Recent content by Mziwandawamama

  1. Mziwandawamama

    Hii ndio Kanda ya Kaskazini

    Weee tema mate chini muogope mungu.kuna mzizi mmoja unaitwa mkongolo kama sikosei ni maarufu sana kaskazini na shughuli yake wakaskazini wenyewe wanaijua.
  2. Mziwandawamama

    Hii ndio Kanda ya Kaskazini

    Ndugu umepovuka lakini yafaa utambue kuwa mtu mwenye kuwaza mbali hakumbatii kukaa sehemu moja akiamini atatosheka pale bali hujitanua kwa kwenda huku na kule kutafuta zaidi na kujiwekeza zaidi. Mfano mzuri ona wazungu na wachina walivyojaa Africa na sehemu zingine sio kwamba kwao hakuna fursa...
  3. Mziwandawamama

    Hii ndio Kanda ya Kaskazini

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]uko vizuri
  4. Mziwandawamama

    Labda Moshi inaongoza kwa ulevi

    Mkuu hapo umeongeza chumvi tena nyingi
  5. Mziwandawamama

    Wanaume: Unamuachaje Mzazi Mwenzio?

    Aiii wewe sio vizuri mwache mtoto wa mwenzio ni kipindi cha mpito tu yatakwisha
  6. Mziwandawamama

    Tofauti kati ya mwanaume mwembamba na mnene katika mapenzi

    Wewe ishu sio wembamba au unene ishu ni aweze kutomba vizuri tu mengine yatarekebishwa baadae
  7. Mziwandawamama

    Mtoto wa Muna Love anasumbuliwa na nini?

    Mmmh huku mbali umefika sasa mbona vile vitwinz vina unasaba sana na mzee I can?hebu kavichunguze tena
  8. Mziwandawamama

    Leo mchepuko unakuja

    Miss kwenye ubora wako
  9. Mziwandawamama

    Ushauri wangu kwa Hamisa Mobetto

    Pamoja mkuu
  10. Mziwandawamama

    Ushauri wangu kwa Hamisa Mobetto

    Hamissa tu ndo anastahili ushauri sio?haya bana. Ila ungekua fair kama ungetoa Ushauri pia na kwa upande wa pili
Back
Top Bottom