WillyPeter
New Member
- Dec 26, 2017
- 2
- 2
Napenda kujua, kama cm imeishiwa betri utafanyaje? Ni tecno c9
Naweza kukufanyia unlocking ila mpaka ufike ofisini, nipo dar es salaammwalimu, nina kivodafone tab 3G cha Vodacom network pekee.. ila hali ya sasa kama ujuavyo. vyuma vimekaza kidogo
Zinatoka na utatumia line yoyoteVipi Huawei E5373 zinazouzwa na tiGo?
Hyo naweza kufanya kazi ila mpaka uje nayo ofisin nipo dar es salaamTECNO S1 ya tigo nikiweka line tofauti haidai code, hii tunaweza unlock bila kufika ofisini?
Niko MbeyaNaweza kukufanyia unlocking ila mpaka ufike ofisini, nipo dar es salaam

Bei gani?Zinatoka na utatumia line yoyote
Utachangia tsh 10,000/= tu unanipa imei nakupa unlock codesBei gani?
Can you tell us how?Acha kupiga bei kubwa, elfu kumi inatosha, mbona simple tuhh kufungua na IMEI tatizo wabongo niwavivu kwenye mambo ya technologia.
Mkuu nilikutumia pm sijui ulisoma au uliipotezea
- Cost ya simu yako ni tsh 30,000/- tu
- Karibu
&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];![]()
IMEI ni clean na login info za iTunes/iCloud ninazoJe IMEI ni clean?
Je una login info za itune/icloud?