marymarymary
Senior Member
- Oct 3, 2016
- 101
- 96
yeah unaweza kujikuta wewe ni baba wa hao watoto wa5 bila kufahamuAsante mkuu kwa ushauri
maana huwezi kupeleka ugali wa mwanao tu wakati kua 4 pale wana njaa
yeah unaweza kujikuta wewe ni baba wa hao watoto wa5 bila kufahamuAsante mkuu kwa ushauri
Kama uko na hiyo mimba, si umupatie tu?
kuna watu mnamajibu humu. MhKama uko na hiyo mimba, si umupatie tu?
Miaka 27 yote umeishi duniani bado hujui unataka nini?Heri ya mwaka mpya wanajamvi,
Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.
Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.
Nisaidieni wakuu.
Nimependa id yako eti Amayabhu kwetu hyo ni mihogoKwani wew msimamo wako ukoje katika hilo,,, unataka kuzaa au hutaki?
Hii story kama ya Diamond
Mkuu kweli asijaribu mwanzo huwa wapole akisha pata huwa wasumbufu kupita Maelezo we tafuta wako anzisha familiaUsithubutu