Hongera Mama, Rais wetu Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuupiga mwingi sisi watumishi wa Umma tupo nyuma yako katika kupeleka gurudumu la nchi yetu mbele.
Nimeona nishushe uzi huu kukupa angalizo Mama juu ya uteuzi wako wa Waziri wa Utumishi mwanzoni kabisa nilikuwa na walakini ingawa...
Leo asubuhi nimeshuhudia jamaa anatoka vichakani kwenye mikoko anajifanya anavuka anakwapua simu na kurudi kwenye mikoko akijifanya kama anakojoa
Simu ilikuwa mbali sikuweza kumpiga picha. Ila inasikitisha eneo nyeti Kama lile karibu kabisa na Kituo cha polisi lakini usalama ni haba
Kama jeshi...
Endeleeni kulindana takukuru taarifa mbona wanazo hii orex yenu ndo itawaweka bayana kweupeee
Mh Rais amefungua vyuo, hiyo covid ipo OUT tu? Msitetereshe elimu yetu kwa tamaa zenu
Full nondo wakati marks zinauzwa “A” 250,000 wanafunzi wa MBA wanazinunua tu na hii OREX bila kuwepo external examiners kutoa vyuo vyengine mtapiga sana hela
Alokwambia tupo zama za hatari ni Nani? Nyie ndo wapotoshaji Wakubwa hivi kauli za viongozi wetu kwamba tumeishinda corona unaona ni upumbavu?
Alafu bwana mdogo jifunze kuwasilisha mada bila matusi, tetea Hoja zako kistaarabu
Kama issue ni COVID cha msingi ni kuchukua tahadhari tu, mitihani ifanyike katika halls kubwa wanafunzi wavae barakoa wakae mita moja wa sanitize kabla na baada
Tusitake kuharibu elimu yetu kisa corona
Huo mfumo wao wa kufundishia tu umewashinda juzi tu hapa wamekaa karibu mwezi wanafunzi...
Ingekuwa ni chuo cha private TCU wangekuwa wameshafika Zamani sana, hatukatai mapinduzi katika elimu lakin yawe na uhalisia chuo kikuu huria kimekuwa kimbilio la wengi hasa wanachi wenye kipato cha chini Leo hii unamwambia mtu yupo ludewa mambo ya kufanya mtihani online sio tu internet pengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.