SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA MBILI
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA MOJA: Soraya alihisi mtekenyo uliompa raha ya ajabu, ambayo ilianzia kwenye koo mpaka kwenye kitumbua, ikipitia mgongoni na kujikuta akikandamiza kiuno chake chini na kufanya kitumbua chake ambacho kilikuwa ndani ya chupi kuikandamiza dudu ambayo sasa nikama alikuwa ameikalia kwa juu yake ikiwa imetutumka na kutazama upande wa kutofuni, na yeye kuwa kama amekalia kipande cha mhogo ulio lala, kwamaana yakwamba dudu ile ilikatiza kati kati ya kitumbua cha Soraya, na kumzidishia msisimko, “ona Higgno umesha tamani” alisema Soraya kwa sauti iliyojaa aibu, akiwa bado amelala juu ya kifua cha Higgno, kama mpanda farasi, mwenye mbwembwe…… endelea………..
Higgno alie kuwa anaendela kupitisha mikono, kwenye mbavu za Soraya, mpaka kiunoni, na kumfanya Soraya azidi kusikia ule mtekenyo mtamu, ambae akuwai kuuhisi au kuupata hapo kabla, Soraya akakosa utulivu na kuanza kuchezesha kiunochake kwa mshtuka wa mtekenyo, “unanitekanya bwana Higgno” sauti ya soraya ilitoka nyororo, nasambamba na pumzi nzito, huku akiwa amesha sahau kile alichotaka kufanya kwenye begi lake, “kwani upendi uniache?” alisema Higgno huku akiacha kutembeza mikono yake, “napenda, we endelea tu! kunishika” alisema Soraya huku akicheka cheka kwa aibu na kushindwa kuinuwa uso wake, aliouficha kifuani kwa Higgno, na kitumbua kimekalia dudu, iliyolala kama gogo, Higgno akaendelea kupapasa na sasa alienda mbali zaidi, japo alikuwa anapapasa juu ya kijigauni hiki chepesi, lakini aliweza likihisi joto tamu la mwaili mwororo wa Soraya, na kufanya dudu yake iendelee kuvipa na kukakamaa, kweli kweli, ikiwa imekandamizwa na nitumbua cha Soraya kilichokuweo ndani ya chupi, “kwani wewe ujisikii raha unavyo nishika shika?” aliuliza Soraya kwa sauti ya kivuvu, Higgno akacheka taratibu kwa sauti nzito, huku akishusha viganya vya mikono yake mpaka kwenye makalio ya mschana huyu ambae bado alikuwa amekaa juu yake, na kuendelea kuyapapasa taratibu, “nasikia” alijibu Higgno huku anacheka kwa sauti nzito, na tulivu, mikpono yake ikiipandisha kiunoni na mpaka kwenyembavu change, na kuona jinsi Soraya binti chotara anavyo shusha kiuno chini na kuya binua makalio yake, akionekana wazi kutekenyeka, “ata mimi najisikia raha” alijibi Soraya,huku anaisikia mikono ya Higgno aikishuka kiunoni, nahapo akainuwa kiuno chake juu, na kufanya malaio yashuke chini, nakuikandamiza tena dudu, ambayo safari hii, ili lala kwenye kikunde vyema kabisa, tofauti na mwanzo, na kwamndamizo huo akahisi kidude hicho cha kipekee, kwenye kitumbua chake, kikiekenywa na kumletea msisimko flani mtamu zaidi ya utamu wenyewe, na mbaya zaidi wakati huo huo, Higgno alipofikisha mikono yake kwenye makalio ya Soraya, akaya bana na kumkandamizia, maana ata yeye alijiskia raha flani, kisha akafanya kama ana mvuta kuja juu, hapo kitumbua ndani yachupi kika jiburuza kidogo juu ya mhogo, usawa wa kikunde ambacho kilijisungua taratibu, na kumfanya Soraya ajikute ana chezesha kiunochake taratibu, huku akisaidiwa na mikono ya Higgno.
Sasa ilikuwa kimya kimya, nikama walikuwa wamesha kubariana kufanya vile, walitumia kama dakika mbili wakiwa kimya, wakati Higgno anasikilia nusu utamu, huku nusu njingine akiwaza na nmna ya kupenyeza mkono, kushika ziwa la Soraya, ikiwa ni moja ya sehemu ambayo alielekezwa na baba mdogo, kuwa ni muhimu kuzishika shika mwanamke maana usisimuwa sana, “kumbe ata kwenye nguo tamu” alisema Soraya kwa sauti nyororo iliyo toka kwa chini kabisa, huku akiendelea kuchezesha kiuno chake kwa kuleta mbele nanyuma, na kukikwangua kitumbua chake kwenye dudu ya Higgno, kama vile nazi juu ya kikunio cha mbuzi, Higgno akujibu chochote, zaidi alipenyeza mkono wake na kupeleka kwenye kifua cha Soraya ambacho alikuwa amekilaza kifuani kwake, nikama Soraya alishajuwa, maana alijiinua kidogo, ilikumpa nafasi Higgno, ambayo aliwza kufikia maziwa mazuri magumu yaliyosimama ya Soraya, na kuanzakuzichezea chuchu, kitendo ambachi kilileta matokea ambayo Soraya akuyatarajia, maana alishtuliwa na msisimko wa ajabu kuliko ata ule wa kubabaswa kiuno, japo aukuzidi ule wa kukunwa kikunde.
Soraya alijikuta akianza kuhema punzi nzito, tena alitumia mdomo kupumulia, maana pua pekee zilishindwa, “wenzio nasikia uroda unaponishika chuchu” alisema Siraya kwa sauti ya kutetemeka, nazani kutokana na msisimko, iliyomezwa na pumzi nzito, iliyofanya sauti isikike kama vile mtu alie mwangiwa maji ya baridi, au alie lambishwa ukwaju, na kuzidi kujiinuwa, huku akiendelea kuzungusha kiuno, hakika alipatia kumalizia pale pale, haja zake zote.
Higgno alifanya hivyo kwa dakika nzima, huku akifikilia hatua ya kulamba mate, ya mschana huyu, hatua ambayo aliambiwa kuwa ikikubarika, basi ujuwe kinachofwata ni kuanza kuchezea kitumbua, na kuingiza dudu, Higgno alimtazama Soraya ambae alikuwa amefumba macho na uso ameulekeza chini pembeni, lakini bado anaendelea kuchezesha kiuno chake taratibu, Higgno aliendelea kusikia mihemo ya pumzi toka kwa Soraya, ambae licha ya kufumba macho na kukunja sura, akuonekana kuwa kwenye utamu usio wa kawaida, pia alikuwa ameachama mdomo ambao alikuwa anatumia kupumulia, hapo Higgno akatumia mkono mmoja kukikamata kichwa cha Soraya, eneo la kisogoni, na kumsogeza kwake.
Soraya ambae sasa alikuwa ana sikia utamu wa ajabu, ambao ulianzia shingoni kitumbuani na kuanda mpaka kisogoni, ukizungukia kooni, na kukausha ulimi, na kumfanya Soraya ajihisi kiu ya ghafla, kiu ya kitu ambacho ata yeye akukijuwa ni kinywaji gani, ata aliposhikwa kichwa na kusogezwa usoni kwa Higgno alijikuta amejilegeza na kufwata vile mkono wa Higgno ulivyo mpelekaka, na kujikuta akiishia usoni kwa Higgno, na midomo yao imekutana, Higgni akiwa ameeelekezwa na Soraya alie wahikushuhudia, mala kadhaa kwenye filamu za kizungu, wakaanza kubadirishana mate taratibu, huku Soraya akiwa amesitisha kuzungusha kiuno.
Kitendo hicho kilidumu kwa sekunde sitini, kabla Soraya ajajitoa na kujikandamiza tena kwenye dudu ya Higgno, iliyokuwa ndani ya bukta, kama kitumbua chake kilivyo kuwa ndani ya chupi, lakini alipo jikandamiza akaona dudu ilisha sogea pembeni, hivyo akapeleka mkono, ilikuiweka sawa, aweze kufanya kama alivyo fanya mwanzo.
Naam ile kupeleka mkono, akajikuta amegusa maji maji mengi ya kutembele juu ya chupi yake, inamana yalitokea kwenye kituumbua chake, maji maji ambayo siyo tu, kuilowesha chupi yake, pia yalisababisha chupi ile kuwa ime jishika na kusogeza pembeni ikiacha shavu moja la kitumbua likiwa nje, sijuwi Soraya aliwaza nini, “tujaribu bula nguo lakini usiingize” alisema Soraya kwa sauti ya tabu, iliyotokea puani, huku ana zamisha mkono kwenye bukta ya Higgno na kutoa dudu ambayo kiukweli ilikuwa imesimama barabara, na kuile kuitoa tu buktani, ilikunjuka kama vile imetoka kifungoni, Soraya kama vile alie zamilia, aliweka vizuri, kwa kuilaza tena kama ilivyo kuwa mwanzo, kisha kukikarisha kitumbua chake ambacho shamvu moja lilikuwa nje, kisha akaanza kuchezesha kiuno chake, huku Higgno akirudia kuchezea chuchu za mschana huyu, rembo zaidi ya urembo wenywe/
Soraya alifanya hivyo kama mala nne hivi, kisha akatulia, na kujilaza kifuani kwa Higgno, “mbona unaniachia peke yangu” aliongea kwa sauti nyororo ya kulalamika iliyotokea puani, huku anathema juu juu, “hapo Higgno aka peleka mkono kiunoni kwa Soraya, na kukamata vizuri, kaisha akaanza kuchizsha kunuchake, na Soraya nae akaaendelea kufanya kama mwanzo, lakini safari hii nikama dudu ilikuwa aigusi kikunde kama ilivyo kuwa mwanzo.
Mchezo akudumu kwa muda mrefu sana, maana Higgno alimwona Soraya, akisitisha mchezo hule, nikama alipata wazo, akapenye mkono uvunguni kwake, na kuikamata chupi yake kisha akaisogeza pembeni, alafu na kukiacha kitumbua wazi, alafu akaiwka vizuri dudu, yani akailaza kama mwanzo na kuikandamiza na kitumbua chake, akiilaza katikati kwenye mpasuo, huku kichwa cha dudu ile kikiwa kime gusa kikunde, hapo wakaanza tena kamchezo kao, wakichezesha viuno vyai kwa kupishanisha, pale Higgno alipo peleka mbele, Soraya alirudisha nyuma na kufanya kitumbua kilicho lowa kiteleze juu ya dudu, kama trein kwenye railway yake, na kufanya kichwa cha dudu ya Higgno kisugue kikunde chake chake, kila kinapo pita sehemu hiyo, “kumbe bila nguo nitamu sana” alisema Soraya, ambae alikuwa anachezesha kiuno taratibu kwa mtindo wa kukuna nazi, sambamba na kale kasauti ka ulalamishi, kilichosababishwa na msisimko wa utamu, ambao “mmmh! mmmh! mmmh! asssh” ungesema anafyonza buwa la muwa, ilionyesha wazi kuwa utamu aliokuwa anaupata ulikuwa ni mkubwa kwake, “nasikia kunoga inajoto tamu… assssh! mmmmh! mmmh!” aliongea Soraya kwa sauti ile ile ya kiteteshi iliyotokea puani, “ata mimi… ata mimi nasikia utamu” alisema Higgno kwa sauti nzito iliyojawa msisimko, huku akiiskilizia dudu yake ilivyokuwa ina sugua kikunde cha Soraya, ambae mpaka sasa, alikuwa bado ajapata jibu la kitu alichoambiwa na Laylah, kwamba amshunguze kuwa ni wanaume ambae anauwezo wa kulala na mwanamke na kumzalisha, japo mwenzie alimaanisha kuwa amchunguze kama jongoo anapanda mtungi, “tamu Higgno, mwenzio nasikia utamu…endelea kunifanya hivyo hivyo” alisema Soraya, akiendelea kucezesha kiuno chake, huku wakati mwingine dudu ikikwama na kunusurika kuingia ndani, Soraya alikuwa makini kuwai kujiinua, ilidudu isiingie ndani, “mwenzio naogopa nitaumia” alisema Soraya kila aliposurika kuingiziwa dudu, huku Higgno nae akiwa makini sana, akichelea kumwumiza mpenzi wake.
Lakini baada ya kufanya vile kwa sakika zaidi ya nane, uvumilivu uliwashinda wawili awa, baada ya utamu kuwakolea, Soraya ndie alie towa wazo la pili, tena wakiwa kati kati ya utamu, Soraya alisitisha ghafla, kukata kiuno, “Higgno tuvue kabisa nguo, ndio itanoga sana” alisema Soraya akijichekesha kichovu huku akijilaza juu ya Higgno, wazo ambalo kijana mpole alilikubari mala moja, “aya!” hapo Higgno akakumbuka moja ya maelezo ya mjimba wake, kuwa yeye ndie anae takiwa kumvua nguo mwanamke wake, hivyo alilishika gauni la Soraya kwachini, na kulipandisha juu, akilitolea upande wa kichwani, na hapo kwa msaada wa mwanga wa taa, aliweza kuona mwili mzuri wenye ngozi mwororo, isiyo na kovu, mwenye kifua kizuri kilichobeba,maziwa mazuri yaliyo tuna, na kusimama vyema kabisa, lakini kabla aja yafaidi vizuri Soraya akayaziba kwa mkono wake mmoja, japo alifanikiwakuxiba sehemu ya chuchu tu! na kuacha sehemu nyingine zikiwa wazi, na ata Higgno alipo peleka mkono wake kwenye chupo ya Soraya, Soraya mwenyewe akazuwia, “navua mwenyewe, na wewe vua ya kwako, mbona unavua mimi tu!” alisema Soraya huku anajiinua toka juu ya Higgno na kuamia upande wake wa kutani, kisha wote wawili wakaanza kuvua nguo, moja iliyo bakia miilini mwao, na mala Soraya alipo maliza tu, alizima sehemu ya kitumbua chake kwa mkono uliobakia, na kubakia amelala chali, “sasa hivi njoo juu yangu” alisema Soraya, kwa sauti, iliyo jawa aibu, na kijicheko cha chini chini, huku akigeuza uso wake, na kutazama ukutani, Higgno akainuka na kujiweka kati kati ya mapaja ya Soraya, “usiingize chezea juu juu” alisema Soraya, huku anatanua miguu kidogo, “wala usiwe na wasi wasi, siwezi kukuumiza” alisema Higgno, huku anaushika mwiko wake, na kuusogeza kwenye kitumbua cha Soraya, ambae licha ya kutanuwa miguu yake, yani mapaja, lakini bado aliuweka mkono wake juu ya kitumbua, kama anakificha, na Higgno aliposogeza mwiko, kwenye kitumbua, Soraya alisogeza mkono nyuma kidogo, kuipisha dudu iweze kugusa kitumbua cheke, huku anafumba macho, na hapo akahisi kichwa cha dudu kina gusa mashavu ya kitumbua chake, na kuanza kuta paruza taratibu, “angalia usiingize Higgno mwenzio naogopa” alisema Soraya kwa wasi wasi, “sikuumizi wala usiwe na wasi wasi” alisema Higgno huku anaendelea kutembeza dudu kwenye mpasuko wa kitumbua, kuanzia mashavuni mpaka kundeni, na alipo rudia mala kadhaa, akamuona Soraya anaanza kuchezesha kiuno chake, huku anaondoa mkono wake, akiamishia mgongoni kwa Higgno na kushikilia.
