Hii kazi nzuri sana...sasa kuna haja ya hizo tshirt kuwa na maandishi makubwaaaaaaaa!!!! yaani hata mtu yupo mita mia aweze kusoma na yasiwe ya kufichika fichika...
Hahahaha naona Nguli kwa makusudi umeamua kumpotosha Zion...ona sasa...LOL!
Buji wll husiana na huyu jamaa ni kwamba yupo tu sema upepo wa mafanikio unatembea against yeye...sema nadhani kuna juhudi binafsi zinafanyika kuhakikisha ya kwamba kijana anarudi katika ramani ya bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.