Mwanaume mwenzangu usioe mwanamke aliyekuzidi uchumi/Hela utanyanyasika na kufa mapema

Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wakishajiona wana vihela vya mboga tu na kuwekea mafuta gari basi wanavimba kichwa na kijiona wapo juu

Ukioa mwanamke aliyekuzidi elimu,kipato na Mali kwa kweli hautakuwa na sauti ndani ya nyumba

Yeye ndio atajifanya kichwa cha familia,ukichelewa kurudi kidogo atachonga sana,atataka simu yako aitawale kila msg na calls inayoingia atataka kujua inatoka kwa nani

Mwanamke atakuchunga kisa tu anajua ana hela na hauwezi kwenda kwa mwingine

Mwisho wa siku stress zinakuzidi unakufa

Sasa bora uoe mwanamke mwenye elimu ndogo,kipato kidogo huyu atakuheshimu na mtaishi ndoa ya furaha,Amani na upendo na utamtawala vyema .
Acha uwoga kijana, hawa viumbe wameletwa tuwatawale.....

Mi mke wangu anakula pesa ndefu UN yaani nina mkoko wa UN hapa wa ajabu hapa hela bwerere watoto wate Tanganyika Int. Xul...nakula bata then namgawia.... na mi ninazo ila za kawaida.
 
Yaani watu bwana kwani kifo kiliandikwa kwa wasio na ndoa tu? Kwanini wanaume wakifa kwenye ndoa chanzo kinaonekana ni wake zao? Kama ni stress kila mtu anapitia kwenye ndoa haijalishi ni mume au mke ila ni vile wanaume mnadhani maovu yenu ni ya kawaida na madogo hivyo hayatuumizi ila ya kwetu ndo mnayaona makubwa na yanawaumiza sana
soma kwa makini. kama hujaelewa uliza. kumbuka nimeandika mwanaume asipotumia akili mara nyingi nini? wengine kabla ya ndoa tume date na wanawake wenye vipato na baada ya ndoa mwanamke ana kipato pia kikubwa tuu. ningekuwa na wenge ningelalamika kama jamaa hapo juu. ila mwanamke hata kama amekuzidi kipato anakutikisa kwanza aone vipi? sasa kama anakujua tangu mwanzo anajua hili bomu. nae anatuliza wenge
 
Acha uwoga kijana, hawa viumbe wameletwa tuwatawale.....

Mi mke wangu anakula pesa ndefu UN yaani nina mkoko wa UN hapa wa ajabu hapa hela bwerere watoto wate Tanganyika Int. Xul...nakula bata then namgawia.... na mi ninazo ila za kawaida.
Marioos at work
 
Wewe unafanya vyema, hata hobby yako nimeipenda unafaa.! Tatizo wenzio wanaogopa bek 3 ati ataiba penzi kwa baba sasa najiuliza kama baba unaishi nae vizuri atapataje chance ya ku sneak kwa mdada wa kazi.
Mmhh say that again
 
Kwahiyo mwanaume kuwa kind hearted ni option ila mwanamke kuwa kind hearted ni pie?
its an uncontrollable variable, you are either kind or unkind. Hio ni inborn trait ambayo kuna ambao wanayo na wasionayo. Kwa maneno mengine inajulikana kama empathy.
 
Hao nao inabidi wawekwe kwenye Novena maalum. Mwanamke alazimishwi kuchangia kwenye maendeleo. Akijiskia achangie ila sio lazima kwamba umshurutishe, isipokuwa labda kwenye emergencies.
Swadaktaa sasa hapo tunaenda sawia kabisa
 
Acha uwoga kijana, hawa viumbe wameletwa tuwatawale.....

Mi mke wangu anakula pesa ndefu UN yaani nina mkoko wa UN hapa wa ajabu hapa hela bwerere watoto wate Tanganyika Int. Xul...nakula bata then namgawia.... na mi ninazo ila za kawaida.
Waliletwa muwatawale lakini pia muwahudumie sasa hauhudumii halafu unataka utawale? Kumbuka ukikubali kumuachia mkeo majukumu yako basi ukubali kumuachia na nafasi yako pia Mungu hakuumba mwanaume kuwa marioo wala benten
 
soma kwa makini. kama hujaelewa uliza. kumbuka nimeandika mwanaume asipotumia akili mara nyingi nini? wengine kabla ya ndoa tume date na wanawake wenye vipato na baada ya ndoa mwanamke ana kipato pia kikubwa tuu. ningekuwa na wenge ningelalamika kama jamaa hapo juu. ila mwanamke hata kama amekuzidi kipato anakutikisa kwanza aone vipi? sasa kama anakujua tangu mwanzo anajua hili bomu. nae anatuliza wenge
Mwanaume uliumbwa kuwa ruler na provider hivi vitu vinaenda sambamba na haviwezi kutengana hata siku moja ukishaacha kuwa provider maana yake haufai pia kuwa ruler kumbuka ukikubali kumuachia mkeo majukumu yako basi ukubali kumuachia na nafasi yako pia
 
Mkuu umenionea
Hoja zangu nilitoa na baadhi ya wanaume humu wakakubaliana na utetezi wangu bila kushurutishwa.
Cha ajabu hii mada mmeiibua Tena ,ila hii tulishashinda tangu mwanzo

Mnamchosha tu Edeyln ,hii ligi tushachukua ubingwa kitambo
Mimi mpenzi msomaji tu
 
Back
Top Bottom