Dakika cheche baadae Soraya akaaanza kutoa zile sauti za kuugulia utamu, huku Higgno akiendelea kusugua mashavu na kikunde, eneo nyeti lilizidi kulowa chapa chapa, kama chungu cha mlenda, Higgno akaona kuna kitu alibakiza, nacho ni kunyoya chuchu za Soraya, na hapo huku akiendelea kusugua kune na mashavu ya kitumbua, kwa mkono wa kulia, akasogeza mdomo wake kwenye ziwa la kushoto la Soraya na kuanza kulinyonya, akichezea chuchu kwa kwa ulimi, nakumfanya Soraya awe kama amepandwa wazimu kwa utamu alio upaya, maana Soraya alizidi kumshika Higgno kwanguvu, na kumvutia kwake, kama vile aliitaji kitu zaidi, “tamu…nasikia utamu… Higgno, ingiza kidogo tusikie uroda” alishauri Soraya……………. endelea…….. kufwatilia mkasa huu wa #TEMBELE_LA_UWANI hapa hapa kwa hadithi ZA MBOGO EDGAR


TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA MBILI: Dakika cheche baadae Soraya akaaanza kutoa zile sauti za kuugulia utamu huku Higgno akiendelea kusugua mashavu na kikunde eneo nyeti lilizidi kulowa chapa chapa kama chungu cha mlenda, Higgno akaona kuna kitu alibakiza, nacho ni kunyoya chuchu za Soraya, na hapo huku akiendelea kusugua kune na mashavu ya kitumbua kwa mkono wa kulia akasogeza mdomo wake kwenye ziwa la kushoto la Soraya na kuanza kulinyonya, akichezea chuchu kwa ulimi na kumfanya Soraya awe kama amepandwa wazimu kwa utamu alioupata, maana Soraya alizidi kumshika Higgno kwa nguvu na kumvutia kwake kama vile alihitaji kitu zaidi, “tamu…nasikia utamu… Higgno ingiza kidogo tusikie utamu” alishauri Soraya……………. ENDELEA NAYO……..
kwa sauti ya kichovu iliyo zidiwa na utamu wa kile walicho kuwa wanakifanya, sidhani kama Higgno alijiuliza mara mbili, maana na yeye alikuwa anatamani kumueleza Soraya jambo kama hilo, lakini hakujuwa pakuanzia, hivyo bila kuchelewa akasaka tundu katika kitumbua cha mwenzie na kulengesha dudu, na hapo hata sikuelewa, sijui ilikuwa ni bahati mbaya au ni makusudi au kuto kuelewa, maana alishuka mzima mzima na kupeleka dudu ndani huku wote wawili wakisikia jinsi livyopenya kwa shida na ugumu, kwa haraka ungesema amekosea njia baada ya kuingia kwa bibi na kwenda kwa jirani, kilicho mshtua ni kelele za Soraya ambae alionyesha wazi kuwa alikuwa katika maumivu makali, “toa kwanza inaumaaaaa” alipiga kelele Soraya huku anamsukuma Higgno ambae ni kama alidhania Soraya analeta mbwe mbwe za kike, maana hakutoka juu ya Soraya na baada yake akaanza kufanya taratibu, lakini taratibu hiyo haikusaidia, maana maumivu makali yalikuwa kwa Soraya na kumfanya zidi kupiga kelele, “toa kwanza mwenzieo naumia” safari hii Soraya aliongea huku na mfinya Higgno eneo la kifuani, na hapo ndipo Higgno aliposhtuka na kuona kuwa Soraya alikuwa anaumia kweli, akajiinua na kutoa dudu kwenye kitumbua cha mwenzie, haraka Soraya akapeleka mkono kutumbuani na kujipapasa kisha akatizama, “hiiii ona Higgno umenitoa damu mwenzio nilikuambia ingiza kidogo wewe umeigiza yote” alilalamika Soraya kwa sauti ya mshtuko na mshangao, ukweli Higgno alishtuka kweli kweli baada ya kuona damu kwenye mkono wa Soraya, akajuwa hapo tayari amesha ya vuruga na mchezo umeishia pale, “pole, mi sikujuwa kama utaumia, basi sikufanyi tena” alisema Higgno kwa sauti ya kubembeleza huku akiwa anapapasa kitandani kutafuta bukta yake “kwanini hufanyi tena na mimi?” aliuliza Soraya kwa sauti ya kulalamika, huku akimvuta Higgno, ambae alilegea na kuanguakia kitandani kisha Soraya akajilaza kifuani kwake, “naogopa nitakuumiza tena” alisema Higgno huku akianza kupitisha mkono wake kichwani kwa Soraya na kuchezea nywele zake ndefu, “kwani itauma tena, si wanasema inaumaga wakati wa kuanza tu!?” aliuliza Sora ambae alikuwa anasikilizia mkono wa Higgno uliokuwa unaendelea kumchezea nywele, ukianzia kusogeni karibu na shingo mpaka eneo la masikioni na kuanza kumletea msisimko, “hata mimi nasikiaga hivyo” alijibu Higgno kwa sauti tulivu, huku akipeleka mkono kwenye ziwa la Soraya, ni kama ilikuwa bahati mbaya maana alijishtukia na kuacha haraka, “we nishike tu maziwa mwenzio najisikia raha mbona mimi na kushika” alisema Soraya akijiinua kidogo kuruhusu mkono wa Higgno ushike vizuri maziwa yake, huku yeye anapeka mkono kwenye dudu ya Higggno ambayo japo ilikutana na msuko suko, lakini ile kuigusa tu ilikuwa bado imesimama vile vile, “bado inatamani” alisema Hilda Soraya huku anacheka kivivu na kuanza kuichezea dudu ya Higgno.********
Huko hospital nako mama Hilda alikuwa amekaa kwenye moja ya benchi kati ya matatu yaliyopo nje ya ward aliyolazwa mume wake, ambae mpaka sasa alikuwa bado hajarejewa na fahamu, huku akiwaza juu ya msaada wa mzee Frank, ambao yeye aliuona ni kama kejeri na dharau kwake, “au alikuja kusikia umbea, maana kama watu wakijuwa kuwa mimi na Hilda tumelala na kile kibabu itakuwa aibu sana” aliwaza mama Hilda, ambae usingizi ulikuwa una muwinda kwa kasi ya ajabu, ukiongezea na pombe alizokunywa zilizidi kumlegeza na kujikuta akijilaza kwenye benchi lile alilokuwa amekalia peke yake, “lakini wakina mzee Ngongi ni watu wabaya sana, wamemkimbia hivi hivi” aliwaza mama Hilda ambae alishindwa kuuona msaada wa bwana Frank.********
Turudi nyumba kwa mzee Komba, Hilda ambae alikuwa chumbani kwake amelala chali juu ya kitanda chake cha kamba, huku ametanua miguu na mapaja yake na kukibinua kiuno chake, akifanya makalio na kitumbua chake viachame kwa nguvu ili kupitisha hewa na kama unge bahatika kuziona sehemu hizo lazima unge gunduwa kuwa zimetumika vibaya sana, na sio siku ile tu, ni toka siku nyingi.
Akiwa amekaa mkao ule Hilda aliona kuna kauafadhari kidogo, maana kila alipoyakutanisha mapaja yake alisikia maumivu kali sehemu zote za haja ndogo na haja kubwa, “ina maana baba amejuwa alichofanya mama na babu Mabudi, na amejuwa kuwa wote tumegongwa na yule bab” aliwaza Hilda, ambae kiukweli hakujutia kabisa tukio lile zaidi ya kujutia maumivu ya kitumbuani aliyokuwa anayapata muda ule, huwezi amini Hilda hakuwaza juu ya hali ya baba yake kwa muda ule wala mchezo mchafu walo chezewa na mabudi kuwala vitumbua yeye na mama yake.
Kingine Hilda aliwaza juu ya Higgno, “hili jambo likijulikana sijui Higgno atanionaje, yaani ataniona mimi Malaya kweli kweli” aliwaza Hilda, ambae aliona jambo hilo linaweza kutumika kama ushindi kwa kwa familia ya mzee Frank ambayo aliichomea moto duka, japo alipopita pale nyumbani kwao wakati anarudi toka kwa Mabudi kushughulikiwa aliweza kuona duka jingine linajengwa, “kwanza mtu mwenyewe hajui kutongoza, sijui atapata mwanamke wa aina gani, naombea apate mwanamke wa hovyo hovyo” aliwaza Hilda, ambae wakati huo huo akasikia ngurumo ya gari ikipita mbele ya nyumba yao, yaani kwenye barabara ya kuelekea upande wa wakina Higgno, hakujuwa kama gari hilo ndilo limetoka kumpeleka baba yake Hospital akiwa bado haja rejewa na fahamu.*******
Turudi shambani kwa Higgno wawili walikuwa bado wanaendelea kuchezea sehemu zao za siri, Higgno alikuwa anachezea chuchu za Soraya, ambazo ukiachilia kuziminya na kuzipekecha kwa vitole pia alikuwa anapitisha mkono wake kwenye uti wa mgongo wa mschana huyu, na wakati mwingine walikutanisha ndimi zao nakunyonyana, huku Soraya nae hakubakia nyuma, japo yeye hakuwa na ufundi mwingin zaidi ya kuuchezea mwiko wa Higgno, muda wote walikuwa kimya wakisilizia mihemo ya pumzi zao ambazo zilitokea kwa shida puani mwao, “Higgno tutafanyaje, mwenzio natamani lakini naogopa” alisema Soraya kwa sauti ya kichovu, huku akiendelea kuichezea dudu ya mwenzie, “tukifanya utamia tena” alisema Higgno ambae ni wazi kabisa alikuwa amejawa na ngale za kula kitumbua, “basi jaribu tena, mwenzio ukifanya taratibu ndio nitajisikia kunoga” alisema Soraya huku anajitoa kifuani kwa Higgno na kujilaza chali, Higgno nae akakaa kama alivyo kaa saa zile, yaani kati kati ya mapaja ya Soraya, ambae alitanua mapaja yake na kulaza kiganja cha mkono wake juu ya kitumbua, Higgno akaishika dudu na kuisogeza kitumbuani, lakini Soraya akaachia kitumbua na kuishika dudu, “ngoja niishike mimi usije ukaingiza kwa nguvu” alisema Soraya huku anaishika dudu iliyosimama kweli kweli na kuanza kuilengesha kwenye kitumbua chake akigusisha mlangoni.
Sasa Higgno alikaa kama anapiga push up akigandia kwa juu, hapo Soraya akajisogeza kidogo kwenye dudu akijaribu kuingiza ndani ya kutumbua, kweli alifanikiwa maana kichwa kilipita akaanza kuchezesha kiuno chake akipeleka mbele kidogo na kukirudisha nyuma kama vile anabip, huku ameishikilia dudu ya Higgno na kila alipopeleka mbele sehemu ya kichwa cha dudu ilizama kidogo ndani ya kitumbua na kukisugua mashavu ya kitumbua hicho, na kuingia ndani kusugua kunde, na aliporudisha nyuma nacho kilitoka kidogo bila kuacha kusugua mashavu na kikunde cha Soraya, ambae tuna fahamu kuwa ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufanyiwa hivi, kama ilivyo kwa Higgno ambae licha ya kujisikia utamu uliopitiliza lakini bado alikuwa ameganda katika pushup position, (mkao wa pushap) akisikilizia jinsi Soraya alivyokuwa anajikadiria utamu.
Soraya kwa umakini mkubwa aliendelea kufanya vile akirudia kama mara nne hivi, dudu ikiingia ndani ya kitumbua eneo la kichwa pekee, huku akianza kuhisi utamu ambao uliongezeka kila alipoingiza na kuitoa dudu kitumbuani mwake, utamu ambao haukuishia hapo maana ulizidi kuongezeka huku Soraya mwenyewe akiongeza kipimo cha dudu kuingia ndani ya kitumbua taratibu bila yeye mwenyewe kutambua kuwa sasa dudu ilikuwa inaingia nusu, nadhani ni kutokana na utamu alioupata.
Mchezo uliendeleankuna wakati utamu ulizidi na kujikuta akizidisha kipimo dudu ikipitiliza kidogo hapo alishtuka kidogo na kurekebisha, hata dakika kumi mbele alijikuta utamu ukimzidia na yeye kuachia dudu na kushika kichwa cha Higgno, akisogeza mdomo wake kwenye mdomo wa Higgno na kuanza kupeana ulimi, huku wakiendelea kupeana dudu kwa umakini wakuto kuzidisha kipimo, utamu ulizidi kukolea, “Higgno asante, unanipa utamu…. kumbe tamu…. na kesho nakuja tena” alisema Soraya akionekana wazi kuwa alikuwa anasikia utamu kweli kweli sasa hata Higgno alishajuwa kipimo, hivyo na yeye akaanza kusaidia utendaji maana dudu haikuwa imeshikwa tena, ilikuwa imeachiwa ijiongoze yenyewe kitumbuani, “Higgno usimwambie baba kama tumefanya hivi” alisema Soraya ambae ni kama alikuwa ameziwa na utamu, Higgno hakumuelewa anamaanisha nini japo aliitikia, “simwambii” ilikuwa sauti nzito iliyozidiwa na msismko.
Naam wakiwa kati kati ya mchezo Soraya alianza kuhisi kitu kama mkojo mtamu sana umembana na kumzidishia utamu nakumfanya azidi kuongeza kasi ya kuchezesha kiuno chake na kukaza mwili ili kujizuwia asijikojolee, lakini wapi ndiyo kwanza akahisi mkojo huo mtamu ukizidi kuja kwa kasi sana, “Higgno tamu ….tamu Higgno mwenzio nakojoa… na kojo..” hakuweza kumaliza kabla hajambana Higgno kwa nguvu na kumvutia kwake huku akipandisha kiuno juu huku amebana pumzi ndani na kukaza tumbo na kusababisha dudu izame ndani zaidi ya kipimo, Soraya hakusikia maumivu kwa wakati huo, na wakati huo huo Higgno nae akashusha mzigo na wote wakaganda kwa sekunde kadhaa kabla Higgno hajajitoa juu ya Soraya huku dudu ikichomoka toka kitumbuani akajilaza pembeni ya Soraya wakianza kuhema kwa pamoja, tena pumzi ndefu ndefubkama wametoka kwenye jukumu zito, huku Soraya akianza kuhisi maumivu makali kwenye kitumbua chake, “Higgno kuna uma” alisema Soraya huku anatanua mapaja yake kuruhusu hewa ipite sehemu hiyo ya kitumbua chake, na kumpa ruksa Higgno akione vizuri maana mwanzo Soraya alikuwa anaziba ziba, wacha nikupulizie, alisema Higgno na kusogeza mdomo wake karibu na kitumbua kisha kuanza kupulizia, hapo Soraya ni kama aliona kauafadhari fulani, “hapo afadhari kidogo, lakini si pata poa?” aliuliza Soraya akizidi kutanua mapaja yake akimruhusu Higgno aweze kufanya kazi yake vizuri.
