Recent content by mziray45

  1. mziray45

    JamiiForums Tanzania Vodacom nawahama leo nimewachoka!

    aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
  2. mziray45

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kubadilishana nae simu

    Habari wanajamvi,natafuta mtu ambaye anaweza kubadilishana na mm simu natumia TECNO L9 PLUS ni mpya ina wiki mbili na nina kila kitu mpk risiti na mimi nahitaji kupata TECNO CX nimetokea tu kuipenda. Au kama kuna mtu anaweza kunisaidia cha kufanya ili nipate ninayoitaka,0713901061 ndo namba yangu.
  3. mziray45

    JamiiForums Tanzania Moshi: Yaliyojiri Mei Mosi 2017, Rais Magufuli amwaga ajira Elfu 52, madaraja kupanda....

    Hivi hakuna watu ambao wako humu jamii forum wanaofanya kazi kwenye hii mifuko????
  4. mziray45

    JamiiForums Tanzania Moshi: Yaliyojiri Mei Mosi 2017, Rais Magufuli amwaga ajira Elfu 52, madaraja kupanda....

    Naomba mnijuze jpm alichosema kuhusu issue ya mafao likiwemo fao la kujitoa.
  5. mziray45

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Rais;Fao la kujitoa

    Nafikiri ni vema mkataja na hiyo mifuko mliyoenda,mm gepf wanatoa ndani ya mwezi
  6. mziray45

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua kuhusu fao la kujitoa GEPF

    Sasa kama ilitolewa kwa nn wanatoa fomu za mtu yoyote anayetaka kujitoa
  7. mziray45

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua kuhusu fao la kujitoa GEPF

    Una evidence yoyote
  8. mziray45

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua kuhusu fao la kujitoa GEPF

    Wanajamvi habari,nimeresign kazi mahali na nikawa nataka nichukue mafao yangu ili nifanye yangu lakini nimekamilisha kila kitu nahitaji kujua naweza kusubr muda gani mpk nipate mpunga
  9. mziray45

    JamiiForums Tanzania NI DALILI YA UGONJWA GANI HUU....??

    Ni minyoo tu hiyo usipagawe sana
  10. mziray45

    JamiiForums Tanzania NI DALILI YA UGONJWA GANI HUU....??

    Sasa hicho kitu kinakutekenya muda wote au usiku tu
  11. mziray45

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA KISHERIA

    naombeni msaada wa kisheria kuna kampuni nimeacha kazi mwezi sasa umepita nimeclear kila kitu sasa hawataki kunipa barua ya kunirelease,hr anasema mpaka ipite miezi sita na the only reason anayotoa ni kuwa nilikuwa nadeal na clients,sasa nataka niwashtaki maana nimeipitia sheria ya kazi hakuna...
  12. mziray45

    JamiiForums Tanzania tabia za asili za wanawake kwenye makabila mbalimbali

    naomba kujua kila ninapokaa na wazee na kuongea nao au wakiwa wanamzungumzia mtu kuna hiki kitu huwa wanauliza HIVI AMEOA KABILA GANI??? hili swali inawezekana lina umuhimu kwa upande fulani.....naomba kuwasilisha kwa wale wenye wake au mliokutana na wanawake au kuishi nao mtujuze tabia za asili...
  13. mziray45

    JamiiForums Tanzania Naombeni aliyewahi kupata muujiza toka kwa Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe n.k, aje atusimulie hapa

    Nashukuru mtoa mada,nimefurahi kwa kuwa kutoa tu hii mada maana yake kuna kitu huko ndani ya moyo kinaitwa kutokuamini,na kutokuamini kwa lugha nyepesi ni kutokuwa na imani ila kwa sababu miujiza ipo kwa wasioamini nafikir ni vizuri uende ukashuhudie usizungumzie tu huku mitandaoni then utajudge...
  14. mziray45

    JamiiForums Tanzania Smartphones msipokuwa nazo makini zitatenganisha ndoa au uhusiano wenu wa karbu

    Hii habari ya raia mnakutana halafu kila mtu anakuwa busy na simu yake inanikera sana,,,,au mko mahali na mpenz then kila mtu yuko busy na cm yake kwa staili hii sidhani kama kuna ndoa au mahusiano yatadumu....nafikir kuna haja ya kuangalia upya hili suala,,,,,aliye karb anakuwa mbali halafu...
  15. mziray45

    JamiiForums Tanzania Ndege zimeanza mazoezi

    Thinking error
Back
Top Bottom