we mtoa mada uwe unafanya na kauchunguzi. asilimia kubwa ya udongo wa kimara ni mfinyanzi. ndio maana kioindi cha mvua balaa linaanza. pia mbona wanaanza jenga,ingawa kwa gharama mfano barabara ya korogwe inayotokea maji chumvi na riverside inatengenezwa kwa kutumia zege nadhani unajua barabara...
nakubaliana na wewe. lakini hata akiwa na kipato kidogo haimaanishi hatakiwi provide. si ndio? au nakosea.? ila kuna kaujinga flani siku hizi hata sijui kinatokea wapi. na mwanamke kukuzidi kipato sio tatizo vile vile. maana tishachanganyana changanyana. mfano halisi mimi. mwanamke wangu...
sijachafukwa. ila sisi wanaume mda mwingi tunazingua. wanawake wote wana soft spot. kama huijui imekula kwako. mimi bana huwa nawaambiaga ukwe 'with you i live,without you i live'. maisha yanasonga.
soma kwa makini. kama hujaelewa uliza. kumbuka nimeandika mwanaume asipotumia akili mara nyingi nini? wengine kabla ya ndoa tume date na wanawake wenye vipato na baada ya ndoa mwanamke ana kipato pia kikubwa tuu. ningekuwa na wenge ningelalamika kama jamaa hapo juu. ila mwanamke hata kama...
wanawake zamani bana. mama.zetu. kizazi hiki cha nyoka vurumai tupu. na akiwa na pesa ndio balaa zaidi. hakukaliki kama mwanaume hauna msimamo. zamani hata kama mshua kipato chenga mwanamke anamsitiri. hata watoto hawajui kama baba mchovu. hata marafiki na majirani hawawezi jua. hata likitokea...
sie watu weusi huwa tunakurupuka sana. nyani watabaki kuwa nyani. ndio uzi gani huu? us..... mtupu. ya serikali achia serikali,ya Muumba achia Muumba. usichanganue dini na siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.