Na wakati kazi hiyo inaendelea Soraya alikumbuka kitu na kuchukuwa mkoba ambao ulikuwa pale kitandani na kutoa box la simu, “nime kununulia simu ili tuwe tuna wasiliana” alisema Soraya na kuanza kumuelekeza Higgno matumizi machache ya simu ile, haikuwa vigumu kwa Higgno kuelewa kwasababu matumizi ya simu ile haikutofautiana sana na matumizi ya simu ya baba yake, ukiachia hilo la kupewa simu pia Soraya alimpatia vitu alivyomnunulia mjini, ikiwa ni nguo na viatu pamoja na kumkabidhi kiasi cha fedha kama laki moja, “Higgno kesho ukanunue vitu unavyohitaji kama ni nguo au nini, lakini ni za kwako” alisema Soraya na kumshangaza kidogo Higgno, “nikanunue nini sasa, wakati tayari umesha ni nunulia” alisema Higgno akiona kuwa si vyema kupokea fedha toka kwa mwanamke, “Higgno najuwa bado hujaanza kazi, ni jukumu langu kukupatia fedha ya matumizi madogo madogo” alisema Soraya na hapo ni kama Higgno alitulia kidogo na kumtazama Soraya, usiseme sijaanza kazi sema sijapata kazi, lakini naweza kutafuta fedha kwa kulima na kuuza mazao” alisema Higgno kwa sauti tulivu, “wala usiwe na wasi wasi kazi utapata, sema ni mpaka tutakapo weka wazi uchumba wetu na pengine kuoana kabisa” alisema Soraya huku akichezea kifua cha Higgno, kwa kukigusa gusa na zile hela alizozishika mkononi, ukweli Higgno alishtushwa na maneno yale ya Soraya, lakini kabla hajauliza au kuongea kitu, Soraya akisema tena, “chukuwa basi au hutaki kupokea vitu vyangu?” aliuliza Soraya kwa kwa sauti ya kulalamika, hapo Higgno akapokea na kunyoosha mkono akiweka mezani, “asante sana Soraya, lakini wazazi wako watakubali nikuoe?” aliuliza Higgno kwa sauti tulivu ya kinyonge, “kwanini wasikubali, ungejuwa wanavyo kupenda hata usinge sema” alisema Soraya kwa sauti iliyojaa uhakika na kujiamini, “mh! kwani wazazi wako wananifahamu?” aliuliza Higgno kwa mshangao, hapo Soraya akagunduwa kuwa aliropoka jambo, hivyo akashindwa kujibu, “hata kama wao watakubali itakuwaje kuhusu wewe, utakubali kuolewa na mimi ambae mpaka sasa nyumba yangu ninayo itegemea ndio hii” aliuliza Higgno kwa sauti ya kinyonge kama ile ya mwanzo, “Higgno kwani sasa hivi tupo wapi, si tupo hapa kwenye nyumba yako, sasa tatizo lipo wapi…” kabla hata Soraya hajamalizia kuongea, Higgno akaangua kicheko kikubwa sana, “eti nyumba, Soraya bwana, hahahahahaha!” aliongea Higgno huku anaendelea kucheka kwa nguvu, kiasi cha kumwambukiza Soraya nae akaangua kicheko, na maongezi yao yakaishia hapo, “sasa hii nayo ni nyumba ona hata nje panaonekana” alisema Higgno huku anatazama mlangoni, Soraya nae akatazama, ni kweli licha ya kurudisha zile fito za mianzi lakini nje palikuwa panaonekana.
Ukweli ilikuwa burudani kwa wawili hawa ambao waliongea kwa muda mrefu na hata walipopitiwa na usingizi hawa kujuwa walipitiwaje pitiwaje.********
Yap! mzee Frank alifika nyumbani kwake mida hii ya saa sita za usikuna kumueleza mke wake kilichotokea huko hospital, “sasa wamesema sababu ya kupoteza fahamu ni nini?” aliuliza mke wa mzee Frank yaani mama Higgno, “sijauliza si unajuwa tena, unaweza kuonekana unatoa msaada kwaajili ya umbea” alijibu mzee Frank, ambae alikuwa anajiandaa kulala, “ni kweli mwenzangu maana wa swahili wanaweza kusahau kila kitu kwa swali moja tu utakalo wauliza” alisema mama Higgno akikubaliana na na mume wake, “lakini kesho nitaenda mchana hospital kumtazama, maana naweza kuondoka mapema na yule binti akaja hapa nyumbani kama alivyo sema” alisema mzee Frank, ambae sasa alipanda kitandani na kuanza kuusaka usingizi.********
Saa moja na robo, ndio muda ambao Laylah alisimamisha gari barabarani, pembeni ya shamba la Higgno na kutembea kwa miguu kuelekea kwenye kibanda cha Higgno ambacho boss wake alikuwa amelala ndani yake, hakukuwa na daily ya kuwa wameamka, leo Laylah alikuwa na tahadhari kubwa sana, hakutaka kuwakuta kama alivyo wakuta jana, hivyo alienda na kusimama mita chache pembeni ya kibanda ambacho kilikuwa kimya kabisa, zaidi ya kuona moto hafifu uliofunikwa bati juu ya waya, ambao alitambua kuwa kulikuwa na samaki na nyama.
Hapo Laylah akagundua kuwa wawili hawa walikuwa bado wamelala, hivyo akasogea mlangoni, mlango ambao ni kama ulikuwa wazi tu kwa jinsi alivyoegeshwa zile fito za mianzi, “nikisema nisubiri aamke mwenyewe lazima tutachelewa” alijisemea Laylah, huku anaufikia Mlango na kuchungulia ndani.
Naam alikutana na picha ambayo hakutegemea kuiona asubuhi ile, picha ambayo ilimsisimua na kumkumbuka mpenzi wake ambae ni dereva wa magari ya mizigo ya bwana Mahamud, ambae mara kwa mara anakuwa safarini, hata mida hii alikuwa safarini kuelekea Newala, Laylah aliweza kumuona Soraya akiwa amelala juu ya kifua cha Higgno, ambae pia alikuwa amelala fofofo, wote wakiwa kama walivyo zaliwa pasipo kujihifadhi na kipande chochote cha nguo au shuka, hivyo kale kamsemo ka macho hayanaga panzia kakatimia kwa Laylah, ambae aliweza kuona jinsi boss wake Soraya alivyo yakandamiza maziwa yake kwenye kifua kipana cha Higgno, huku boss wake huyo akiwa amejiachia juu ya mwili wa mazoezi wa kijana mpole, nywele zake ndefu nyeusi zenye afya zikitawanyika eneo lote la kati la mwili wa kijana huyu, ambae mikono yake imara ilikuwa imezunguka kiunoni kwa mschana huyu kama vile alikuwa anamzuia asiyumbe kushoto wala kulia, aliposhusha macho yake vizuri usawa wa sehemu za siri za wawili hawa, hakuweza kuona kitumbua cha Soraya zaidi ya makalio ya boss wake huyu yaliyo kuwa upande wa juu, huku mguu moja ameukunja na kufanya lilale juu ya usawa wa paja la kijana huyu na kusababisha viungo vingine viwe sambamba, yani mwiko kwa kitumbua, kinena kwa kinena, vuzi kwa vuzi, “mh! tayari” aliguna Laylah, huku anarudi nyuma nakujibanza ukutani, “sijui ilikuwaje usiku wao” aliwaza Laylah, ambae alianza kujihisi kutamani dudu, asubuhi ile, hii kwa wale ambao walipitwa .... ITAENDELEA…….




TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA NNE
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA TATU: kama vile alikuwa anamzuia asiyumbe kushoto wala kulia, aliposhusha macho yake vizuri usawa wa sehemu za siri za wawili hawa, hakuweza kuona kitumbua cha Soraya zaidi ya makalio ya boss wake huyu yaliyo kuwa upande wa juu, huku mguu moja ameukunja na kufanya lilale juu ya usawa wa paja la kijana huyu na kusababisha viungo vingine viwe sambamba, yani mwiko kwa kitumbua, kinena kwa kinena, vuzi kwa vuzi, “mh! tayari” aliguna Laylah, huku anarudi nyuma nakujibanza ukutani, “sijui ilikuwaje usiku wao” aliwaza Laylah, ambae alianza kujihisi kutamani dudu, asubuhi ile……. ENDELEA SASA……..
Laylah, ambae aliona wazi ni vigumu kuwaamsha kwa kuwagongea mlango wawili wale kutokana na hali ya mlango na jinsi walivyo kuwa watupu, akapata wazo, hivyo akachukuwa kipande cha kuni na kugonga bati lililofunikwa jikoni, hapo akawasikia wanakurupuka kitandani, “kumbe kume kucha, alimsikia Soraya akisema, sambamba na mtikisiko wa kitanda, ikionyesha wazi walikuwa wanaamika, “mamaaa, bado kunauma” alipiga kelele Soraya akionyesha kuwa alikuwa anasikia maumivu katika sehemu fulani ya mwili wake, “pole Soraya, sasa itakuwaje?” alisikika Higgno kwa sauti iliyojaa uoga, “mama akiniuliza, sijui nitamwabiaje, maana lazima atajuwa tu kwasababu siwezi kutembea vizuri” alijibu Soraya na dakika cheche baadae Laylah, akawaona wanatoka nje Higgno alievalia bukta, akiwa amebeba ndoo ya maji na mkono mwingine amebeba kikombe chenye maji, akifuatiwa na Soraya aliekuwa amejifunga shuka mwilini, huku anatembea kwa kunyatia kama mtu mwenye kidonda mguuni, huku mkononi amebeba mswaki na sabuni, “Hooo! Laylah, kumbe umeshafika” alisema Soraya akionekana kushtuka, huku akikwepesha macho yake yasikutane na macho ya Laylah, ndio naingia sasa hivi, habari shemeji” alisalimia Laylah, hakika Higgno alijisikia raha kuitwa shemeji, “safi karibu” alisema Higgno huku wanaendelea kueleka kwenye bafu dogo la nyasi, na hapo ndipo Laylah alipopata nafasi ya kuona madoa mekundu kwenye shuka alilojifunga Soraya, “karibu duniani Soraya” alijisemea Laylah, akionyesha kuwa amesha fahamu kilicho mtokea boss wake, “sasa nitamueleza nini mama yake?” aliwaza Laylah.******
Naam mida hii mzee Mahamud alikuwa anajiandaa kueleka kazini, lakini alikuwa mnyonge sana, ukweli kashfa aliyotengenezewa ilikuwa mbaya sana, hakika hata kama ulikuwa ni uongo lakini ilikuwa ni aibu kubwa sana, maana aliamini wapo watakao sadiki maneno yale, “baba Soraya hupaswi kuwa hivyo mume wangu, yaani una shindwa kabla hata hujapambana, kumbuka ulivyo waweka sawa ndugu zako kule oman uliwaeleza na wakakuelewa mara moja, sidhani kama hao wazee wa baraza watashindwa kukuelewa” alisema mama Soraya wakati akiwa na mume wake sebuleni ana malizia kunywa chai, “mke wangu nadhani hujajuwa ugumu wa hili swala” alisema mzee Mahamud, ambae kiukweli hata chai na vitafunwa vile vitamu aliviona kama udongo, tatizo mama Soraya hujajuwa lengo la hawa wapuuzi, lengo lao ni kuwa tumuozeshe Soraya kwa Idd, endapo tutaendelea kukataa tutaonekana kuwa ni kweli tunamzuia kwaajili ya hayo waliyo yasema, hapo ninachojuwa mimi yatafuata mambo mengi kashfa itazidi kusambaa kutengwa na dini kupungua kwa wateja wetu na kushuka kwa mapato ya kampuni, na kingine ambacho kina niumiza kichwa ni kwamba endapo lengo lao litatimia na Idd akimchumbia Soraya kinachofuata ni mipango michafu ya kutumia mali zetu hovyo na mwisho Soraya kupata tabu maisha yake yote au kupewa talaka ambayo pengine akaiomba mwenyewe kwasababu Idd kama ulivyosikia ni kijana asiefaa katika jamii, mwizi, muuzaji wa dawa za kulevya, mlevi, na mpenda waschana hovyo hovyo” alisema Mahamud huku anainuka na kusogea kwenye sink la kunawia pale kwenye ukumbi wa chakula, “lakini baba Soraya, kama akipata mchumba hili swala si litaisha?” aliuliza mama Soraya, kwa sauti ya kubembeleza, “ndiyo hilo ni swala pekee litakalo tutoa kwenye hii kashfa, lakini mwanaume mwenyewe asiwe yule mshenzi anae fuata mali ambazo tumezihangakia kwa miaka mingi” alisema Mahamud kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa hakupenda jambo hilo litokee, “sawa lakini si alisema kuwa tayari anamchumba wake” alikumbusha mama Soraya, kama alivyosema siku ile ya jumapili alipokataa barua ya posa ya Idd, “tatizo ni kwamba Soraya mwenyewe hajawahi kutamkiwa na kijana mwenyewe, na wala hapajuwi anapoishi angalau hata wangekuwa ni marafiki tu, basi ningeenda kusema kuwa tayari Soraya ana mchumba na wanatarajia kufunga ndoa” aliongea mzee Mahamud akimalizia kwa sauti ya kukata tamaa, “tatizo lipo wapi unaweza kusema hivyo na kuachana nao wapuuzi” alisema mama Soraya, “lakini mke wangu unajuwa endapo watajuwa kuwa nimewadanganya lazima watasema kuwa ni kweli hayo maujinga ya mahadhi” alisema Mahamud ambae alisha maliza kunawa na kuchukua mkoba wake tayari kuondoka zake kuelekea ofisini, “kwahiyo mume wangu unadhani kuwakubalia wanachotaka ni jambo jema kwetu na kwa Soraya?” aliuliza mke wa Mahamud kwa sauti iliyojaa tahadhari.
Hapo Mahamud alitulia kidogo kama vile ana tafuta jibu, lakini baada ya sekunde kadhaa mbele akainua kichwa, “kwa kweli mke wangu wacha kwanza nikawasikilize watakachosema, kama itabidi iwe hivyo itakuwa hivyo” alisema Mahamud kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kukubali matokeo kwa hali yoyote, kisha akatembea kutoka nje, “sasa baba Soraya kama wewe unasema hivyo, nani atamtetea mtoto?” aliuliza mama Soraya, huku anamfuata mume wake nyuma, “tutafanyaje mama Soraya, wakati washatutengnezea kashfa” alisema mzee Mahamud, huku anaendelea kutembea na kutoka nje ambako aliingia kwenye gari lake na kuliwasha kisha akaondoka zake akimuacha mke wake amesimama mlangoni akimsindikiza kwa macho ya majonzi, maana aliona wazi anguko la famila yao, “hawa watu ni washenzi sana, sijui niwafanyaje?” alijiuliza mama Soraya ambae alikuwa anarudi ndani, moja kwa moja mpaka sebuleni kwenye ukumbi wa chakula, “ila inabidi nimueleze ukweli Soraya ili afahamu kinacho endelea, pengine anaweza kuwa na wazo la kusaidia” aliwaza mama Soraya.*******
Naam mara baada ya kuhakikisha Soraya ameondoka Higgno akiwa haamini kinachoendelea kutokea katika maisha yake kwa siku mbili hizi, aliingia ndani na kuchukuwa simu yake akisahau kama kuna simu nyingine ya wale waharifu ipo mezani, akabofya namba za baba yake na kupiga, simu iliita kidogo kisha ikapokelewa, “hallow bwana Frank naongea nani mwenzangu” ilisikika sauti toka upande wa pili wa simu, “shikamoo baba, mimi Higgno” ilikuwa sauti iliyojaa uchangamfu, ambao ulikuwa na dalili za mbali za upole, “Higgno upo wapi asubuhi yote hii, maana nilikuwa nawaza jinsi ya kukupata yaani leo nina mambo mengi sana?” aliuliza mzee Frank kwa sauti iliyojaa mshangao uliochanganyika na furaha, “nipo shambani” alijibu Higgno, akionekana mwenye furaha ya hali ya juu, “upo shamba sasa umeazima simu ya nani?” aliuliza tena mzee Frank kwa sauti ya mshangao huku akionekana kupoa kidogo, “weweeee! mimi sasa hivi boss, hapa nina hela nyingi tu, sema nikupe uanze kujenga tena duka lako” alisema Higgno kwa majigambo ya baba kwa mtoto, “hela utoe wapi wewe hebu sema bwana umeazima simu ya nani?” aliuliza tena mzee Frank, “ya kwangu, tena isave hiyo namba….” kabla Higgno hajamaliza kuongea kwa mbwembwe Frank akamdaka juu kwa juu, “umeitoa wapi ghafla hivi?, au umeshaitwa kazini?” aliuliza baba Higgno kwa mshangao wawazi kabisa, “nitakusimulia kila kitu wala usiwe na wasi wasi” alisema Higgno, akionelea kuwa ni wakati mzuri kwa yeye kumueleza baba yake juu ya mschana Soraya, “sawa mimi nipo hapa nyumbani, hivi nilikuwa natafuta muda pengine jioni nikitoka hospital tuonane nikueleze juu ya ufadhiri nilioupata wa kujengewa duka na kupewa fedha za mtaji wa duka hili jipya na yule mschana alie ninunulia baiskeri kipindi kile waliponisababishia ajali” alisema mzee Frank, ambae alienda mbali zaidi na kumueleza mwanae kuwa mchana wakutane mjini, wakati anaenda kumuona mzee Komba ambae amelazwa huko, baada ya kuanguka ghafla na kupoteza fahamu, “lakini baba wewe ni mtu wa ajabu sana, ulinilaumu kwa kuwa karibu na watu hao, sasa wewe mwenyewe unawaweka karibu” alisema Higgno akimlalamikia baba yake, “tutaongea baadae nadhani mida ya saa tano mimi nitatoka hapa nyumbani” alisema mzee Frank, akiepusha maongezi yale ikionekana kuwa alikuwa karibu na mtu au watu ambao hakutaka wasikie akiongelea swala la mzee Komba, “sawa basi mimi nita tangulia nikanunue nguo mbili tatu, ukifika mjini utanipigia” alisema Higgno kisha wakaagana na kukata simu.
