nchini. Anatoa maneno ya kuchochea ubaguzi na kuligawa Taifa. Anachochea chuki mioyoni mwa Watanzania, kupandikiza mbegu za udini na ukanda nchini. Anamtusi Rais wetu na Taasisi ya Urais kwa kuwa kwa sasa hana cha...
Moja kati ya wateule bora wa Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Mh RC Mndeme. Katatua changamoto hii ya ardhi kwa muda mfupi sana na imani yetu ni kwamba atazidi kutatua migogoro hii ya Ardhi Shinyanga.
Shinyanga imekuwa na migogoro ya Ardhi muda mrefu ambapo migogoro mingi ilisababishwa na...
Tatizo waTanzania wengi wanaponzwa na kutokufuatilia mambo, na kuamini kwa haraka maneno ya wapinga serikali. Kwa majadiliano ya bunge leo hii, ni mwendawazimu pekee ambaye atabaki na hofu juu ya uwekezai mkubwa ambao serikali ya awamu ya sita inaenda kuuweja bandarini ikishurikiana na serikali...
Naunga mkono andiko hili kwa 100% wengi ripoti ya CAG wanaisoma kwa kuangalia hasara tu zilizoorodheshwa hata hawafuatilii chanzo cha hasara hizo. Na hatuangalii archievements za serikali kwa kipindi hicho.
Nawatakia Waislamu wote Mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Katika mwezi huu wa ibada na toba tuendelee kuiombea nchi yetu amani, upendo, mshikamano, utulivu na haki; nguzo zenye kuleta ustawi zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu. Ramadhan Kareem. - Dkt Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini...
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.