Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,369
- 1,336
Yule anaitwa TulesiMkuu nilikuwa nina haraka kidogo ila nilikuwa na enjoy sana kuona vijana wako vizuri balaa, ila ulimwina yule Rasta aliyekuwa anaimba liturugia??? Ilikuwa full vituko



Yule anaitwa TulesiMkuu nilikuwa nina haraka kidogo ila nilikuwa na enjoy sana kuona vijana wako vizuri balaa, ila ulimwina yule Rasta aliyekuwa anaimba liturugia??? Ilikuwa full vituko



Tulesi anajua nyimbo nyingi sana as mwimbieni bwana![]()
![]()


Huyo alikua anazikaga hadi wale wasiokua usharikani. Kanisa likamsimamishaNa nyingi zinaletwa na wachaga haohaohaipiti siku bila kuona uzi unaohusu wachaga humu!...
Nimejitahidi kuchunguza hizi picha na sioni kitu chochote kinacho wakilisha Moshi kuanzia watu wenyewe, mavazi yao, udogo wake na hata tamaduni katika kunywa pombe fake news sijui zinawafaidisha nini wabongo.Wakuu leo tulikuwa tunazika Moshi kiboriloni, yaani wakati wa misa nikashangaa kanisa zima linanuka pombe, wakati wa kuzika nilipata tabu sana kumwona mtu ambae alikuwa sober labda mimi na mchungaji na mwinjilisti, vijana ndiyo usiseme wote walikuwa bwaksi.
View attachment 866424View attachment 866425
Naona povu kuu, mbona nyie kuna vitu vya ajabu mnawasingizia wasukuma wakati hata hawavifanyi na pengine sio utamaduni wao, jamaa kasema wachaga umekuja juu tulia.Hii umeamua kuwazalilisha watu wa moshi,,,eti ww nan mchungaji ndo mlikua sober,,, huna lolote ww utakua una chuki na wachaga,maana kuna watu wa kanda ya flan wakiongozwa nq kiongoz flan wamekua wana chukia wachaga,, kwanz kudhibitisha sio wachaga hao maana wachaga hawana utamadun wa kutumia mirija kunywa pombe... Ww ni mzandik ,muongo ,mfitini,mnafik,mchonganish na MTU usiye faa kuigwa
Acha uongo mbona nyie mnaongoza kuponda wasukuma, tulia.haipiti siku bila kuona uzi unaohusu wachaga humu!...
Mnhh...dada unaijua kreti au unahadithiwa.Nilikuwa na rafiki yangu manka nikitaka kumkomesha mwanaume nambeba anakunywa bia hata creti 7
mbona km una hasira sana? huku jf usiwe unachukulia mambo seriouz saaaaaaaaana! ....Acha uongo mbona nyie mnaongoza kuponda wasukuma, tulia.
Huku hatuombolezagi, tunasherekeaKilimanjaro heshima ya msiba uwe na chakula na pombe za kutosha.
Jinga sana wewetulitoka kwenye msiba mwaka jana moshi ilibaki kidogo gari idondoke,maana kuanzia dereva na watu wote kwenye gari tulikuwa pombe balaa, hakuna hata mmoja aliekuwa na nafuu, maana wote kwenye gari tulikuwa ni wachaga,
kwenye msiba waliruhusu watu kuondoka na pombe, huku gari inatembea huku watu wanakula pombe
Mkuu mbona umehamaki sana. Huku jf uwe mpole tu hata kama sindano imekuingiaKwanza hizi picha ni za Siku nyingi na umezitoa kny mtandao au blog fulani hivi...ukiangalia tu hizi ni screenshots na siyo pictures from camera.
Pia maeneo ya kiboriloni ni mjini kabisa hakuna hali ya misitu na ukijani kama inavyoonekana...dogo umebugi step....kaanze upya kama unataka kuwashusha walioko juu yenu...
hahaaaaa...mchezaji wa michuano ya ndondo cup anataka kumshusha Christian ronaldo toka kileleni...utahangaika sana.
Yule muhubiri wa Dodoma hamjamwalika huko anyehamasisha pombe.Mi niko hapa Kiborloni kwa profesa Vulata...Vijana wanakunywa mbege kuanzia saa 1 asubuhi
Ila angeweka picha ya gorofa migombani msingehemuka namna hii, kama ule uzi wa jokajeusi mlivousapoti japo umejaa pumba tu.Hiyo ndio kaskazini watu wanalewa mpaka wanashindw kuwadinya wake zao na kuamua kwenda kutafuta mabwana kenya.Hii umeamua kuwazalilisha watu wa moshi,,,eti ww nan mchungaji ndo mlikua sober,,, huna lolote ww utakua una chuki na wachaga,maana kuna watu wa kanda ya flan wakiongozwa nq kiongoz flan wamekua wana chukia wachaga,, kwanz kudhibitisha sio wachaga hao maana wachaga hawana utamadun wa kutumia mirija kunywa pombe... Ww ni mzandik ,muongo ,mfitini,mnafik,mchonganish na MTU usiye faa kuigwa