Hapo Higgno akaanza kufanya usafi mule ndani, akipanga vitu vizuri kabisa huku muda wote akitafakari mchezo na matukio ya jana usiku pamoja na maneno ya Soraya, ambae alisema kuwa kwa utamu aliokuwa anaupata usiku katika mchezo walioucheza lazima angekuja tena kesho, yaani leo, “dah! eti anataka ni muoe, hivi nitaanzia wapi?” swali hilo lilionyesha kumeza furaha ya Higgno, maana alijuwa fika kutokana na umasikini walio nao hakuna mzazi mwenye uwezo mkubwa wa kifedha ambae atakubaliana na swala hilo, ukizingatia hata masikini kama mzee Komba aliunga mkono swala usaliti wa binti yake Hilda.********
Mama Hilda alishtuka baada ya kusikia kelele za watu waliokuwepo pale hospital wakiwa ni madoctor wauguzi na watu waliokuja kuwatazama wagonjwa, hivyo na yeye akainuka toka kwenye bechi na kuingia ndani ya ile ward, huku kila aliepishana nae alitazama pembeni kwa kukwepa harufu mbaya ya pombe.
Mama Hilda alipofika kwenye Kitanda alicholazwa mume wake akawakuta watu wanne waliovalia sale za madoctor na wauguzi, akishindwa kutofautisha nani doctor nani muuguzi, kwanza aliingiwa na wasi wasi, lakini baada ya kumtazama mume wake na kumuona akiwa amesha zinduka kidogo moyo wake ukapoa, “wewe ndie ndugu wa huyu mgonjwa?” aliuliza mmoja kati ya wale watu wanne, “ndiyo, mimi ni mke wake” alisema mama Hilda, huku akimtazama mume wake ambae alikuwa amelala kitandani macho amemkazia yeye, lakini mdomo wake umelegea kama wale wenye mtindio wa ubongo, “mgonjwa wako amepatwa na tatizo la kusinyaa kwa mishipa ya fahamu, ni mara tu baada ya kupatwa na kitu kama mshtuko, hivyo tutampatia matibabu, lakini kuna uwezekano mkubwa wa kupooza au kushindwa kutumia baadhi ya viungo vyake ya mwili kama vile mguu moja au yote, mkono mmoja au yote, au kushindwa kuongea au vyote kwa pamoja, pia anaweza kupona japo ni mara chache sana kupona” alifafanua mmoja kati ya wale wanne, alievalia koti jeusi huku ndani likionekana shati jeupe na suruali nyeusi, “hoooo! jaman mzigo wangu huooooo” nani ataweza kukufanyia kila kitu” alisikika mama Hilda akianguwa yowe kwa sauti ya juu huku akijishika kichwani, “we mama unawazimu, kwanini unalia na kusema maneno machafu kama hayo, alisema mmoja kati yao mwenye jinsia ya kike kwa sauti ya ukali, “hapo mama Hilda akakata kilio ghafla na kuelekea nje, ambako hakukaa kwenye tena kwenye bechi, akanyoosha njia ya kurudi kijijini Luhila, (wakati huo palikuwa kama kijijini, lakini sio kwa sasa) “nani ataweza kibarua hicho, labda waje dada zake wamfanyie kazi ya uyaya” aliwaza mama Hilda akiwa njiani analekea mashariki mwa songea******
“wala usiogope, haita uma tena lakini, lakini umekosea kufanya nae bila kinga, unaweza kupata mimba” alisema Laylah, kwa sauti ya kuondoa wasi wasi wakiwa njiani wanaelekea nyumbani kwa kina Soraya, ni mara tu! baada ya Soraya kumaliza kumsimulia kilichotokea usiku wa jana kule kwa Higgno, “mimba si ndio vizuri, kwani ni vibaya kupata mtoto?” aliuliza Soraya kwa mshangao na kujiamini, Laylah akaduwaa, na sasa walikuwa wanakaribia kuingia kwa akina Soraya, “kwahiyo Soraya unataka kuzaa?” aliuliza Laylah kwa mshangao, “ndiyo nataka kuzaa, tena hata dini inakataza kutumia mipira kwenye jimai” (japo si kweli) alisema Soraya kwa msisitizo, huku gari linasimama mbele ya geti la nyumbani kwao na Laylah akapiga Honi, kisha geti likafunguliwa na gari likaingia ndani, “sasa Laylah, ukinifikisha ofisini nitakutuma Luhila kwa yule mzee” alisema Soraya kabla hajashuka toka kwenye gari, “sawa, lakini jitahidi utembee vizuri mama asijuwe kama unachechemea” alisema Laylah, kwa sauti ya chini, “sijui nitafanyeje, halafu kama akiniuliza nimwambiaje?” aliuliza Soraya akisita kufugua mlango wa gari, na wakati huo mama yake akatokea kwenye mlango wa nyumba kubwa, “mwambie umejikwaa” alijibu Laylah, kwa sauti ya kunong’ona na kabla Soraya hajasema chochote akamsikia mama yake amasemesha, “we Soraya, mbona umeng’ang’ania kwenye gari, umesahau kuwa mnakazi kule ofisini?” aliuliza mama Soraya kwa sauti iliyoambatana na mshangao, “mama ninaumwa mguu nimejikwaa” alisema Soraya, huku anafungua mlango na kuanza kushuka taratibu, toka kwenye Land Rover Discovery, “hee! we mtoto, umejikwaaje kwaaje tena?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya mshtuko, huku anasogea haraka kwenye gari na kuanza kumkagua mwanae miguu, “nimejikwaa wakati natembea” alisema Soraya huku anaanza kutembea kwa kubambagua, yaani kama anachechemea, hakutaka mama yake amkague zaidi, “we! mtoto, mbona sioni ulipojikwaa, au unanitania?” aliuliza mama Soraya huku akijishika kiuno kwa mikono miwili na kumkodolea macho mwanae aliekuwa anachechemea kuelekea ndani, “nimeumia kwa ndani” alijibu Soraya ambae ni kweli kabisa kila alipojaribu kubana miguu ili atembee vizuri alihisi maumivu kwenye kitumbua chake, “kwa ndani! eti Laylah, anamanisha nini anaposema kwa ndani?” aliuliza mama Soraya, huku anamtazama Laylah aliekuwa anakusanya vitu vya Soraya ikiwepo na mkoba wake toka kwenye gari kwaajili ya kumpelekea ndani, “amejigonga goti kwenye mlango wakati anatoka nje” hivyo hajatoka damu lakini anasikia maumivu” alisema Laylah akimalizia kuchukuwa vitu vya Soraya, ambae sasa alikuwa anakaribia mlango wa nyumba kubwa, “hooooo jamani, Soraya anakuwa kama mtoto mdogo, kila kitu mpaka umsimamie, kweli unashindwa kuona mlango mpaka ujigonge” alisema mama Soraya huku akimfuata mwanae aliekuwa anapotelea ndani, Laylah akifuatia nyuma yao.
Lakini mama Soraya alipofika ndani tayari Soraya alisha potelea kwenye korido nae akaongoza upande wa vyumbani, lakini alipofika kwenye mlango wa chumba cha Soraya na kugusa kitasa, akashangaa kuona umefungwa kwa ndani, “ameanza lini tabia ya kufunga mlango, “ukweli binti yake huyu, licha ya kuvunja ungo miaka kadhaa iliyopita lakini hakuwa na tabia ya kufunga mlango awapo chumbani kwake, na angeweza kubadiri nguo hata mbele ya mama yake, “we Soraya una nini lakini mbona umejifungia chumbani?” aliulzia mama Soraya kwa mshangao, “mama ninataka nioge haraka nijiandae niwahi ofisini” alijibu Soraya akionyesha kuwa alikuwa anamaanisha anacho kisema, “kwahiyo ukiwa unaoga mimi siingii chumbani kwako?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao, “haaa! kwahiyo unataka unichungulie, haaa! mi sitaki ngoja nimalize kuoga nivae ndio uingie” alisema Soraya bila dalili ya utani, na hapo mama Soraya akageuka kumtazama Laylah aliekuwa ameshamfikia, “makubwa mschana amekuwa na kujitambua” alisema mama Soraya kisha akageuka na kuelekea sebuleni, akimuacha Laylah ameganda mlangoni anamsubiri.
Huo ndio ulikuwa mwenendo mpya wa Soraya, japo alifanya hivyoo kwa lengo la kumzuia mama yak asiingie kwa hofu ya kuwa angegunduwa kitu mara baada ya kuona kitumbua chake, lakini akajikuta anaona kuwa ile ndiyo njia sahihi na inayofaa, hivyo basi Layla alisimama pale mpaka Soraya alipomaliza kuoga na kubadili nguo akitumia zaidi ya nusu saa, maana ilikuwa ni kujikagua kila hatua anayoifanya, ungesema hajaridhika na uzuri wake, muda wote akikumbuka kile alichokifanya na mwanaume anaempenda na kuanza kuwaza namna ya kuletewa barua pale nyumbani kwao, mshenga akiwa yule mzee wa luhila alie muona kuwa mwenye busara nyingi.*******
Sinamengi mida hii alikuwa mbele ya jengo la NPF, kwenye msururu wa watu waliokuwa wanaelekea kwenye dirisha moja la hospital binafsi, ambayo ni maarufu sana kwa matibabu na marekebisho ya meno, huku mkononi mwake akiwa na Tsh elfu tano yake aliyoitunza kama mboni ya jicho lake, “naomba nifanikiwe kupata meno mengine, maana haya yanaumiza fidhi, sijui ameungaje safari hii” aliwaza Sina alielazimika kuyapachika meno yale yale ili aweze kuongea maneno yanayo sikika na kueleweka, japo kiukweli alikuwa anapata tabu sana, kwani ile sehemu ya fidhi ya plastic iliyoungwa ilikuwa ina mkwangua kwenye fidhi yake ya kawaida na kumsababishia kero na maumivu.
Naam akiwa mtu wa themanini katika mpango wa kumuona doctor kwa mujibu wa kijinamba alichopewa mkononi, Sina mengi alikaa kwenye sehemu ya kusubiria kama wenzake walivyofanya.******
Baada ya kutoka chumbani kwake, huku anatembea kwa kuchechemea japo alipunguza kidogo, Soraya alimkuta Laylah anamngoja nje ya mlango wa chumba chake, “mh! dah! Laylah, muda wote upo hapa hapa?” aliuliza Soraya kwa mshangao, “ndio si umezuia kuingia chumbani kwako?” alijibu Laylah, huku anaingia chumbani kuweka mkoba na vitu vingine walivyotokanavyo kwa Higgno, “sasa je, kwani ulikuwa hujui naenda kuoga” aliuliza Soraya, akionekana kuwa hakuwa na utani juu ya swala lile, “umeanza lini kunizuwia kuingia chumbani kwako wakati unaoga?” aliuliza Laylah kwa sauti ya utani, “kwahiyo ulitaka unichungulie” aliuliza Soraya kwa sauti kavu kidogo usio na chembe ya utani huku akianza kujivuta kueleka sebuleni ambako alimkuta mama yake ametulia na simu yake Soraya ipo mezani, “kumbe mama ulinidanganya eeh?” alisema Soraya huku anaitazama simu yake juu ya meza, “hebu kaa unywe chai kuna jambo nataka tuongee” alisema mama Soraya safari hii akionekana kuwa makini sana, na kwamba kuna jambo muhimu anataka kuongea na Soraya, “lakini si ulisema tutaongea nikirudi toka ofisini?” aliuliza Soraya kwa sauti ya wasi wasi, huku anakaa kwenye moja ya viti kati ya sita vilivyozunguka meza, wakati huo huo Laylah, alikuwa anapitiliza toka chumbani kuelekea nje, “Laylah njoo na wewe nataka uwepo wakati naongea na Soraya” alisema mama Soraya, na baada ya wote wawili kukaa kwenye viti vyao, na kuanza kujihudumia chai, ndipo mama Soraya akaanza kuongea, “Laylah, nimetaka uwepo hapa kwasababu wewe kwa sasa sio tu kuwa ni dereva wa Soraya, ila pia ni rafiki yake mkubwa na msiri wake” alianzakuongea mama Soraya, na kuwafanya Soraya na Laylah watazamane kwa macho ya mshtuko na aibu, wakihisi kuwa mama Soraya ameshafahamu mchezo wa Soraya wakudanganya anaenda kulala kwa Laylah kumbe anaenda kwa mpenzi wake kijana mpole, “sasa nimeona nigongee na wewe na yeye akiwepo hapa hapa” alisema tena mama Soraya, bado kilikuwa ni kitendawili kwa Soraya na Laylah, ambao walikuwa hawajuwi mama anataka kuongea nini, “kuna jambo limetokea jana, ndio maana nikaichukuwa simu yako” alisema mama Soraya, na hapo Laylah akaelewa ni kitu gani mama Soraya alikuwa anataka kuongea, lakini akajikausha kimya kama vile hajasikia lolote, na bahati nzuri mama Soraya alimueleza Soraya kuhusu ujumbe mchafu unaosambaa mitandaoni, lakini hakusema kama alisha mueleza Laylah, akiepusha kumfanya Soraya amuone Laylah kama anaweza kumzunguka, “kama ungekuwa na mwanaume, hakika leo mwanangu baba yako angeenda kukutana na wazee wa baraza kifua mbele” alisema mama Soraya, akionyesha masikitiko yake kwa kile ambacho ni kama tuhuma juu ya familia yao, “lakini mama si nilisha sema nina mchumba, si awaambie tu kuwa ninae” alisema Soraya kwa sauti ya chini huku anatazama chini, “lakini atawaambiaje kuwa una mchumba na wakati hata wewe mwenyewe humjuwi, na alichosema baba yako ndicho kinacho nihuzunisha zaidi, maana amesema kama yatatolewa mashariti ya wewe kuolewa na Idd, basi hakuna namna itabidi uolewe” alisema mama Soraya na hapo Soraya akatazamana na Laylah kwa macho ya niseme nisiseme, na kabla Laylah haja mkonyeza kwa lolote Soraya akamtazama mama yake…… ITAENDELEA
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA TANO
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA NNE:alisema mama Soraya, akionyesha masikitiko yake kwa kile ambacho ni kama tuhuma juu ya familia yao, “lakini mama si nilisha sema nina mchumba, si awaambie tu kuwa ninae” alisema Soraya kwa sauti ya chini huku anatazama chini, “lakini atawaambiaje kuwa una mchumba na wakati hata wewe mwenyewe humjuwi, na alichosema baba yako ndicho kinacho nihuzunisha zaidi, maana amesema kama yatatolewa mashariti ya wewe kuolewa na Idd, basi hakuna namna itabidi uolewe” alisema mama Soraya na hapo Soraya akatazamana na Laylah kwa macho ya niseme nisiseme, na kabla Laylah haja mkonyeza kwa lolote Soraya akamtazama mama yake ENDELEA……
Naam kabla haja jibu mara wote wakatazama upande wa mlango mkubwa wa kuingilia pale sebuleni wakamuona Talib anaigia pale sebuleni “shikamoo shangazi” alisalimia Talib, ambae alikuja moja kwa moja mpaka pale kwenye meza kubwa ya chakula na hapo maongezi tayari yalisha koma “marahaba,vipi ndio unaamka?” aliuliza shangazi, yaani mama Soraya, “nimeamka kitambo nilikuwa na fanya usafi tu!” alijibu Talib huku anajiandalia vitafunwa na kujimiminia chai, “halafu Talib mbona sikuelewi kuhusu biashara yako hivi inaendeleaje?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya mashaka, “nini biashara?”,mmmh! inaendelea vizuri tu!” Talib akashikwa na kigugumizi cha ghafla, “mh! we haya tu, maana sioni dalili ya uwepo wa biashara yoyote, sikuoni ukifuatilia mzigo nyasa wala kuagizia mzigo wowote” alisema mama Soraya wakati huo Talib mwenyewe hakujisumbua kujibu chochote, aliendelea kukandamiza chai taratibu hapo Soraya akaona kuwa hakukuwa na maongezi tena, “mama wacha mimi niwahi ofisini” alisema Soraya huku anaichukuwa simu yake mezani na kuinuka, “hivi Soraya huoni kama hutaleta picha nzuri kama utaenda ofisini ukiwa unachechemea hivyo, kwanini usiende kwanza Hospital nitampigia kumueleza” hapo Soraya alitulia kidogo, kama anawaza jambo, kisha akamtazama Laylah, wakakubaliana kwa kutikisa vichwa, “sawa mama, basi wacha niende Hospital nikatibiwe , maana baadae nitashindwa kwenda kwakina Laylah” alisema Soraya huku anaanza kutembea kueleka nje, huku akifuatiwa na Laylah, na mama yake anamtazama kwa macho ya mshangao, “mh! kwa akina Laylah tena leo!?” alisema mama Soraya kwa sauti ya chini na ya mshangao, huku anamtazama Soraya aliekuwa anaelekea nje na kuingia ndani ya gari, twende kwanza shoping halafu tukimaliza twende Luhila kwa yule mzee.
