Màshabiki ni watu wabaya sana, ndo mana vita ya PAC na big ilikua kubwa ,darasa n msanii wakawaida sana na uwaga anatoa nyimbo moja mwaka unapta then anatupia mwingine awez kushindana na mond au kiba na ASA mond
Leo ndo nimeamini kuna watu akili zao ziana matatzo , barbarosa kaongelea u genius wa ccm watu wenye utindio wanasema tetea maslai ya chama ipo siku utapata cheo.badilikeni vijana siasa ndo tatzo kwenu na upinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.