NI DALILI YA UGONJWA GANI HUU....??

Smart boy Shewedy

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
3,687
3,418
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
 
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
Maalim ulipona?
 
Minyoo hio aina ya trichuris trichura,au entemobious vermicularis.
Nenda kapimbe minyoo kwenye maabara ya kuelewaka
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
 
Back
Top Bottom