Huku ndani Talib ambae alikuwa anafuatilia maongezi ya Soraya na mama yake, alipata wazo la kuvuruga jambo hilo, maana alishajuwa kuwa Soraya anatembea na Higgno na pia anataka kumsaidia kijana wa baba huyo, lakini alipotaka kuongea jambo “na wewe endelea tu! ukae ukijuwa hapa ni kwa mjomba wako, sijui utakaa mpaka lini, maana unapewa mtaji unakula wote, unafikia hatua ya kuomba hela” alisema mama Soraya kisha akainuka na kuelekea chumbani kwake, akimuacha Talib ana tazama mlango wa ofisi ya mjomba wake, ambamo mulikuwa na lile kabati la ukutani lenye kuhifadhiwa fedha, “utajuwa tu hapa nitatoka lini” aliwaza Talib huku anaendelea kunywa chai akipanga kuwa akitoka hapo aendezake mwembe chai kwa Zido akaone maendeleo yao na kuchukuwa bangi.*******
Naam mama Hilda yaani mke wa mzee Komba aliingia nyumbani kwake, na moja kwa moja akaingia chumbani kwa Hilda ambae alimkuta bado yupo kitandani, “ndugu yangu habari za hospital sio nzuri hata kidogo” alisema mama Hilda, huku anakaa pembeni ya kitanda cha mwanae ambae bado alikuwa amelala chali na miguu ameitanua, “vipi kwani amekufa?” aliuliza Hilda kwa sauti ya mshtuko lakini sio wa kuogopa au kuhuzunika, ila ulikuwa ni wakushangilia, “afadhari angekuwa amekufa tunge juwa moja, ila kiukweli kabisa atakuwa mzigo ketu” alisema mama Hilda ambae alionekana wazi kuwa na uchovu wa kulala kwe benchi huku akiwa amelewa, “kwanini unasema hivyo mama, na vipi marafiki zake wanasemaje?” aliuliza Hilda akijaribu kujiinua na kukaa kitako, “walimkimbia usiku ule ule, yule mnafiki ndie alietusaidia hela ya mafuta na matatibabu” alisema mama Hilda huku anajilaza kwenye kitanda, huku miguu ikikanyaga chini, “mnafiki gani huyo au Higgno?” aliuliza Hilda kwa shauku, “ni baba yake, baada ya kukosa msaada wowote nurse akampigia huyo bazazi, ndio akajileta pale na vijihela vyake, akajifanya kutusindikiza mpaka Hospital, na bahati yake hakuniuliza tatizo la mgonjwa” alisema mama Hilda kwa sauti ya dharau, “kwahiyo mama Hosptal unaenda saa ngapi ili tuandae chakula kabisa” aliuliza Hilda akijitahidi kujishusha kitandani, “acha upuuzi bwana unadhani kuna kula pale, mtu ameachama mdomo kama zezeta, navyo kuambia kuwa ni mzigo ni mzigo kweli” alisema mama Hilda yani mke wa mzee Komba, ambae alionyesha kutokuwa na dalili yoyote ya kurudi Hospital, hapo Hilda nae akajirudisha kitandani na yeye alimuunga mkono mama yake.*****
Saa tano na nusu, ndio mida ambayo Kijana Higgno, alikuwa ndani ya dala dala akielekea mjini huku amevalia nguo nzuri ambazo aliletewa na Soraya jana, njia nzima kijana huyu ambae alikuwa anaenda mjini kwa mambo mawili tu, moja ikiwa ni kukutana na baba yake ambae alimuambia kuwa mipango ikikaa sawa watahitaji kununua vifaa vya dukani, pili alihitaji kufanya manunuzi kama alivyo shauriwa na Soraya kwa fedha alizompatia, muda wote alikuwa anavuta picha ya matukio ya jana usiku kule shambani na Soraya, na kuna baadhi ya matukio yalimfanya ajikute akisimamisha mnazi wake, “dah! siamini yaani demu mzuri kama yule alikuwa hajawahi kufanya chochote, hakika sitomuacha kwa namna yoyote ile” aliwaza Higgno huku safari ikindelea, wacha nikanunue pamba kali sana, maana nikiwa navaa kama hivi naweza hata kuongozana nae” aliendelea kuwaza Higgno, hata gari lilipofika mjini na kusimama kituo cha soko kuu.
Hapo Higgno akashuka akiwa mwenye furaha tele na kuanza kuzunguka madukani akinunua nguo na viatu vizuri vya kiume na vya kike kwaajili ya mpenzi wake Soraya, na hata ilipotimia saa sita na nusu ndipo alipopata wazo la kumpigia baba yake, lakini alipojaribu akagundua kuwa vocha imeisha kwenye simu yake, hapo akaanza kutafuta duka la vocha.
Naam wakati Higgno analikaribia duka hilo akaliona gari fulani ambalo halikuwa ngeni machoni mwake, na wakati akilikodolea macho gari lile kumtazama aliekuwa anashuka kama ndie anaemfahamu au sie, akamshtuka kuona anafanya kitu fulani cha bahati mbaya, ambacho hata yeye alishukuru kuwepo pale, maana kama angeona mtu mwingine basi ingekuwa tatizo kwa mtu yule ambae alikua anatamani sana kukutana nae.*****
Naam mida hii ya saa sita ndiyo mida ambayo Talib alitoka kwenye nyumba yake na kufunga mlango kisha akaanza kutembea kuelekea getini, “wewe mida ya swala inakaribia na wewe unaondoka bila hata kuaga” Talib alishtuliwa na shangazi yake, ambae alikuwa anatembea kumsogelea, “yaani shangazi unamuachia Soraya wakike afanye anavyotaka halafu mimi ndiyo una niwekea ngumu” aliongea Talib kibwege, “hebu muone kwanza, Soraya tunamuachia nini?” hapo Talib aliona kuwa hiyo ndiyo sehemu pekee ya kuvuruga kuhusu mahusiano anayo yahisi ya Soraya na Higgno na jambo lile la kumsaidia baba yake Higgno, “we! shangazi muache tu Soraya ajitawale, unadhani Soraya analala kwa Laylah, huyu analala kwa mjinga mmoja anaitwa Higgno, na hata huyo mzee anae sema sijui anafahamiana nae sijui ameunguliwa duka hakuna lolote ni baba yake Higgno” alisema Talib kwa sauti iliyojaa chuki na tahadhari kwa shangazi yake, “kwahiyo unafahamu huyo mchumba wa Soraya, je ni yule yule alie msaidiaga?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao, “na mfahamu vizuri sana, ni pimbi mmoja tu, hana lolote, tena wala usiruhusu amuoe Soraya” alisema Talib kwa dharau na chuki, “kwahiyo huyo ni mwingine sio yule aliemsaidia?” aliuliza mama Soraya, akionekana kushangazwa na lile jambo la kuwa Talib analikuwa anamfahamu mwanaume wa Soraya, “amsaidie wapi bwana, ni mchezo tu huo, we! unadhani Soraya alitekwa kweli?” alisema Talib na kumfanya shangazi yake aache mdomo wazi kwa mshangao huku Talib akicheka kimoyo moyo “unasema Soraya kapanga huo mchezo kuturubuni sisi?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao, maana alikuwa anamfahamu vyema binti yake kuwa hawezi kufanya mchezo, huo na pia kwa miaka yote hiyo tayari wangesha ng’amua kama ni mchezo wakupangwa.
Hapo kidogo Talib akashtuka, na kuona kuwa, hawezi kumsingizia Soraya jambo hilo, kwasababu mama yake anamfahamu vizuri, “kuhusu Soraya kuhusika sidhani, ila hao jamaa walio mteka ni rafiki zake kabisa” kauli hii ya Talib, ilimshtua zaidi mama Soraya, “weeee! ina maana miaka yote hii alikuwa anatuchezea mchezo wa kitoto kama huo?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya mshangao, akionyesha kuamini moja kwa moja kile alichoelezwa na mtoto wa kaka yake, “sasa je yule boya mimi ninamfahamu kitambo toka Luhuwiko sekondari, hawezi hata kurusha kofi, halafu apigane na watu sita kimchezo mchezo tu!” alisema Talib na hapo mama Soraya kwanza alivuta hisia za mwendo wa Soraya ambao alikuja nao asubuhi na kuondoka nao, akidai alijikwaa mara alijigonga kwenye mlango, pia akakumbuka tabia mpya ya Soraya ya kumkatalia mama yake kuingia ndani ya chumba chake wakati ana ishiwa pose, maana alijuwa tayari mwanae Soraya amesha tapeliwa, kitumbua chake ambacho kinakila dalili ya kuwa kimeshaondolewa utandu, “lakini Talib, unajuwa habari zako zina nichanganya sana wewe umejuwa lini haya mambo?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao na simanzi, maana hata yeye alikuwa anafikiri kuwa kijana huyo ni mwanaume sahihi wa Soraya.
Kwanza Talib alicheka kwa dharau, “shangazi bwana, yaani mimi machale yalinicheza siku ile ya tukio, nikaamua nifanye upelelezi wangu wa chini chini hahahahaha!” alisema Talib akimalizia kwa kicheko, “yaani nimechanganyikiwa vibaya sana, huyu kijana aliwezaje kupanga mambo yote hayo, toka mwaka tisini na nane pale alipomuokoa Soraya asibakwe na wale wanafunzi wakorofi wa Songea boyz?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya chini kama vile ananong’ona, “nini kwani Higgno ndie aliemsaidia wakati ule…… yaani namaanisha Higgno aliwezaje wakati alikuwa boya tu?”aliongea Talib kwa mshangao, na kama shangazi angekuwa makini angegundua jambo toka kwa Talib, “ndiyo ni yeye, ndio maana nashangaa maneno yako, maana hata siku ile Idd alipomlewesha Soraya aliokolewa na huyo huyo, sasa unataka kusema yule kijana alishirikiana na Idd wakati Idd mwenyewe anamtaka Soraya kwa udi na uvumba?” aliuliza mama Soraya, likiwa swali jingine gumu kwa Talib ambalo lilimuacha mdomo wazi, “sasa unauliza nini hapo, wakati Idd mwenyewe ni mwizi tu!” alisema Talib, ambae aliona akiendelea kukaa pale anaweza kukaribisha maswali mengine magumu zaidi, na mpango wake kuvurugika, hivyo alianza kuondoka kueleka getini akimuacha shangazi yake anamsindikiza kwa macho ya mshangao, “huyu anasema nini, mbona kama haeleweki eleweki, na kwanini aseme hivi, maana naona wazi kuwa ni kama uongo, kwasababu miaka yote hii alikuwa wapi kutimiza lengo lake, na wakati tayari Soraya alikuwa anamzungumzia?” alijiuliza mama Soraya huku anaelekea ndani, “lakini kwa upande mwingine kuna ukweli ndani yake, sijui nitaanzaje kumueleza baba Soraya” alijisema mama Soraya, na alipofika sebuleni akachukuwa simu yake na kuelekea chumbani kwake huku anabofya simu yake na kumpigia baba mzee mahamud, ambayo haikuita muda mrefu ikapokelewa, “hallow baba Soraya kuna jambo nahitaji tuongee” alisema mama Soraya kwa sauti iliyoonyesha msisitizo, jambo gani hilo….” kabla mzee Mahamud hajamalizia kuuliza ghafla simu ikakatika, na alipojaribu kupiga tena simu yake haikufanikiwa kwasababu tayari alishaishiwa vocha, kumbuka kipindi hicho hakukuwa na utaratibu wa vufurushi, hivyo hakuwa na uwezo wa kutuma hata ujumbe.******
Sina mengi alikuwa ndani ya chumba cha doctor, akieleza shida yake ya meno, “unatakiwa kutoa shilingi elfu kumi na tano ili upewe meno mengine” hilo ndilo jibu ambalo Sina mwenye shilingi elfu nne baada ya kutumia shilingi elfu moja kwa nauli na chai alilopewa na doctor, jibu ambalo lilimfanya mwanamama kikongwe kuanza kuomboleza, “doctor naomba unisaidie, nipo tayari kwa lolote lile lakini fedha sina” alisema Sina, akimaanisha kuwa yupo tayari kwa rushwa ya ngono.
Lakini doctor alianza kwa kuangua kicheko, maana alilinganisha muonekano wa mwanamke huyu kikongwe mwenye sura mbaya na umbo la kuchukiza, “sikia mama, hauna chochote cha kunipa ili nikusaidie, cha msingi tafuta hata elfu saba unaweza kusaidiwa kwa mkopo, na ukizingatia umri wako ni kubwa” alisema Doctor, basi wacha nika tafute elfu tatu niongezee nitarudi tena” alisema Sina na kutoka kwenye chumba cha doctor kisha akatokomea mtaani, akielekea kati kati ya mji.*******
Mzee Mahamud ambae toka asubuhi alipofika ofisini alionyesha wazi kuwa na mawazo yanayoumiza kichwa, mida hii alikuwa njiani akieleka mjini kwa lengo la kuelekea msikitini kwa swala ya saa saba yani ile Adhuhuri, pia kuongea na wazee wa baraza.
Sasa alikuwa amesimamisha gari karibu na Soko kuu, akiwa ndani ya gari ameshikilia simu yake mkononi, “sijui anataka kusema nini mama Soraya” alijiuliza mahamud huku anabofya namba ya mke wake kwaajili ya kumpigia, akiamini mke wake aliishiwa vocha kwenye simu, na alikuwa na jambo muhimu la kuongea nae.
