aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
Habari wanajamvi,natafuta mtu ambaye anaweza kubadilishana na mm simu natumia TECNO L9 PLUS ni mpya ina wiki mbili na nina kila kitu mpk risiti na mimi nahitaji kupata TECNO CX nimetokea tu kuipenda. Au kama kuna mtu anaweza kunisaidia cha kufanya ili nipate ninayoitaka,0713901061 ndo namba yangu.
Wanajamvi habari,nimeresign kazi mahali na nikawa nataka nichukue mafao yangu ili nifanye yangu lakini nimekamilisha kila kitu nahitaji kujua naweza kusubr muda gani mpk nipate mpunga
naombeni msaada wa kisheria kuna kampuni nimeacha kazi mwezi sasa umepita nimeclear kila kitu sasa hawataki kunipa barua ya kunirelease,hr anasema mpaka ipite miezi sita na the only reason anayotoa ni kuwa nilikuwa nadeal na clients,sasa nataka niwashtaki maana nimeipitia sheria ya kazi hakuna...
naomba kujua kila ninapokaa na wazee na kuongea nao au wakiwa wanamzungumzia mtu kuna hiki kitu huwa wanauliza HIVI AMEOA KABILA GANI??? hili swali inawezekana lina umuhimu kwa upande fulani.....naomba kuwasilisha kwa wale wenye wake au mliokutana na wanawake au kuishi nao mtujuze tabia za asili...
Nashukuru mtoa mada,nimefurahi kwa kuwa kutoa tu hii mada maana yake kuna kitu huko ndani ya moyo kinaitwa kutokuamini,na kutokuamini kwa lugha nyepesi ni kutokuwa na imani ila kwa sababu miujiza ipo kwa wasioamini nafikir ni vizuri uende ukashuhudie usizungumzie tu huku mitandaoni then utajudge...
Hii habari ya raia mnakutana halafu kila mtu anakuwa busy na simu yake inanikera sana,,,,au mko mahali na mpenz then kila mtu yuko busy na cm yake kwa staili hii sidhani kama kuna ndoa au mahusiano yatadumu....nafikir kuna haja ya kuangalia upya hili suala,,,,,aliye karb anakuwa mbali halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.