Hapana kile ni kituo Cha Sala za maombi sio kanisa japo Misa zinadhimishwa pale Kila siku na mapdri mbalimbali kutoka nje na ndani ya nchi. Na mapdre wengi hapa nchini hawapongani na huduma zake coz ni sala zile zile zinazosaliwa na kanisa katoliki.
Nasema sio kanisa kwa misingi ya kanisa...
Kwenye ukatoliki Kuna makundi mawili ya kiimani. Lile la kimapokeo (ukatoliki wa kisasa) ambalo ndani yake unakuta hao charismatics/uhamsho ambao wanafanya ibada zao kwa mtindo wa kilokole kama mambo ya kunena kwa lugha na vitu vingine vingi ambavyo baadhi ya wakatoliki wenyewe wanapishana...
Kwa uzoefu wangu njia ya Dar-lindi-mtwara kwa biashara ya kusafirishia mizigo kutokea dar inawezekana. Ngoma ngumu ipo jinsi ya kutoka kule kurudi dar ndio changamoto kubwa. Ikumbukwe mikoa ya kule haipo kibiashara sana kwenye mazao, Sasa changamoto unaweza ukapeleka gari alafu ukajikuta pesa ya...
Me niwahi kufanya biashara ya kusafirishia wafanya biashara wa samaki wabichi kutoka Ziwa Rukwa to D.S.M pale Riverside- ubungo.
Nitajaribu kushare kitu hapa uone mchakato.
Ila angalizo ni moja ya biashara risk sana. Inaweza kukutoa siku moja na inaweza kukumaliza mtaji siku moja.
Nilizaliwa kwenye familia ya kikristo kwa upande wa baba na mama. Na mimi nikafuta Imani hiyo hiyo na kuabudu katika dini wanayoiamini wazazi. Huku nikiamini kuwa Mwenyenzi Mungu anamakusudi na Mimi Hadi kuzaliwa katika dini hiyo.
Asante kwa ufafanuzi ndugu MUBENDE barikiwa sana.
Vp kuhusu soko la wazarishaji wa nyama hapa nchini mfano Hawa frostan limited, nguru hill ranches? Je, Kuna utaratibu wowote wa kuwafikia kuweza kufanyanao biashara? Hakuna urasimu wowote?
Je, kwa wafugaji wa kawaida Kuna kipi kinahitajika ili...
Natamani kufahamu experience ya wafugaji wa mbuzi juu ya soko lake lipoje.
Kwa maana uhitaji wake sokoni?
Changamoto zake kwenye soko hasa kwa haya makundi mawili ya mbuzi kwa maana mbuzi wa asili na mbuzi wa kisasa ikoje? (Competition ikoje sokoni)
Vp kuhusu bei ya soko kwa maana nimeona hapa...
Asante sana wakuu kwa hizo connection. Nakaribisha maoni zaidi ili iwe faida kwa wengine pia. And then itakuwa rahisi mtu kufanya choice wapi aende akafanye kazi. Asanteni
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo Dar es salaam, nina gari canter, box body freezer, yenye uwezo wa kubeba mizigo ya baridi na ya kawaida.
Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania bara iwe ya tender au trip za kawaida za kupakia mizigo. Yoyote anaefahamu chimbo ambalo lina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.