Mahamud alipiga namba na kuweka simu sikioni, “hauna salio la kutosha kupiga simu hii” ilisikika sauti ya kike, “hoooo! kwanini leo nimesahau kuweka vocha” alijishangaa mzee Mahamud ambae aliweka simu kwenye kiti cha pembeni cha gari lake na kuondoa gari hili aina ya Nissan patrol kuingia barabara ya chini ya Soko kuu, barabara ambayo huelekea mpaka msikiti wa mkoa, ambao upo umbali wa mita mia tu! toka sokoni hapo.
Mahamud aliendesha gari kwenye barabara ile, huku macho yake yakiwa kwenye maduka ya pembezoni mwasoko, akitazama kama anaweza kuona duka la vocha, ili aweke na kumpigia mke wake, na hata alipofanikiwa akasimamisha gari pembeni ya barabara na kuchukuwa pochi yake yenye kadi za benk kitambulisho na fedha, kisha akashuka huku anaiweka mfukoni ile pochi yake ambayo hata ufungaji wake ulikuwa ni mgumu kutokana na ujaaji wa fedha, na akiwa na uhakika kuwa ameweka ndani ya mfuko wa nyuma wa suruali yake, mzee Mahamud akaelekea kwenye moja duka alilo lilenga kuwa linauza vocha za simu, kipindi hicho zikitwa dolla, “karibu mzee” alikaribisha kwa sauti iliyojaa heshima na nidhamu ya hali ya juu mschama mdogo muuza duka, akionyesha anamfahamu mzee Mahamud tajiri mkubwa mwarabu hapa mjini Songea, asante sana, naomba dolla ya elfu kumi, “alisema Mahamud kwa sauti ya unyenyekevu iliyojaa urafiki, huku akitabasamu, japo hakuwa anamfahamu yule mschana mdogo, ikiwa ni kuonyesha kuwa ameunga mkono nidhamu ya mschana yule ambae alichangamka mara moja kuchukuwa vocha mbili za elfu tano tano na kumpatia mzee Mahamud, akiwa amesha zikwangua lakini hakupokelewa, baada yake alimuona mzee huyu anajipapasa mifuko yote, “mungu wangu nimedosha wallet yangu” alisema Mahamud, ambae kwake fedha zilizokuwepo ndani ya wallet ile sio lolote, ispokuwa kadi za benk na vitambulisho, hakika alijihisi kijacho chembamba kinamtoka huku yule binti anamtazama kwa mshangao na huruma, “nina mkosi gani jamani” alijikuta akijiuliza kwa sauti Mahamud, huku anageuka kutazama kule alikotoka hasa kwenye gari lake, ambalo lilikuwa mita kama ishirini toka pale alipokuwepo, hakuona chochote chini, yaani sehemu alizopita zaidi ya watu waliokuwa wanaendelea na pirika zao, akamgeukia yule mschana, “samahani kwa usumbufu mwanangu, nimepoteza wallet yenye fedha” alisema mzee Huyu kwa sauti ya masikitiko, “lakini mzee najuwa huwezi kunikimbia, unaweza kuchukuwa vocha kisha ukaleta siku nyingine….” alisema yule mschana ambae hata kabla hajamaliza kuongea akakatizwa na sauti tulivu ya upole, “shikamoo mzee Mahamud, umedondosha pochi yako wakati unashuka toka kwenye gari” kauli ile ilipita kichwani kwa Mahamud kama mwangwi wa mawazo, hakuamini kama ni kweli kuna mtu anaongea, lakini alipomuona yule mschana muuza duka anatazama upande wa mlango wa duka, akajuwa kuwa ni kweli kuna mtu aliongea, na sio mawazo yake, hivyo na yeye akatazama.
Naam mahamud alijikuta anatoa macho ya mshangao mara mbili, ni mshangao ulio ambatana na tabasamu jipya la matumaini, ni baada ya kumuona kijana mmoja mrefu kiasi mwenye mwili wa mazoezi, ambae leo alikuwa amevalia nadhifu, ni kijana yule yule aliemsaidia mwaka mmoja uliopita siku aliyovamiwa na wezi kwa lengo la kumpora fedha, ni kijana aliemsaidia kubadiri tairi la gari lililotobolewa na mtego wa wezi wale akiwa amesimama mbele yake amashika wallet yake akimnyoonyeshea kwa maana ya kumpa, “amakweli ukiona kiza kinashamiri basi mawio yaja” alisema Mahamud huku tabasamu likiendelea kushamili usoni mwake…… ITAENDELEA MUWE NA USIKU TUKUTANE KWA MKAPA AU HATUCHEZII?
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA SITA
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA TANO: Naam mahamud alijikuta anatoa macho ya mshangao mara mbili, ni mshangao ulio ambatana na tabasamu jipya la matumaini, ni baada ya kumuona kijana mmoja mrefu kiasi mwenye mwili wa mazoezi, ambae leo alikuwa amevalia nadhifu, ni kijana yule yule aliemsaidia mwaka mmoja uliopita siku aliyovamiwa na wezi kwa lengo la kumpora fedha, ni kijana aliemsaidia kubadiri tairi la gari lililotobolewa na mtego wa wezi wale akiwa amesimama mbele yake amashika wallet yake akimnyoonyeshea kwa maana ya kumpa, “amakweli ukiona kiza kinashamiri basi mawio yaja” alisema Mahamud huku tabasamu likiendelea kushamili usoni mwake……ENDELEA……..
Huku akiendelea kumtazama kijana huyu, ambae mara ya mwisho alimuona kwa sekunde kadhaa kule ofisini kwake na kuambiwa kuwa ameondoka ni kijana pekee ambae yeye Mahamud alimuona kuwa anafaa kumuoa binti yake Soraya, kijana ambae sio tu kufurahi kuonana nae, lakini pia alikutana nae katika siku muhimu sana kwake, “assalama Alaykum kijana, habari za siku nyingi” alisalimia mzee Mahamud kwa sauti ya uchangamfu na mshangao ndani yake, huku anapokea ile wallet toka kwa kijana mpole, “waalaykum salaam mzee kumbe bado unanikumbuka, nilidhania umesha nisahau” alisema Higgno kwa sauti yake tulivu lakini ni ile iliyochangamka, “nitakusahau vipi kijana wakati kila siku mimi na familia yangu hatuachi kukutaja, sijui kwanini uliondoka pale ofisini wakati nafasi yako ya kazi ipo wazi kabisa?” aliuliza Mahamud kwa, huku analipia vocha kwa yule dada ambae mpaka sasa alikuwa amekodoa macho kwa mshangao, “nili…” Higgno alisita kuongea kwasababu kama angeongea ukweli lazima angemtaja Laylah, ambae hakujuwa ni kwanini alionekana kwenye ofisi za mzee huyu siku ile, “nilipoona siitwi jina nikaondoka, nikasema nitakutafuta siku nyingine” alisema Higgno akificha siri ile, “sio tatizo, cha msingi ni kwamba leo tume kutana” alisema mzee Mahamud huku ana malizana na muuza duka, “kwa kweli imekuwa bahati kwangu” alisema Higgno, alieshika mfuko wenye vitu alivyonunua mchana ule, akionyesha wazi furaha yake ya kukutana na mzee Mahamud, ambae hakujuwa kuwa ni mkwe wake, “ok! kijana vipi unashughuri gani sasa, yaani muda huu?” aliuliza mze Mahamud, na hapo sio tu yule binti pekee aliewaza kuwa hawezi kusema kuwa alikuwa busy na shughuli fulani mbele ya mzee kama huyu, ambae ni mmoja kati ya matajiri wakubwa hapa Tanzania, hata Higgno ambae alikuwa anahitaji kazi ili aweze kumudu maisha na pengine kuweza kumnunulia mahitaji mpenzi wake Soraya, ambae mpaka sasa hakuwa anajuwa ni mtoto wa nani pale mkoani, “nimesha maliza kununua mahitaji yangu” alisema Higgno akisahau kuhusu baba yake, ambae hakuwa amewasiliana nae toka alipowasiliana nae asubuhi, “ok! basi kijana naomba uambatane na mimi kwa muda huu, maana tuna mambo mawili matatu ya kuzungumza” alisema Mahamud, huku akiongozana na Higgno kutoka nje ya duka lile, “bila shaka mzee wangu” alisema Higgno, ambae alikuwa amebaba mfuko wake huku wanaelekea kwenye gari, huku mzee Mahamud akiwaza na kumtafakari kijana huyu kuwani kijana wa pekee katika nyakati hizi za utakula kwa ujanja wako, kuwa ndie kijana anaweza kumchumbia binti yake Soraya, “vipi kijana unafamilia?” aliuliza mzee Mahamud, mara tu! baada ya kuingia ndani ya gari, akiwa na maana ya kwamba kijana huyu ana mke na watoto, “ndiyo ninayo” alijibu Higgno kwa uchangamfu, akidhania kuwa mzee huyu anauliza kama anafamilia ili kuona kama ana maisha ya aina gani, maana familia ni moja ya picha ambazo umueleze mtu, lakini haina maana kuwa asie na familia ni muhuni.
Lakini jibu ilo lilimshtua kidogo mzee Mahamud, ambae Mahamud alikuwa anaendesha gari huku Higgno akiingiza vocha kwenye simu, mahamud ambae aliamini kuwa kijana huyu ndie kijana wa pekee ambae anaweza kuwa mkwe wake kwa binti yake wa pekee, “hooo! hongera sana kijana, una watoto wa ngapi?” aliuliza mzee Mahamud, huku anampatia Higgno simu na vocha ili awez kuingiza kwenye simu ile na kuondoa gari kuelekea upande wa msikiti wa mkoa, swali lile lilimfanya Higgno acheke kidogo, “hapana mzee sijabahatika kuoa” alijibu Higgno na kumshangaza kidogo, Mahamud, “sasa wewe unaizungumzia familia ipi?” aliuliza Mahamud huku anatabasamu, “nilidhani unaniuliza kuhusu baba na mama” alisema Higgno na wote wakacheka kidogo, “”kwanini hujaoa mpaka umri huo kijana?” aliuliza Mahamud huku anaendesha gari taratibu, “bado sijapata kazi, sasa nikioa nitashindwa kumlea mke na pengine watoto wakizaliwa” alijibu Higgno kwa sauti tulivu na ya upole, kwahiyo ukipata kazi unaweza kuoa?” aliuliza Mahamud kwa sauti ambayo ilijaa urafiki, “ndiyo mzee nikipata kazi nitajitaidi nifanye kazi kwa juhudi huku anajiandaa kimaisha halafu naoa” alijibu Higgno kwa sauti tulivu iliyojaa hekima huku anamaliza kuingiza vocha kwenye simu, “unadhani ni vitu gani unahitaji kuandaa ili uweze kuoa” aliuliza Mahamud, akiwa anagesha gari pembeni ya msikiti, ambao kwa sasa ulionekana kuwa na watu kadhaa waliokuja kwa swala ya adhuhuri, wengi wao wakiwa ni wazee wa baraza la wazee, “ni sehemu nzuri ya kuishi, na uwezo wa kupata mahitaji muhimu ya familia” alijibu Higgno akicheka cheka na kumpatia mzee Mahamud simu yake, tayari alishaiweka vocha.
Baada kusikia jibu hilo bwana Mahamud akatulia kidogo kama vile anatafakari jambo juu ya kijana huyu, kisha akamtazama Higgno kwa macho makini sana, macho ambayo hata Higgno aliweza kuona umakini wake, “ok! sikia kijana, kuna jambo ambalo nililipanga siku ile uliponisaidia kule Msamala, sio kwamba nimelifikiria leo hii, na hili swala ni la mimi na wewe tu, sihitaji mtu mwingine ajuwe” alisema Mahamud huku anatazama kule walipo wenzake, ambao walikuwa wanachukuwa udhu (kujitakasa, kabla ya kuingia msikitini kwa swala) Higgno akimsikiliza kwa umakini sana, huku kifua kikijaa pumzi kwa hofu na shauku, “kijana nipo tayari kukupatia kila unacho hitaji, na nitakupatia zaidi ya unachohitaji, ukiachilia kazi ambayo uliniomba mwenyewe, pia nitakupatia nyumba, gari, fedha na biashara kubwa, kwaajili ya maisha yako, na mke wako, ambae ndie shariti langu kubwa” hapo Higgno akashtuka kidogo, ni kweli alikuwa anahitaji fedha nyumba gari na hata hiyo biashara, lakini kilichomtia shaka ni sharti ambalo bado hajaelezwa, japo aliambiwa lina muhusu binti wa tajiri huyo, sio yeye tu, vijana wengi wa hali yake ya kimaisha hawakuwa wanamfahamu binti huyo, na hawakuwahi kufahamu kama tajiri huyu ana binti.*******
Tayari mzee Frank alisha kutana na Soraya, na kuambatana nae kuelekea mjini kwaajili ya kufanya manunuzi ya duka lake jipya, huku Frank akiambatana na mke wake ambae alibeba chakula kwaajili ya mgonjwa wakimuacha Pale hospital akimueleza ward aliyo lazwa mzee Komba, na mzee Frank akiwa na Soraya na Laylah wakaelekea mjini ambako walimpatia fedha mzee Frank na kumkodia gari dogo la mizigo kwaajili ya kubebea vitu, “sasa binti yangu, umenifanyia mengi sana, na umeniomba niwe mshenga wachumba wako, mbona kijana mwenyewe simjui na wala sijawahi kumuona?” aliuliza mzee Frank, kabla ya kuondoka zake na kuanza manunuzi, Soraya alichekesha kidogo, “anakaa kule kule Luhila utakuwa unamfahamu, anaitwa Hig…. kabla hajamaliza kuongea Soraya alisita ghafla na kutazama pembeni ya barabara, akikodoa macho kwa mshangao kumtazama mwanamke mmoja mtu mzima aliekuwa anapita pembeni ya barabara, akionekana kuchoka na hali yake, tena mwingi wa mawazo, “Laylah unamuona yule mwanamke” aliuliza Soraya, na hapo sio Laylah peke yake alietazama, hata mzee Frank pia alitazama kule alikoonyesha Soraya, wakamuona yule mwanamke mtu mzima, akiwa anatembea taratibu akija usawa wa gari lao, “ndiyo nimemuona, ana nini kwani?” aliuliza Laylah, huku anageuka kumtazama Soraya ambae alimtazama mzee Frank, “samahani baba, nadhani tutawasiliana wewe unaweza kuendelea na shughuri zako za manunuzi, alisema Soraya akionyesha kuwa mwenye haraka sana, hapo mzee Frank hakuwa na lakufanya, kwasababu aliona kuwa ni mambo yasiyo muhusu, hivyo akaondoka zake na kumuacha Soraya anamtuma Laylah kwenda kumsimamisha yule mwanamke walio muona, “wa nini lakini, mbona mama wa watu kajichokea kwani unamfahamu?” aliuliza Laylah, huku akimtazama yule mwanamke ambae sasa alikuwa analivuka gari lao, “msimishe kwanza asiondoke” alisema Soraya kwa sauti ya ukali na hapo Laylah, akashuka toka kwenye gari, na kumfuata yule mwanamke, ambae tuna weza kumuona vizuri kuwa ni Sinamengi, “mama mama sahamani kidogo?” alisema Laylah, huku anamgusa begani Sinamengi, nae akageuka na kumtazama Laylah, “nani mimi?” aliuliza Sinamengi kwa mshangao, maana hakutegemea kusimamishwa na mschana mwenye hadhi ya huyu aliemsimisha, “ndiyo ni wew unaitwa na mdogo wangu yupo ndani ya gari lile pale” alisema Laylah huku akionyesha gari lao, yaani Land Rover Discovery.
