Lowassa Kufukuzwa Uongozi wa Mila

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Jamii ya Kimasai hasa wazee wa Mila wamestushwa na vurugu mbalimbali zinazotokea katika jamii hiyo na hivyo kuona kuna haja ya kumvua uongozi wa mila hiyo Mbunge wa Monduli Mh.Edward Ngoyai Lowassa ambaye hata hivyo ni wa kabila la wameru.Tangu apewe cheo hicho kumekuwa na magomvi mbalimbali tofauti na maana ya nafasi hiyo ambapo mhusika hutakiwa kuleta mapatano katika jamii.Mfano ugomvi wa Ole Sendeka na Millya kiongozi huyo alitakiwa asuluhishe ugomvi huo kwani ndiye aliyeitisha kikao kilizaa ugomvi huo lakini alikataa kwa kusema hawezi kuingilia jibu hilo moja kwa moja ni kielelezo cha kushindwa kazi hiyo kwani itamaanisha kuchochea ugomvi huo badala ya kupatanisha wahusika.Maana ya Laiguanani na kazi zao wa JF mnaofahamu mtufahamishe.
 
Ivi kama tatzo dogo kama hill kusuluhisha ni tatzo je uraisi itawezekanaje ? Maana kuongoza nchi ni tatzo kubwa sana


uraisi aligombea mwaka 2009? kwa nini usimuulize mtoa mada lilifanikiwa hilo jambo au wewe ni kujaza tu mtihani bila ya kusoma maelezo taarifa akiwa mbunge wa ccm huogop!!!!!!
 
Jamii ya Kimasai hasa wazee wa Mila wamestushwa na vurugu mbalimbali zinazotokea katika jamii hiyo na hivyo kuona kuna haja ya kumvua uongozi wa mila hiyo Mbunge wa Monduli Mh.Edward Ngoyai Lowassa ambaye hata hivyo ni wa kabila la wameru.Tangu apewe cheo hicho kumekuwa na magomvi mbalimbali tofauti na maana ya nafasi hiyo ambapo mhusika hutakiwa kuleta mapatano katika jamii.Mfano ugomvi wa Ole Sendeka na Millya kiongozi huyo alitakiwa asuluhishe ugomvi huo kwani ndiye aliyeitisha kikao kilizaa ugomvi huo lakini alikataa kwa kusema hawezi kuingilia jibu hilo moja kwa moja ni kielelezo cha kushindwa kazi hiyo kwani itamaanisha kuchochea ugomvi huo badala ya kupatanisha wahusika.Maana ya Laiguanani na kazi zao wa JF mnaofahamu mtufahamishe.
Kama huna kazi ya kufanya si ukalale??
 
Naona Mnatokwa na Mapovu tuuuuu
Wakati wenzenu hata pressure hatuna
Mtasema Mengi sana Na Bado.
Sasa akiingia madarakani si mtaanzisha vikundi vya ngonjera
 
Back
Top Bottom