Mzee_londo
Member
- Dec 5, 2018
- 46
- 99
Hivi hizi kampuni za simu zitatuibia mpaka lini, huduma zinabadilishwa mteja hapewi taarifa, huu si wizi huu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]Dunia ya kibepari hii mkuu
ukishindwa fanya tu kutuma hela kwa bus
Wapenda dezo utawajua tuu.Hivi hizi kampuni za simu zitatuibia mpaka lini, huduma zinabadilishwa mteja hapewi taarifa huu si wizi huu
Hivi hizi kampuni za simu zitatuibia mpaka lini, huduma zinabadilishwa mteja hapewi taarifa huu si wizi huu
wanafidia penalty waliyopigwa na tcraHivi hizi kampuni za simu zitatuibia mpaka lini, huduma zinabadilishwa mteja hapewi taarifa huu si wizi huu
Kutuma pesa kupitia tigo app ni bureVya bure sio poa, mbona wenzenu huku tigo na voda tunakatwa toka 1994.