Hapo moja kwa moja mwana mama Sina akapeleka mawazo yake kwenye kupata fedha za kujinunulia meno, ambayo yalikanywagwa na kijana Idd, “ok! twende zetu” alisema Sina, huku ana ongoza mwenyewe kueleka kwenye gari la Soraya.********
Mzee Mahamud akamtazama Higgno, anamuona yupo makini anamtazama akimsikiliza, “kijana nitakufanyia hayo yote endapo utakubali kumchumbia binti yangu, sijui unasemaje kijana?” aliuliza Mahamud akionyesha kuwa amesha maliza maongezi yake, hapo Higgno akatabasamu kidogo, yaani lile tabasamu la huzuni, tabasamu ambalo hata mzee Mahamud aliliona, kabla ya kuongea Higgno alishusha punzi ndefu, yaani ile ya uchovu na kuhemewa na mzigo mzito, “samahani sana mzee wangu, kikweli, nina mchumba tayari, japo tumekutana hivi karibu, lakini ni mchumba ambae kiukweli nime mpenda na yeye amenipenda, itakuwa vibaya sana nikiuumiza moyo wake kwakufanya jambo kama hilo, isitoshe mzee kwa kitendo hicho nitaonekana msaliti mbele ya binti yako, ambae atafikiria kuwa, endapo nitampata mschana mwingine ambae wazazi wake au yeye mwenye anafedha zaidi nitamuacha na kuishi nae, kwa kifupi nitakuwa sijatimiza mapenzi zaidi ya kutimiza tamaa zangu” alisema Higgno kwa sauti tulivu iliyojaa nidhamu.
Naam hapo Higgno aliweza kumuona Mahamud, akiwa ametazamisha kichwa chini kama anatafakari jambo, hapo Higgno akatulia kimya akisubiri kauli ya mzee Mahamud, huku akiwa amejwa na wasi wasi kuwa maneno yake yame mkera Mahamud na kusababisha yeye kupoteza kila kitu, yaani kazi na maelewano na mzee huyu.
Lakini Mzee Mahamud baada ya kutulia kwa sekunde kadhaa, akainua uso wake na kumtazam, ndipo Higgno alipotambua kuwa mzee Mhamud alikuwa anatabasamu, “kweli binti yangu amekosa kijana mwenye kila sifa ya kuwa mume, ok! nitakusaidia kupata kazi, utakuja kesho kutwa ofisini , labda kijana kama kuna kitu kingine ambacho utahitaji nikusaidie nje ya kukupatia kazi?” aliuliza Mahamud kwa sauti ya kirafiki kabisa, japo ilipooza kidogo, hapo kijana Higgno alitulia kidogo akiwaza na kutafakari juu ya nafasi aliyopewa na mzee Mahamud, “mzee mimi na maombi mawili toka kwako kama itakupendeza” alisema Higgno kwa sauti ile ile iliyojaa heshima, “usiwe na wasi wasi kijana, hata kama yangekuwa kumi we nieleze tu, naamini yatakuwa ndani ya uwezo wangu” alisema Mahamud akionekana wazi, alikuwa anamaanisha alichokisema, “mzee wangu, jambo la kwanza naomba usichukulie kama dharau kwa kile nilichosema juu ya kumchumbia binti yako, nadhani hata wewe unafahamu kuwa mimi ni kijana ambae sina lolote, na ni sawa na mtumishi wako, pengine hata kukaa na wewe kama hivi ni bahati kubwa kwangu….” alisema Higgno kabla Mahamud hajamkatiza, “kijana umeenda mbali sana, wala usiwe na shaka juu ya jilo ongea hilo swala jingine” alisema Mahamud, ambae alitegemea kwa kupambwa vile basi sasa unakuja mzinga (kuombwa fedha) kama ulivyo utaratibu watu wengine, hasa watu wake wa karibu hasa wanapokuwa shinda huwa wanaanza kwa kumpamba kwa maneno matamu, “la pili mzee wangu ninaomba msaada wako katika ushawishi wa wazazi wa mchumba wangu ili wasiniwekee kipingamizi chochote wakati wa kupeleka barua ya posa, nahofia wanaweza kunikatalia kutokana na hali yangu ya kipato” alisema Higgno kwa sauti iliyojaa unyonge, “kwanini umewaza hivyo kijana, kwani huyo binti ni mtoto wa nani?” aliuliza mzee Mahamud, akionyesha wazi kufadhaishwa na hali ya unyonge ya kijana huyu, ambae sio siri mpaka sasa hakuwa ameulizia jina lake, “mzee wangu kwa kweli hata wazazi wake siwajuwi, lakini nadhani nikiwajuwa na kukueleza lazima utawatambua, kwasababu ni…” kabla Higgno hajamaliza, tayari Mahamud alishadakia, “basi usiwe na wasi wasi, we kaongee na huyo mschana kisha utanijulisha, tena nikuhakikishie kuwa mimi nitakuwa mshenga wako na nitahakikisha hakuna kinacho haribika” alisema Mahamud, huku anatazama kule kwenye lango la kuingilia ndani ya msikiti ambapo walionekana watu wakiingia, “hooo! kijana hebu twende tuwahi swala, naona muda unaisha” alisema Mahamud, huku anafungua mlango wa gari nakuanza kushuka, “samahani mzee sijawahi kujifunza mafundisho ya dini ya kiislam mimi ni mkristu” alisema Higgno huku nae anafungua mlango na kushuka, hakuweza kuona mshangao wa wazi usoni kwa Mahamud, “hoo! samahani sana, kijana kumbe nimekuleta sehemu sio sahihi kwako” alisema Mzee Mahamud akipoteza ule mshangao wake kwa haraka sana, “hapana mzee wangu, sidhani kama kuna ubaya, maana kila dini inayohubiri amani, upendo, na kumcha mungu muumba, ni dini ya haki, hivyo hakuna ubaya, hata ingekuwa inawezekana ingekuwa ijumaa mtu anaingia msikitini na jumapili anaenda tena kanisani” alisema Higgno, na hapo Mahamud akamtazama Higgno, kwa namna fulani ya kumshangaa huku anatabasamu, “unakipaji kizuri sana kijana, kama ungekuwa mwalimu wa dini katika madrasa fulani basi ingekuwa faida kubwa sana kwa kizazi hiki, toka nimeanza kukuona mwaka jana umekuwa ni mtu wakushangaza kwa busara na wema wako” alisema Mahamud huku anatoa card ya biashara yani busness card, “mawasiliano ndiyo kitu pekee kilicho tutenganisha hapo mwanzo” alisema Mahamud kisha, wakaagana na kisha kila mmoja kutaka kuondoka lakini Mahamud akakumbuka jambo, “kijana, hebu subiri kidogo” alisema Mahamud, na kuanza kumfuata Higgno, ambae kwa kuona hivyo alirudi mbio kumfuata Mahamud, “nimesahau bwana” alisema Mahamud huku anaingiza mkono mfukoni na kutoa wallet yake, “chukuwa hii itakusaidia kwa mambo madogo madogo” alisema Mahamud huku anampatia noti kadhaa za elfu kumi kumi za idadi ya kumi na tano, “hapana mzee wangu nina akiba kidogo, inaweza kunifaa, nikiwa nashida nitakujulisha mzee wangu” alisema Higgno kwa unyenyekevu, huku anakutanisha viganja vya mikono yake na kuinamisha kichwa cheke, ikiwa ni ishara ya heshima kwa Mahamud, ambae sio tu kushangaa ila na kuduwaa pia, “ok! kijana wacha niwahi swala usiache kunitafuta,alisema Mahamud huku akigeuka na kuelekea msikitini, na Higgno akaelekea upande wa pili wa barabara na kuingia kwenye moja ya chochoro,, inayotumika kama njia ya mkato kuelekea soko kuu, huku kijana huyo akikumbuka kuwa anahitaji kumpigia simu baba yake ili ajuwe kama anakuja mjini au vipi.*******
Naam wakati huo wakina Idd, na baba yake walikuwa njiani wanaelekea msikitini kwa upande wa Idd sio kwamba alienda kwaajili ya swala, hapana Idd ambae mpaka mida hii alikuwa ameshalewa, akidai ni starter ya kuweza kumudu maongezi ya kwenye baraza la wazee, alikuwa anaenda mskitini kwaajili ya kushuhudia jinsi wanavyo kubaliwa kumchumbia Soraya, maana waliamini mtego waliouweka unge
saidia kutimiza hayo, hakika wawili hawa walikuwa na furaha ya hali ya juu, hata walipofika eneo la msikiti walikutana na wajumbe wengine wakiwa wamejaa kuliko siku zote, “hapa lazima Mahamud akubali haraka kutoa binti yake kwa maswali atayo tundikwa hapa, mwenyewe atakubali yaishe” alisema Mahadhi Salum, aliekuwa anaendesha gari, na sasa wanaingia eneo la msikiti, “mdingi mimi nakukubali kinyama, yaani hata wakati ule nilipo shuka bondeni (Africa ya kusini) ninge kushirikisha nadhani mpaka sasa tunge kuwa matajiri wakubwa sana hapa Songea” alisema Idd kwa sauti ya kilevi huku ana jitahidi isionekane kama amelewa, japo alikuwa anatafuna big G, yaani banzoka, lakini bado kwa mbali harufu ya pombe iliweza kusikika, “ila tukubaliane ukisha mchukuwa tu Soraya, kwanza unaninunulia gari moja zuri jipyaaaaa, halafu una…” kabla mahadhi hajaongea neno jingine, Idd akadakia mara moja, “hilo jibu baba, kwanza hujasikia kuwa yale mabus mapya yote Mahamud ana mkabidhi Soraya, amemfungulia kampuni yake, hivyo nitakuwa na mkwanja wa maana sana, baba utaoga fedha kama taka taka” alisema Idd kwa majisifu, huku baba yake anasimamisha gari mbele ya eneo la msikiti, ona kule mbele, alisema Mahadhi akimueleza Idd nae akatazama kule alikoonyesha na baba yake, wote wakamtazama mzee Mahamud ambae alikuwa anaagana na kijana fulani, kisha kila mmoja akaekelekea upande wake, yaani kijana akapotelea mtaani huku Mahamud akielekea kwenye kisima kwaajili ya kuchukuwa udhu, “ameisha pumbavu, unadhani hizo mali utazing’ang'ania peke yako mpaka lini” alisema Mahadhi wakiwa bado ndani ya gari, na wote wakacheka kwa pamoja, huku wakimtazama mzee Mahamud analifikia bomba na kuanza kuchukuwa udhu.******
Sina alipo lifikia gari tu! ghafla mlango wa gari ukafunguliwa, na hapo hapo akashangaa kumuona mwanamke alievalia niqab usoni mwake na kubakiza macho, lakini licha ya hayo lakini Sina aliweza kumkumbuka mschana huyu kuwa ni yule ambae alishirikiana na Idd kumuwekea dawa za kulevya kwenye Juice ili akabakwe, na bahati nzuri alikimbia, Sina mengi aligeuka haraka kutazama alikotoka……….. ITAENDELEA HII NI KWAAJILI YA MASHABIKI WA SIMBAAAA!!!
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SITINI NA TANO
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SITINI NA NNE:alisema mama Soraya, akionyesha masikitiko yake kwa kile ambacho ni kama tuhuma juu ya familia yao, “lakini mama si nilisha sema nina mchumba, si awaambie tu kuwa ninae” alisema Soraya kwa sauti ya chini huku anatazama chini, “lakini atawaambiaje kuwa una mchumba na wakati hata wewe mwenyewe humjuwi, na alichosema baba yako ndicho kinacho nihuzunisha zaidi, maana amesema kama yatatolewa mashariti ya wewe kuolewa na Idd, basi hakuna namna itabidi uolewe” alisema mama Soraya na hapo Soraya akatazamana na Laylah kwa macho ya niseme nisiseme, na kabla Laylah haja mkonyeza kwa lolote Soraya akamtazama mama yake ENDELEA……
Naam kabla haja jibu mara wote wakatazama upande wa mlango mkubwa wa kuingilia pale sebuleni wakamuona Talib anaigia pale sebuleni “shikamoo shangazi” alisalimia Talib, ambae alikuja moja kwa moja mpaka pale kwenye meza kubwa ya chakula na hapo maongezi tayari yalisha koma “marahaba,vipi ndio unaamka?” aliuliza shangazi, yaani mama Soraya, “nimeamka kitambo nilikuwa na fanya usafi tu!” alijibu Talib huku anajiandalia vitafunwa na kujimiminia chai, “halafu Talib mbona sikuelewi kuhusu biashara yako hivi inaendeleaje?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya mashaka, “nini biashara?”,mmmh! inaendelea vizuri tu!” Talib akashikwa na kigugumizi cha ghafla, “mh! we haya tu, maana sioni dalili ya uwepo wa biashara yoyote, sikuoni ukifuatilia mzigo nyasa wala kuagizia mzigo wowote” alisema mama Soraya wakati huo Talib mwenyewe hakujisumbua kujibu chochote, aliendelea kukandamiza chai taratibu hapo Soraya akaona kuwa hakukuwa na maongezi tena, “mama wacha mimi niwahi ofisini” alisema Soraya huku anaichukuwa simu yake mezani na kuinuka, “hivi Soraya huoni kama hutaleta picha nzuri kama utaenda ofisini ukiwa unachechemea hivyo, kwanini usiende kwanza Hospital nitampigia kumueleza” hapo Soraya alitulia kidogo, kama anawaza jambo, kisha akamtazama Laylah, wakakubaliana kwa kutikisa vichwa, “sawa mama, basi wacha niende Hospital nikatibiwe , maana baadae nitashindwa kwenda kwakina Laylah” alisema Soraya huku anaanza kutembea kueleka nje, huku akifuatiwa na Laylah, na mama yake anamtazama kwa macho ya mshangao, “mh! kwa akina Laylah tena leo!?” alisema mama Soraya kwa sauti ya chini na ya mshangao, huku anamtazama Soraya aliekuwa anaelekea nje na kuingia ndani ya gari, twende kwanza shoping halafu tukimaliza twende Luhila kwa yule mzee.
Huku ndani Talib ambae alikuwa anafuatilia maongezi ya Soraya na mama yake, alipata wazo la kuvuruga jambo hilo, maana alishajuwa kuwa Soraya anatembea na Higgno na pia anataka kumsaidia kijana wa baba huyo, lakini alipotaka kuongea jambo “na wewe endelea tu! ukae ukijuwa hapa ni kwa mjomba wako, sijui utakaa mpaka lini, maana unapewa mtaji unakula wote, unafikia hatua ya kuomba hela” alisema mama Soraya kisha akainuka na kuelekea chumbani kwake, akimuacha Talib ana tazama mlango wa ofisi ya mjomba wake, ambamo mulikuwa na lile kabati la ukutani lenye kuhifadhiwa fedha, “utajuwa tu hapa nitatoka lini” aliwaza Talib huku anaendelea kunywa chai akipanga kuwa akitoka hapo aendezake mwembe chai kwa Zido akaone maendeleo yao na kuchukuwa bangi.*******
Naam mama Hilda yaani mke wa mzee Komba aliingia nyumbani kwake, na moja kwa moja akaingia chumbani kwa Hilda ambae alimkuta bado yupo kitandani, “ndugu yangu habari za hospital sio nzuri hata kidogo” alisema mama Hilda, huku anakaa pembeni ya kitanda cha mwanae ambae bado alikuwa amelala chali na miguu ameitanua, “vipi kwani amekufa?” aliuliza Hilda kwa sauti ya mshtuko lakini sio wa kuogopa au kuhuzunika, ila ulikuwa ni wakushangilia, “afadhari angekuwa amekufa tunge juwa moja, ila kiukweli kabisa atakuwa mzigo ketu” alisema mama Hilda ambae alionekana wazi kuwa na uchovu wa kulala kwe benchi huku akiwa amelewa, “kwanini unasema hivyo mama, na vipi marafiki zake wanasemaje?” aliuliza Hilda akijaribu kujiinua na kukaa kitako, “walimkimbia usiku ule ule, yule mnafiki ndie alietusaidia hela ya mafuta na matatibabu” alisema mama Hilda huku anajilaza kwenye kitanda, huku miguu ikikanyaga chini, “mnafiki gani huyo au Higgno?” aliuliza Hilda kwa shauku, “ni baba yake, baada ya kukosa msaada wowote nurse akampigia huyo bazazi, ndio akajileta pale na vijihela vyake, akajifanya kutusindikiza mpaka Hospital, na bahati yake hakuniuliza tatizo la mgonjwa” alisema mama Hilda kwa sauti ya dharau, “kwahiyo mama Hosptal unaenda saa ngapi ili tuandae chakula kabisa” aliuliza Hilda akijitahidi kujishusha kitandani, “acha upuuzi bwana unadhani kuna kula pale, mtu ameachama mdomo kama zezeta, navyo kuambia kuwa ni mzigo ni mzigo kweli” alisema mama Hilda yani mke wa mzee Komba, ambae alionyesha kutokuwa na dalili yoyote ya kurudi Hospital, hapo Hilda nae akajirudisha kitandani na yeye alimuunga mkono mama yake.*****
Saa tano na nusu, ndio mida ambayo Kijana Higgno, alikuwa ndani ya dala dala akielekea mjini huku amevalia nguo nzuri ambazo aliletewa na Soraya jana, njia nzima kijana huyu ambae alikuwa anaenda mjini kwa mambo mawili tu, moja ikiwa ni kukutana na baba yake ambae alimuambia kuwa mipango ikikaa sawa watahitaji kununua vifaa vya dukani, pili alihitaji kufanya manunuzi kama alivyo shauriwa na Soraya kwa fedha alizompatia, muda wote alikuwa anavuta picha ya matukio ya jana usiku kule shambani na Soraya, na kuna baadhi ya matukio yalimfanya ajikute akisimamisha mnazi wake, “dah! siamini yaani demu mzuri kama yule alikuwa hajawahi kufanya chochote, hakika sitomuacha kwa namna yoyote ile” aliwaza Higgno huku safari ikindelea, wacha nikanunue pamba kali sana, maana nikiwa navaa kama hivi naweza hata kuongozana nae” aliendelea kuwaza Higgno, hata gari lilipofika mjini na kusimama kituo cha soko kuu.
