Weee tema mate chini muogope mungu.kuna mzizi mmoja unaitwa mkongolo kama sikosei ni maarufu sana kaskazini na shughuli yake wakaskazini wenyewe wanaijua.
Ndugu umepovuka lakini yafaa utambue kuwa mtu mwenye kuwaza mbali hakumbatii kukaa sehemu moja akiamini atatosheka pale bali hujitanua kwa kwenda huku na kule kutafuta zaidi na kujiwekeza zaidi.
Mfano mzuri ona wazungu na wachina walivyojaa Africa na sehemu zingine sio kwamba kwao hakuna fursa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.