Hapo Higgno akashuka akiwa mwenye furaha tele na kuanza kuzunguka madukani akinunua nguo na viatu vizuri vya kiume na vya kike kwaajili ya mpenzi wake Soraya, na hata ilipotimia saa sita na nusu ndipo alipopata wazo la kumpigia baba yake, lakini alipojaribu akagundua kuwa vocha imeisha kwenye simu yake, hapo akaanza kutafuta duka la vocha.
Naam wakati Higgno analikaribia duka hilo akaliona gari fulani ambalo halikuwa ngeni machoni mwake, na wakati akilikodolea macho gari lile kumtazama aliekuwa anashuka kama ndie anaemfahamu au sie, akamshtuka kuona anafanya kitu fulani cha bahati mbaya, ambacho hata yeye alishukuru kuwepo pale, maana kama angeona mtu mwingine basi ingekuwa tatizo kwa mtu yule ambae alikua anatamani sana kukutana nae.*****
Naam mida hii ya saa sita ndiyo mida ambayo Talib alitoka kwenye nyumba yake na kufunga mlango kisha akaanza kutembea kuelekea getini, “wewe mida ya swala inakaribia na wewe unaondoka bila hata kuaga” Talib alishtuliwa na shangazi yake, ambae alikuwa anatembea kumsogelea, “yaani shangazi unamuachia Soraya wakike afanye anavyotaka halafu mimi ndiyo una niwekea ngumu” aliongea Talib kibwege, “hebu muone kwanza, Soraya tunamuachia nini?” hapo Talib aliona kuwa hiyo ndiyo sehemu pekee ya kuvuruga kuhusu mahusiano anayo yahisi ya Soraya na Higgno na jambo lile la kumsaidia baba yake Higgno, “we! shangazi muache tu Soraya ajitawale, unadhani Soraya analala kwa Laylah, huyu analala kwa mjinga mmoja anaitwa Higgno, na hata huyo mzee anae sema sijui anafahamiana nae sijui ameunguliwa duka hakuna lolote ni baba yake Higgno” alisema Talib kwa sauti iliyojaa chuki na tahadhari kwa shangazi yake, “kwahiyo unafahamu huyo mchumba wa Soraya, je ni yule yule alie msaidiaga?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao, “na mfahamu vizuri sana, ni pimbi mmoja tu, hana lolote, tena wala usiruhusu amuoe Soraya” alisema Talib kwa dharau na chuki, “kwahiyo huyo ni mwingine sio yule aliemsaidia?” aliuliza mama Soraya, akionekana kushangazwa na lile jambo la kuwa Talib analikuwa anamfahamu mwanaume wa Soraya, “amsaidie wapi bwana, ni mchezo tu huo, we! unadhani Soraya alitekwa kweli?” alisema Talib na kumfanya shangazi yake aache mdomo wazi kwa mshangao huku Talib akicheka kimoyo moyo “unasema Soraya kapanga huo mchezo kuturubuni sisi?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao, maana alikuwa anamfahamu vyema binti yake kuwa hawezi kufanya mchezo, huo na pia kwa miaka yote hiyo tayari wangesha ng’amua kama ni mchezo wakupangwa.
Hapo kidogo Talib akashtuka, na kuona kuwa, hawezi kumsingizia Soraya jambo hilo, kwasababu mama yake anamfahamu vizuri, “kuhusu Soraya kuhusika sidhani, ila hao jamaa walio mteka ni rafiki zake kabisa” kauli hii ya Talib, ilimshtua zaidi mama Soraya, “weeee! ina maana miaka yote hii alikuwa anatuchezea mchezo wa kitoto kama huo?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya mshangao, akionyesha kuamini moja kwa moja kile alichoelezwa na mtoto wa kaka yake, “sasa je yule boya mimi ninamfahamu kitambo toka Luhuwiko sekondari, hawezi hata kurusha kofi, halafu apigane na watu sita kimchezo mchezo tu!” alisema Talib na hapo mama Soraya kwanza alivuta hisia za mwendo wa Soraya ambao alikuja nao asubuhi na kuondoka nao, akidai alijikwaa mara alijigonga kwenye mlango, pia akakumbuka tabia mpya ya Soraya ya kumkatalia mama yake kuingia ndani ya chumba chake wakati ana ishiwa pose, maana alijuwa tayari mwanae Soraya amesha tapeliwa, kitumbua chake ambacho kinakila dalili ya kuwa kimeshaondolewa utandu, “lakini Talib, unajuwa habari zako zina nichanganya sana wewe umejuwa lini haya mambo?” aliuliza mama Soraya kwa mshangao na simanzi, maana hata yeye alikuwa anafikiri kuwa kijana huyo ni mwanaume sahihi wa Soraya.
Kwanza Talib alicheka kwa dharau, “shangazi bwana, yaani mimi machale yalinicheza siku ile ya tukio, nikaamua nifanye upelelezi wangu wa chini chini hahahahaha!” alisema Talib akimalizia kwa kicheko, “yaani nimechanganyikiwa vibaya sana, huyu kijana aliwezaje kupanga mambo yote hayo, toka mwaka tisini na nane pale alipomuokoa Soraya asibakwe na wale wanafunzi wakorofi wa Songea boyz?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya chini kama vile ananong’ona, “nini kwani Higgno ndie aliemsaidia wakati ule…… yaani namaanisha Higgno aliwezaje wakati alikuwa boya tu?”aliongea Talib kwa mshangao, na kama shangazi angekuwa makini angegundua jambo toka kwa Talib, “ndiyo ni yeye, ndio maana nashangaa maneno yako, maana hata siku ile Idd alipomlewesha Soraya aliokolewa na huyo huyo, sasa unataka kusema yule kijana alishirikiana na Idd wakati Idd mwenyewe anamtaka Soraya kwa udi na uvumba?” aliuliza mama Soraya, likiwa swali jingine gumu kwa Talib ambalo lilimuacha mdomo wazi, “sasa unauliza nini hapo, wakati Idd mwenyewe ni mwizi tu!” alisema Talib, ambae aliona akiendelea kukaa pale anaweza kukaribisha maswali mengine magumu zaidi, na mpango wake kuvurugika, hivyo alianza kuondoka kueleka getini akimuacha shangazi yake anamsindikiza kwa macho ya mshangao, “huyu anasema nini, mbona kama haeleweki eleweki, na kwanini aseme hivi, maana naona wazi kuwa ni kama uongo, kwasababu miaka yote hii alikuwa wapi kutimiza lengo lake, na wakati tayari Soraya alikuwa anamzungumzia?” alijiuliza mama Soraya huku anaelekea ndani, “lakini kwa upande mwingine kuna ukweli ndani yake, sijui nitaanzaje kumueleza baba Soraya” alijisema mama Soraya, na alipofika sebuleni akachukuwa simu yake na kuelekea chumbani kwake huku anabofya simu yake na kumpigia baba mzee mahamud, ambayo haikuita muda mrefu ikapokelewa, “hallow baba Soraya kuna jambo nahitaji tuongee” alisema mama Soraya kwa sauti iliyoonyesha msisitizo, jambo gani hilo….” kabla mzee Mahamud hajamalizia kuuliza ghafla simu ikakatika, na alipojaribu kupiga tena simu yake haikufanikiwa kwasababu tayari alishaishiwa vocha, kumbuka kipindi hicho hakukuwa na utaratibu wa vufurushi, hivyo hakuwa na uwezo wa kutuma hata ujumbe.******
Sina mengi alikuwa ndani ya chumba cha doctor, akieleza shida yake ya meno, “unatakiwa kutoa shilingi elfu kumi na tano ili upewe meno mengine” hilo ndilo jibu ambalo Sina mwenye shilingi elfu nne baada ya kutumia shilingi elfu moja kwa nauli na chai alilopewa na doctor, jibu ambalo lilimfanya mwanamama kikongwe kuanza kuomboleza, “doctor naomba unisaidie, nipo tayari kwa lolote lile lakini fedha sina” alisema Sina, akimaanisha kuwa yupo tayari kwa rushwa ya ngono.
Lakini doctor alianza kwa kuangua kicheko, maana alilinganisha muonekano wa mwanamke huyu kikongwe mwenye sura mbaya na umbo la kuchukiza, “sikia mama, hauna chochote cha kunipa ili nikusaidie, cha msingi tafuta hata elfu saba unaweza kusaidiwa kwa mkopo, na ukizingatia umri wako ni kubwa” alisema Doctor, basi wacha nika tafute elfu tatu niongezee nitarudi tena” alisema Sina na kutoka kwenye chumba cha doctor kisha akatokomea mtaani, akielekea kati kati ya mji.*******
Mzee Mahamud ambae toka asubuhi alipofika ofisini alionyesha wazi kuwa na mawazo yanayoumiza kichwa, mida hii alikuwa njiani akieleka mjini kwa lengo la kuelekea msikitini kwa swala ya saa saba yani ile Adhuhuri, pia kuongea na wazee wa baraza.
Sasa alikuwa amesimamisha gari karibu na Soko kuu, akiwa ndani ya gari ameshikilia simu yake mkononi, “sijui anataka kusema nini mama Soraya” alijiuliza mahamud huku anabofya namba ya mke wake kwaajili ya kumpigia, akiamini mke wake aliishiwa vocha kwenye simu, na alikuwa na jambo muhimu la kuongea nae.
Mahamud alipiga namba na kuweka simu sikioni, “hauna salio la kutosha kupiga simu hii” ilisikika sauti ya kike, “hoooo! kwanini leo nimesahau kuweka vocha” alijishangaa mzee Mahamud ambae aliweka simu kwenye kiti cha pembeni cha gari lake na kuondoa gari hili aina ya Nissan patrol kuingia barabara ya chini ya Soko kuu, barabara ambayo huelekea mpaka msikiti wa mkoa, ambao upo umbali wa mita mia tu! toka sokoni hapo.
Mahamud aliendesha gari kwenye barabara ile, huku macho yake yakiwa kwenye maduka ya pembezoni mwasoko, akitazama kama anaweza kuona duka la vocha, ili aweke na kumpigia mke wake, na hata alipofanikiwa akasimamisha gari pembeni ya barabara na kuchukuwa pochi yake yenye kadi za benk kitambulisho na fedha, kisha akashuka huku anaiweka mfukoni ile pochi yake ambayo hata ufungaji wake ulikuwa ni mgumu kutokana na ujaaji wa fedha, na akiwa na uhakika kuwa ameweka ndani ya mfuko wa nyuma wa suruali yake, mzee Mahamud akaelekea kwenye moja duka alilo lilenga kuwa linauza vocha za simu, kipindi hicho zikitwa dolla, “karibu mzee” alikaribisha kwa sauti iliyojaa heshima na nidhamu ya hali ya juu mschama mdogo muuza duka, akionyesha anamfahamu mzee Mahamud tajiri mkubwa mwarabu hapa mjini Songea, asante sana, naomba dolla ya elfu kumi, “alisema Mahamud kwa sauti ya unyenyekevu iliyojaa urafiki, huku akitabasamu, japo hakuwa anamfahamu yule mschana mdogo, ikiwa ni kuonyesha kuwa ameunga mkono nidhamu ya mschana yule ambae alichangamka mara moja kuchukuwa vocha mbili za elfu tano tano na kumpatia mzee Mahamud, akiwa amesha zikwangua lakini hakupokelewa, baada yake alimuona mzee huyu anajipapasa mifuko yote, “mungu wangu nimedosha wallet yangu” alisema Mahamud, ambae kwake fedha zilizokuwepo ndani ya wallet ile sio lolote, ispokuwa kadi za benk na vitambulisho, hakika alijihisi kijacho chembamba kinamtoka huku yule binti anamtazama kwa mshangao na huruma, “nina mkosi gani jamani” alijikuta akijiuliza kwa sauti Mahamud, huku anageuka kutazama kule alikotoka hasa kwenye gari lake, ambalo lilikuwa mita kama ishirini toka pale alipokuwepo, hakuona chochote chini, yaani sehemu alizopita zaidi ya watu waliokuwa wanaendelea na pirika zao, akamgeukia yule mschana, “samahani kwa usumbufu mwanangu, nimepoteza wallet yenye fedha” alisema mzee Huyu kwa sauti ya masikitiko, “lakini mzee najuwa huwezi kunikimbia, unaweza kuchukuwa vocha kisha ukaleta siku nyingine….” alisema yule mschana ambae hata kabla hajamaliza kuongea akakatizwa na sauti tulivu ya upole, “shikamoo mzee Mahamud, umedondosha pochi yako wakati unashuka toka kwenye gari” kauli ile ilipita kichwani kwa Mahamud kama mwangwi wa mawazo, hakuamini kama ni kweli kuna mtu anaongea, lakini alipomuona yule mschana muuza duka anatazama upande wa mlango wa duka, akajuwa kuwa ni kweli kuna mtu aliongea, na sio mawazo yake, hivyo na yeye akatazama.
Naam mahamud alijikuta anatoa macho ya mshangao mara mbili, ni mshangao ulio ambatana na tabasamu jipya la matumaini, ni baada ya kumuona kijana mmoja mrefu kiasi mwenye mwili wa mazoezi, ambae leo alikuwa amevalia nadhifu, ni kijana yule yule aliemsaidia mwaka mmoja uliopita siku aliyovamiwa na wezi kwa lengo la kumpora fedha, ni kijana aliemsaidia kubadiri tairi la gari lililotobolewa na mtego wa wezi wale akiwa amesimama mbele yake amashika wallet yake akimnyoonyeshea kwa maana ya kumpa, “amakweli ukiona kiza kinashamiri basi mawio yaja” alisema Mahamud huku tabasamu likiendelea kushamili usoni mwake…… ITAENDELEA MUWE NA USIKU TUKUTANE KWA MKAPA AU HATUCHEZII?
Tumalizie moja au monie
 
Back
Top Bottom